Kigoda kufungua maonyesho Arusha
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda atafungua rasmi maonyesho ya 12 ya wajasirimali wadogo na wa kati yatakayofanyika leo kwenye Viwanja vya Makumbusho ya Azimio la Arusha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 May
JK kufungua maonyesho Tanga
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa maonyesho ya pili ya kimataifa ya biashara mkoani Tanga. Maonyesho hayo yanatarajiwa kufunguliwa Mei 26 na kumalizika Juni 3 katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xRm9UNPlQ7s/U_YU_WgeWxI/AAAAAAAGBNo/6WwnSZpwVUk/s72-c/unnamed.jpg)
Mh. Kigoda afungua maonyesho ya bidhaa zinazozalishwa nchini China leo jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-xRm9UNPlQ7s/U_YU_WgeWxI/AAAAAAAGBNo/6WwnSZpwVUk/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LeiXwld-phc/U_YU351mhgI/AAAAAAAGBM4/571j1gbbD8E/s1600/unnamed%2B(94).jpg)
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Lema aongoza ubunge Arusha, Kigoda Handeni
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Waziri Mkuu Mizengo Pinda kufungua Maonyesho ya Nane Nane Kitaifa mkoani Lindi Agosti 3, mwaka huu
Lindi kumekucha, pilikapilika za maandalizi ya Maonyesho ya Nane Nane kitaifa mwaka huu zimepamba moto ambapo Mgeni Rasmi katika maonesho hayo yatakayofunguliwa Jumatatu Agosti 3, 2015 anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda. Maonyesho hayo ya mwaka huu yanaongozwa na kauli mbiu “Matokeo Mkubwa Sasa, Tuchague Viongozi Bora kwa Maendeleo ya Kilimo na Ufugaji”.
Mratibu wa Maonyesho ya Nane Nane kutoka wilaya ya Newala Ado Kiwangu akiwaonesha na...
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AWASILI MKOANI ARUSHA KUFUNGUA MKUTANO WA SEKTA YA BARABARA
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
700 kushiriki maonyesho ya madini Arusha
WAFANYABIASHARA zaidi ya 700 kutoka nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki maonyesho ya Kimataifa ya madini ya vito na usonara ya Arusha (AGF), yatakayofanyika kuanzia Novemba 18 hadi 20 jijini hapa. Mwenyekiti...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KwMZ58UO3TU/U5XUMqFNOvI/AAAAAAAAMqk/7BPMPZog4XU/s72-c/IMG-20140609-WA0055.jpg)
MKUU WA MKOA WA ARUSHA AFUNGUA MAONYESHO YA SIDO NA TAHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-KwMZ58UO3TU/U5XUMqFNOvI/AAAAAAAAMqk/7BPMPZog4XU/s1600/IMG-20140609-WA0055.jpg)
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Magessa Mulongo afungua maonyesho ya wajasiriamali wa SIDO jijini Arusha
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo akiwa anaangalia bidhaa zinazotengenezwa na kabila la Wahabeshi katika uzinduzi wa maonyesho ya SIDO.
Baadhi ya bidhaa za Shanga zilizopo katika maonyesho ya SIDO.
Mkurugenzi wa Taha, Jacqueline Mkindi akiwa anaangalia na kufurahia bidhaa zinazotengenezwa na Shanga zilizopo katika viwanja vya Makumbusho katika maonyesho ya wajasiriamali toka viwanda vidogo vidogo.
Wahazabe wakiendelea kutengeneza Mikuki yao.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6T7xWAddA2U/VRalgzxi1JI/AAAAAAAC2a4/wtK2JE7qjso/s72-c/1.jpg)
RAIS WA ZIMBABWE ROBERT MUGABE AWASILI JIJINI ARUSHA LEO,KUFUNGUA KONGAMANO LA 3 LA VIONGOZI VIJANA WA AFRIKA NA CHINA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6T7xWAddA2U/VRalgzxi1JI/AAAAAAAC2a4/wtK2JE7qjso/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BX4U1G7np8U/VRapZV7QOqI/AAAAAAAC2cE/Bf2TKWTHgXs/s1600/2.jpg)