Magwiji Barca wapangua ratiba Ligi Kuu.
Rais wa TFF, Jamal Malinzi.
Ujio wa nyota wa zamani wa klabu ya Barcelona ya Hispania umechangia kupanguliwa kwa ratiba ya mechi mbili za Ligi Kuu ya Tanzania Bara licha ya Shirikisho la Soka nchini (TFF) kuahidi kutofanya mabadiliko yoyote katika ratiba iliyotolewa hivi karibuni.
Moja ya mechi ambazo zimepanguliwa ni kati ya Simba dhidi ya Mgambo Shooting ya Tanga ambayo awali ilitarajiwa kuchezwa Jumapili Aprili 12 lakini sasa itapigwa Aprili 22, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.
TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE
Kagera Sugar – African Sports 16:00 EAT
Maji Maji – Azam 16:00 EAT
Mwadui – Ndanda 16:00 EAT
Prisons – Mtibwa...
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Bodi ya Ligi Kuu kupangua ratiba
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Makocha wahofia ratiba Ligi Kuu
9 years ago
TZToday![](http://2.bp.blogspot.com/-0jBdGVXU2h4/UsO1IpGWySI/AAAAAAAAgB0/PCJmfVxQvwQ/s1600/0Barclays+Premier+League.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whu7RSvDwY3vqPRAnQNucWX*3FzFICFojPPylLOEkC0UiojTPRf3ImAJpyKCbzC6CTSS3FkwH-qRv7tpkp4YWEx8BuaYrlou/SuperSportKeyLiveEventsEPLandFACUP89032014MichuziBlogBanner.jpg?width=750)
9 years ago
BBCSwahili25 Dec
Jurgen Klopp-Ratiba Ligi kuu England.
11 years ago
GPL![](http://www.premierleague.com/content/dam/premierleague/site-content/News/2014-15/June/Opening-Fixtures-PL-Article.png/_jcr_content/renditions/cq5dam.thumbnail.490.338.margin.png?width=650)
RATIBA NZIMA YA LIGI KUU ENGLAND 2014/2015
9 years ago
Raia Tanzania21 Aug
Simba, Azam zatofautiana na Yanga ratiba ligi Kuu
SIKU moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutangaza ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Uongozi wa Mabingwa wa ligi hiyo, Yanga umeibuka na kuipinga kwa madai kuwa haikuwatendea haki.
Ligi hiyo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 12 kwa michezo saba ya ufunguzi kuchezwa katika viwanja tofauti nchini.
Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tibohora, alisema kuwa wao hawajaridhika na upangaji wa ratiba hiyo, na inaonyesha wazi nia yao ni kutaka wafanye vibaya msimu...
9 years ago
Bongo502 Oct
Ratiba ya mechi za ligi kuu Uingereza wikiendi hii