MAITI YAKOHOA, YAFUMBUA MACHO
![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXqzpU9-JpLP0v8BWrKCkhPNFLU5gXcx5toQfHuGDj30ziezpYAkldaQ-OLsYGMtFlZs-7cvx2STpEeAbV7KCmWF/maiti.gif?width=650)
Maajabu ya Bagamoyo! Katika hali ya kushtua, familia yenye makazi yake, Magomeni, Bagamoyo mkoani Pwani, imejikuta kwenye mauzauza baada ya ndugu yao kufariki dunia huku akidaiwa kukohoa, kufumbua macho na kuonesha dalili za kuwa hai, pamoja na kwamba daktari alithibitisha kifo. ....Soma zaid===>http://bit.ly/1HyLO9T
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Jun
Maonesho ya utalii ya Sanganai/Hlanganani—(World Tourism Expo) Zimbabwe yafumbua macho Watanzania
Pichani juu na chini ni Afisa Habari Mwandamizi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Esther Solomon (kushoto) akitoa maelezo ya shughuli mbalimbali za utalii na vivutio vyake nchini Tanzania kwa baadhi ya wanafunzi wa vyuo mbalimbali vikiwemo vya utalii nchini Zimbabwe waliofika katika banda la Tanzania kwenye maonyesho ya nane ya Kimataifa ya Utalii Sanganai/Hlanganani–(World Tourism Expo) kupata taarifa mbalimbali za vivutio vya utalii wa Tanzania yaliyomalizika jana jijini Harare katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WP6iF2F-vss/VPdgFLJ9KFI/AAAAAAABnDE/hLJqJw_HNF0/s72-c/1036.jpg)
Madaktari wa Macho kutoka Shirika la Specsavers Watowa Huduma ya Macho kwa Wananchi Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-WP6iF2F-vss/VPdgFLJ9KFI/AAAAAAABnDE/hLJqJw_HNF0/s640/1036.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-V1UQiJ_mNtc/VPdgJn3vryI/AAAAAAABnDM/zPWV8-VZLwQ/s640/1031.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RMNp-NXmTOY/VPdgKSJSpbI/AAAAAAABnDU/hEyIWj4H6do/s640/1005.jpg)
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mtihani wa Macho
10 years ago
Vijimambo11 years ago
Habarileo14 Feb
Maiti yapigwa makofi
MAZIKO ya mtuhumiwa wa mauaji ya watu tisa na unyang'anyi wilayani hapa, Charles Kichune, yamesuswa na ndugu zake. Tangu Kichune afariki dunia Februari 9 kwa ugonjwa wa pumu katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime, hakuna ndugu aliyefika kuchukua mwili huo.
11 years ago
Dewji Blog10 Aug
Maiti yaokotwa Singida
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu
Mwili wa mwanaume ambaye hajafahamika jina wala makazi yake anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 28,umeokotwa maeneo ya Misuna makaburini tarafa ya Mungumaji Singida mjini.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela, amesema mwili huo umeokotwa Agosti 5 mwaka huu saa moja asubuhi ukiwa umetelekezwa kwenye makaburi ya Misuna.
Alisema mwanaume huyo siku ya tukio alikuwa amevaa shati la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5RmrFBqhsth7lvVKyXXkTX9Ih8CsLy-qOsctF55yQL9C6Im3JCd*-YvI5dHHrl6Q6wdDUh8BETIO7bjKAxx9rkD4w/maiti.jpg?width=650)
MAITI AZIKWA KIMAAJABU!