Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Kigoda azikwa

MTZ DAILY.inddAMINA OMARI, HANDENI NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM

MWILI wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda, umezikwa katika Kata ya Chanika iliyopo Handeni mkoani Tanga.

Mazishi hayo yaliyofanyika jana yaliongozwa na Rais Jakaya Kikwete.

Akitoa salamu za rambirambi kwa niaba ya wabunge wakati wa mazishi hayo, Spika wa Bunge, Anne Makinda, alisema Serikali imepoteza mtu mchapakazi, muadilifu na mwenye fikra za maendeleo ya mageuzi ya uchumi wa nchi hii.

Alisema Dk. Kigoda...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Kigoda ahimiza uhamasishaji

MAFUNZO na Kampeni za uhamasishaji nchini Tanzania zitachangia katika kuongeza kasi ya kufanikisha azma ya kutekeleza mpango wa Taifa wa Huduma Jumuishi za Kifedha. Kauli hiyo, imetolewa mwishoni mwa wiki...

 

11 years ago

Habarileo

Kigoda ahimiza uendelezaji wa viwanda

WIZARA ya Viwanda na Biashara imesema azma ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya kipato cha kati, haiwezi kukamilishwa, endapo nguvu hazitaelekezwa katika kuendeleza viwanda mama, vya kati na vidogo.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwili wa Dk Kigoda kuwasili kesho

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Dk Abdalala Kigoda aliyefariki jana nchini India unatarajia kuwasili kesho mchana tayari kwa ajili ya mazishi.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Kigoda aishauri PPF

Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Dk Abdallah Kigoda amewaagiza viongozi wa mfuko wa pensheni wa PPF kuongeza mbinu za kujitangaza kwa wananchi ili waweze kujiunga na kunufaika na mafao yake kwani uzoefu wake ni wa tangu mwaka 1978.

 

9 years ago

IPPmedia

Kikwete mourns minister Kigoda.


IPPmedia
Kikwete mourns minister Kigoda.
IPPmedia
President Jakaya Kikwete yesterday sent a message of condolences to the Prime Minister Mizengo Pinda on the death of the Minister for Industry and Trade, Dr Abdallah Omari Kigoda (62) and a Member of Parliament for Handeni Constituency who died on ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kigoda Cup kuanza leo

MICHUANO ya soka na netiboli kuwania Kombe la Kigoda yanatarajiwa kuanza jioni ya leo kwenye Uwanja wa Azimio wilayani Handeni yakitanguliwa na hafla ya ufunguzi kuanzia majira ya saa 4...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Kigoda aiponda TCCIA Mbeya

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda amesema Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mbeya, kimeshindwa kuandaa vizuri maonyesho ya kimataifa yaliyofunguliwa mwishoni mwa wiki iliyopita jijini hapa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kigoda kufungua maonyesho Arusha

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda atafungua rasmi maonyesho ya 12 ya wajasirimali wadogo na wa kati yatakayofanyika leo kwenye Viwanja vya Makumbusho ya Azimio la Arusha.

 

11 years ago

TheCitizen

Dar, Pretoria can benefit more from each other: Kigoda

The Tanzanian business community has been urged to forge closer business ties with their South African counterparts for mutual benefits of their countries.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani