Dk. Kigoda ahimiza uhamasishaji
MAFUNZO na Kampeni za uhamasishaji nchini Tanzania zitachangia katika kuongeza kasi ya kufanikisha azma ya kutekeleza mpango wa Taifa wa Huduma Jumuishi za Kifedha. Kauli hiyo, imetolewa mwishoni mwa wiki...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo21 Jun
Kigoda ahimiza uendelezaji wa viwanda
WIZARA ya Viwanda na Biashara imesema azma ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya kipato cha kati, haiwezi kukamilishwa, endapo nguvu hazitaelekezwa katika kuendeleza viwanda mama, vya kati na vidogo.
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Uhamasishaji wa Makocha Ligi kuu
9 years ago
StarTV21 Aug
TANAPA yaanzisha kampeni ya Uhamasishaji.
Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania TANAPA limeanzisha kampeni ya miezi sita ya kuwahamasisha watanzania kutembelea hifadhi za Taifa nchini. Malengo ya kampeni hiyo ni kutaka hadi kufikia mwezi Desemba mwaka huu zaidi ya watanzania laki tano wawe wameshatembelea hifadhi hizo nchini.
Katika mkutano wa waandishi wa habari na wadau wa utalii wa mkoa wa Tanga,Kaimu Meneja wa Masoko wa shirika Hifadhi za Taifa TANAPA, Victor Rafael amesema kampeni hiyo imeanza Julay 1 na itaishia mwezi Desemba...
10 years ago
VijimamboTAMASHA LA UHAMASISHAJI WA KUSOMA VITABU LAFANYIKA MICHEWENI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dubdcuN-4a8/Xmj20psoNBI/AAAAAAAAnDI/C-7Es1sEgq0JGHPntR84vAUKmfkyjpiPACLcBGAsYHQ/s72-c/KATAVI%2B-2%2B-%2BCopy.jpg)
MKUU WA MKOA KATAVI KUONGOZA MATEMBEZI YA UHAMASISHAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-dubdcuN-4a8/Xmj20psoNBI/AAAAAAAAnDI/C-7Es1sEgq0JGHPntR84vAUKmfkyjpiPACLcBGAsYHQ/s640/KATAVI%2B-2%2B-%2BCopy.jpg)
Ambapo Maadhimisho hayo yatafanyika Kitaifa Mkoani humo na Mgeni Rasmi Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Ummy Mwalimu.
10 years ago
StarTV23 Feb
CHADEMA kutoshiriki uhamasishaji daftari la kudumu la wapiga kura.
Na Amina Saidi,
Mbeya.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesema hakitashiriki uzinduzi wa zoezi la kampeni ya uhamasishaji wananchi kushiriki katika daftari la kudumu la wapiga kura unaotarajiwa kufanywa Jumatatu ijayo na Waziri mkuu Mizengo Pinda katika mji wa Makambako mkoani Njombe.
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amesema hatua hiyo inachukuliwa kwa kile alichokiita kuwa ni ubabaishaji unaofanywa na Tume ya Uchaguzi nchini wa kuendesha zoezi hilo kinyume cha sheria na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ioP2qWdeS44/UwNYa5W3KDI/AAAAAAAFNy8/aLWrS2Tflmo/s72-c/picture+3.jpg)
Kampeni za uhamasishaji virutubishi kwenye chakula zaendelea Mkoani Manyara
![](http://2.bp.blogspot.com/-ioP2qWdeS44/UwNYa5W3KDI/AAAAAAAFNy8/aLWrS2Tflmo/s1600/picture+3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-C-yje_YRLUw/UwNYijOPhaI/AAAAAAAFNzE/8PEvWitzyfo/s1600/picture+1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Apr
NHIF yazindua awamu ya pili ya Kampeni ya uhamasishaji Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF)
Mkuu wa wilaya ya Kilwa mkoani Lindi Mh. Abdallah Ulega akipokea mashuka 150 kutoka kwa Rehani Athumani Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti Mfuko wa Bima ya Afya ya jamii CHF yaliyotolewa na mfuko huo kwa wilaya ya Kilwa wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Uhamasishaji wananchi kujiunga na mfuko wa Bima ya Taifa ya Afya NHIF uliofanyika katika kijiji cha Njia Nne Kata ya Tingi, Katikati ni Meneja wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa mkoani Lindi Bi Fortunata Raymond.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA...
9 years ago
MichuziNHIF Mkoa wa Manyara, yaendesha kongamano la uhamasishaji wa mpango wa Kikoa kwa wajasiriamali