Okwi afunguka: Sitaki kurudi Tunisia tena
![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl9CzErJQ6thPtsNAzxYh55h9Sgt1FI*ESV6FzdOt4cKN2FE3F5jYHvSDOMVSBf*qL-7JE2f69qB8JsNM4xA47hf/OKWI.jpg?width=600)
Emmanuel Okwi. KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi amesema hataki kuzisikia wala kuzungumzia habari za Simba na Etoile du Sahel kwa kuwa hana mpango wa kurejea alikotoka. Okwi ametoa tamko hilo ikiwa ni siku chache mara baada ya kupewa ‘kifungo’ cha muda, huku uongozi wa Yanga ukisisitiza kuwa utamtumia mchezaji huyo katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Komorozine ya Comoro inayotarajiwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3z0ObFNVmwSeMJI9C-*2jwuWqBoMyjKVabhwFURfac0YMrrF80LSVuH3sjojniv50MCjj8kMUuzjqtLkkw2cRJK/mkude.gif)
Mke amzuia Okwi kurudi Simba
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Okwi: Sina mpango wa kurudi Bongo
WAKATI uongozi wa Yanga ukidai hauna muda kuendelea kulijadili suala la mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Okwi, mshambuliaji huyo naye amesema hana mpango wa kurudi kucheza soka Tanzania. Akizungumza...
10 years ago
Bongo Movies22 Feb
Jack: Sitaki Tena Ndoa!
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’ ameamua kufunguka na kuweka wazi kuwa hayuko tayari kuolewa tena hii ni baada ya kupewa talaka na aliyekuwa mumewe, Gadna Dibibi.
Jack alisema, kwa muda aliodumu kwenye ndoa ameshaona raha na karaha yake hivyo suala la kuolewa tena sasa hivi halipo akilini mwake.
“Katika ndoa lazima kuwe na mabaya na mazuri, hata hivyo siwezi kusema ndoa ni chungu hapana, ila mimi kwa sasa hivi nimeona nipumzike kwanza sitaki tena ndoa labda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jKMzIjeSyiVoFU*kIN988QrMmglKKIocC4GiuVc56tqK0OA-2fbBFgkxE7rP2k1FIrMyMHDfcUclBpgjblA4RKS/bella.jpg)
BELA: SITAKI TENA NDOA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3vnV5j0IkopPifHY4pwyvZD93f1KnP35q8I72jAXPQ9OngxwlSwcTpkzoD20QiB0lUyBOVSjDpKLhpCEqQMmHvk/Jack.jpg)
JACK PENTEZEL: SITAKI TENA NDOA!
10 years ago
Bongo505 Sep
New Video: Kijukuu Ft Mapua — Sitaki Tena
10 years ago
GPLMTITU: SITAKI TENA UONGOZI BONGO MOVIE
11 years ago
Mwananchi25 Apr
JK: Sitaki tena kusikia dawa za kulevya zinapita
9 years ago
Bongo524 Dec
Shamsa Ford: Sitaki tena kutoka kimapenzi na mastaa
![Shamsa Ford](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Shamsa-Ford-300x194.jpg)
Msanii wa filamu na mama wa mtoto mmoja, Shamsa Ford amesema amekoma kutoka kimapenzi na watu maarufu.
Muigizaji huyo ambaye miezi michache iliyopita alikiri kutoka kimapenzi na rapa Nay wa Mitego, ameiambia Bongo5 kuwa sasa hivi amepata mpenzi mpya ambaye atamweka wazi siku ya harusi yake.
“Mimi ni mwanamke mzuri nakosaje mwanaume? Nimetimia kila idara, nina mchumba ambaye tunapendana Mungu akijalia kiukweli natamani awe mume wangu,” amesema.
“Nimeshatangaza kabisa mastaa sitaki nimekoma,...