700 kushiriki maonyesho ya madini Arusha
WAFANYABIASHARA zaidi ya 700 kutoka nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki maonyesho ya Kimataifa ya madini ya vito na usonara ya Arusha (AGF), yatakayofanyika kuanzia Novemba 18 hadi 20 jijini hapa. Mwenyekiti...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Mataifa 31 kushiriki maonyesho Sabasaba
MATAIFA 31 na kampuni zaidi ya 500 zimethibitisha kushiriki maonyesho ya 38 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba). Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade, Jacqueline Maleko, alieleza hayo jijini Dar es...
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Watanzania, Waturuki kushiriki maonyesho Dar
WAFANYABIASHARA wa Tanzania wameshauriwa kushiriki kwenye maonyesho ya bidhaa za sekta mbalimbali kutoka Uturuki yatakayoanza kesho. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Balozi wa Uturuki nchini hapa,...
10 years ago
MichuziTANZANIA KUSHIRIKI MAONYESHO NCHINI ITALIA
Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE (katikati) akizungumza katika mkutano wa maandalizi ya maonyesho ya 39 ya kimataifa ulifanyika katika viwanja vya SabaSaba jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Biashara za Nje,Anna Bulondo, akizungumza katika mkutano wa maandalizi ya maonyesho ya 39 ya kimataifa ...
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
Mamia kushiriki maonyesho ya elimu Dar
ZAIDI ya washiriki 500 na watembeleaji 350,000 kutoka ndani na nje ya nchi wanatarajia kushiriki katika maonesho ya kwanza ya kimataifa ya elimu nchini (TIEE). Akizungumza jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Wajasirimali washauriwa kushiriki maonyesho yanayoandaliwa na SIDO
Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi akizungumza wakati wa kufungua mafunzo ya usindikaji nyanya,biashara na masoko yaliyohudhuriwa na wajasiriamali 36 kutoka Manispaa na Wilaya ya Singida.Kulia ni meneja wa SIDO mkoa wa Singida, Shoma Kibende.(Picha na Maktaba).
Na Nathaniel Limu, Singida
WAJASIRIAMALI Wilayani Singida wamehimizwa kujenga utamaduni wa kushiriki maonesho ya kanda ya kati yanayosimamiwa na SIDO ili pamoja na mambo mengine kutangaza bidhaa zao ziweze kupata soko la uhakika...
11 years ago
Habarileo26 Jun
Nyumba 700 kubomolewa Arusha
ZAIDI ya nyumba 700 zilizopo kando ya barabara ya Arusha-Moshi, zitabomolewa kupisha ujenzi wa barabara ya kutoka Arusha hadi mpaka wa Holili, kwa upande wa Tanzania na Taveta hadi Voi nchini Kenya.
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA UZALISHAJI MALI LA SUMAJKT KUSHIRIKI MAONYESHO YA 39 YA KIMATAIFA YA SABASABA.
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
Nyalandu awaaga wafanyabiashara wanaoenda kushiriki maonyesho ya ITB, Berlin Ujerumani
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akitoa nasaha za kuwaaga wafanyabiashara wa Tanzania wanaoenda Berlin, Ujerumani kushiriki maonyesho makubwa Duniani ya biashara maarufu kama ITB kuanzia Machi 4-8 mwaka huu.(Picha zote na modewjiblog)
Na Andrew Chale wa modewji blog
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu amewataka wafanyabiashara wa Tanzania wanaoenda kushiriki maonyesho makubwa Duniani ya biashara maarufu kama ITB, mjini Berlin, Ujerumani Machi 4 hadi 8,...