MAITI AZIKWA KIMAAJABU!
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushangaza, wananchi wa Mbezi Msakuzi Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, walisusa na kuondoka makaburini kwa kile kilichodaiwa kuwa maiti ya Michael Kisanto (pichani) waliyotarajia kuizika iliwekwa ndani ya jeneza kimaajabu. Mazishi ya Michael Krisanto yakiendelea. Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika Makaburi ya Makamba Msakuzi, Mbezi jijini Dar es Salaam ambapo wananchi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLKABURI LA KUAMBIANA LATOBOKA KIMAAJABU
10 years ago
VijimamboY P AZIKWA
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Dk. Kigoda azikwa
AMINA OMARI, HANDENI NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM
MWILI wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda, umezikwa katika Kata ya Chanika iliyopo Handeni mkoani Tanga.
Mazishi hayo yaliyofanyika jana yaliongozwa na Rais Jakaya Kikwete.
Akitoa salamu za rambirambi kwa niaba ya wabunge wakati wa mazishi hayo, Spika wa Bunge, Anne Makinda, alisema Serikali imepoteza mtu mchapakazi, muadilifu na mwenye fikra za maendeleo ya mageuzi ya uchumi wa nchi hii.
Alisema Dk. Kigoda...
11 years ago
GPLADAM KUAMBIANA AZIKWA
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Senzo Meyiwa azikwa
11 years ago
GPLMCHUNGAJI AZIKWA KIISLAM
10 years ago
BBCSwahili19 Oct
11 years ago
GPLMZEE GURUMO AZIKWA
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Mtikila azikwa Ludewa