CHADEMA kutoshiriki uhamasishaji daftari la kudumu la wapiga kura.
Na Amina Saidi,
Mbeya.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesema hakitashiriki uzinduzi wa zoezi la kampeni ya uhamasishaji wananchi kushiriki katika daftari la kudumu la wapiga kura unaotarajiwa kufanywa Jumatatu ijayo na Waziri mkuu Mizengo Pinda katika mji wa Makambako mkoani Njombe.
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amesema hatua hiyo inachukuliwa kwa kile alichokiita kuwa ni ubabaishaji unaofanywa na Tume ya Uchaguzi nchini wa kuendesha zoezi hilo kinyume cha sheria na...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DQhpnwyvuIRlxMCgvelqcSPjmL4wXBAxpwQUb3B5*CWvJXlxEUDlLohfpWTDJMkAipCMLXJzTGe7W5XbrZqVYCn/marando.jpg)
TAMKO LA CHADEMA KUHUSU KUAHIRISHWA KWA MUDA WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Mabere Marando akiongea na wanahabari. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
TAMKO KUHUSU KUAHIRISHWA KWA MUDA WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA “BIOMETRIC VOTERS REGISTRATION†(BVR) KATIKA JIJI LA DAR ES SALAAM NA MKOA WA PWANI Kufuatia Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuutangazia umma kuwa zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la...
10 years ago
MichuziCHADEMA YAENDELEA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIJINI MWANZA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TL07x06Iox0/VW-weCY7FCI/AAAAAAAHbz0/KwHYJnX9C7o/s72-c/01.png)
10 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BLRr-PN7BLM/VSGIuvM4ylI/AAAAAAADSF8/fCxHtZG4-JQ/s72-c/NEC(47).jpg)
TAARIFA KWA UMMA YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA NA KURA YA MAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BLRr-PN7BLM/VSGIuvM4ylI/AAAAAAADSF8/fCxHtZG4-JQ/s1600/NEC(47).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--hgo6viiJmo/U-nU4kr5y_I/AAAAAAAF-3M/FfkXAXXuf5s/s72-c/download%2B(1).jpg)
NEC yafafanua kuhusu daftari la kudumu la wapiga kura
![](http://4.bp.blogspot.com/--hgo6viiJmo/U-nU4kr5y_I/AAAAAAAF-3M/FfkXAXXuf5s/s1600/download%2B(1).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-wmcHe9PQ5co/VVzDbhXSi0I/AAAAAAAAcDA/9ANMMgP1H7s/s72-c/1.jpg)
NAPE AJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![](http://4.bp.blogspot.com/-wmcHe9PQ5co/VVzDbhXSi0I/AAAAAAAAcDA/9ANMMgP1H7s/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yJlcWJSR5VE/VVzDb7pD5oI/AAAAAAAAcDE/xkdZtvMjFwQ/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GaPxvOiUfA8/VVzDcR0DqMI/AAAAAAAAcC8/WzB6TDfqkHg/s640/5.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/j-s5uWimLkk/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/lubuva1.jpg)
UHAKIKI WA TAARIFA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inawatangazia wananchi wote waliojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR kujitokeza katika vituo walipojiandikisha ili wahakiki taarifa zao. Kwa mikoa…
10 years ago
Michuzi08 Mar
UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA MKOANI NJOMBE
Tume ya Taifa ya Uchaguzi inawatangazia wananchi wote wa Mkoa wa Njombe, kuwa itaanza zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia teknolojia ya “Biometric Voters Registration” kuanzia tarehe 16/03/2015 hadi tarehe 12/04/2015. Aidha katika kata ya Utengule ya Mji mdogo wa Makambako Uboreshaji utafanyika kuanzia tarehe 9-15/03/2015. Uandikishaji huo utahusisha Halmashauri zifuatazo:- Mkoa Wilaya Kata Idadi ya Vituo Tarehe Ya Uandikishaji NJOMBE ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania