Majibu haya yanakatisha tamaa
Juzi, Mbunge wa Konde (CUF), Said Khatib Haji alitaka kujua Serikali itatimiza lini ahadi yake ya kujenga kiwanda cha matunda mkoani Tanga na akahoji sababu za kubadilisha eneo la kujenga kiwanda kutoka mkoa huo kwenda Bagamoyo, Pwani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Haya ndiyo majibu ya Neymar kuhusu kutakiwa na Real Madrid!
Neymar
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Baada ya kipigo cha goli 4 kwa bila kutoka kwa wapinzani wao Barcelona, habari za chini chini zilianza kusambaa kuwa Real Madrid inataka kuweka dau kwa staa wa Barcelona, Neymar.
Tetesi hizo zilidokeza kuwa rais wa Real Madrid, Florentino Perez alikuwa tayari kumuwekea mezani Neymar kitita cha Euro Milioni 190 ili kupata saini ya nyota huyo.
Baada ya tetesi hizo mtandao wa Espnfc umeripoti kuwa Neymar amesema hayupo tayari kujiunga na Real Madrid na jambo...
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Bondia Manny Pacquiao anastaafu ngumi? haya ni majibu yake…
Staa wa ngumi duniani raia wa Ufilipino Manny Pacquiao amesema anatarajia kustaafu mchezo huo April 2016 baada ya kumaliza pambano lake na bondia Timothy Bradley. Bondia huyo ambaye tayari ameshinda mataji nane ya ubingwa wa dunia kwa sasa ana ndoto za kuwania nafasi za juu za uongozi katika nchi yake ya Ufilipino anaamini ana nafasi […]
The post Bondia Manny Pacquiao anastaafu ngumi? haya ni majibu yake… appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Haya ndio majibu ya Davido kuhusu ujauzito wa mrembo Agness Masogange!
Wiki moja iliyopita, Mtanzania Agness Masogange alikuwa topic kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya post yake kwenye Instagram kuzua mjadala mkubwa na kuibua uvumi mkubwa sana kati yake na Davido staa wa muziki kutoka Nigeria. Masogange alipost kipimo cha ujauzito kwenye page yake ya Instagram, post iliyoibua mjadala mkubwa Nigeria na Tanzania na kuacha […]
The post Haya ndio majibu ya Davido kuhusu ujauzito wa mrembo Agness Masogange! appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-SWDvQNV0yPc/VbZB7Zdba8I/AAAAAAAD1ww/r18W5t9_fD0/s72-c/LOWASSA7.jpg)
Mbunge Edward Lowassa kakaribishwa UKAWA, amejiunga nao? Majibu ni haya kwa Mbatia… (Audio)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SWDvQNV0yPc/VbZB7Zdba8I/AAAAAAAD1ww/r18W5t9_fD0/s640/LOWASSA7.jpg)
“Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje” Hii ni moja ya sentensi ambazo Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa aliziongea Arusha May 30 2015 alipotangaza nia ya Kugombea Urais kupitia CCM. SOURCE:MILLARDAYO.COM
10 years ago
Vijimambo19 Jun
Haya ndio majibu ya Viongozi wa Vyama vya Upinzani kwenye Mdahalo kuhusu Changamoto za TZ.. (Audio & Pichaz)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/06/DSC_4749.jpg?resize=620%2C413)
Kutokana na sababu mbalimbali Wagombea wengi hawakujitokeza, Mgombea mmoja Balozi Amina Salum Ali ndio Mgombea pekee aliejitokeza kwenye mdahalo huo.
June 18 2015 ilikuwa zamu ya Viongozi mbalimbali wa Vyama vya Upinzani kukutana pale Hyatt Regency Hotel kwenye Mdahalo huo na kujadili ishu mbalimbali zinazoihusu...
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Lowassa: Sijakata tamaa
*Asema ameshindwa pambano si vita
*Ajipanga upya agoma kueleza mikakati yake
*Ukawa wataka ZEC imtangaze Maalim Seif Z’bar
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
WAZIRI mkuu wa zamani na aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa, amesema ataendelea kupambana katika siasa na kwamba yawezekana ameshindwa katika pambano lakini si vita.
Lowassa aliyasema hayo jana katika mkutano na waandishi wa habari, baada ya kuulizwa nini hatima yake ya kisiasa baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIECESdCxv*2*c1KrXEBZz8Ws7uC8eAnllDgwgGaYqfKTdIxCc3FJZGoQ-bYYQeyrWLVlqgQzyhaj8hFf3lJbRDv/college_students.jpg?width=650)
TAMAA, UTANDAWAZI UNAWAUMIZA MADENTI
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Bunge la Katiba linakatisha tamaa
TAKRIBANI wiki moja imepita tangu kuanza kwa vikao vya Bunge la Katiba mjini Dodoma, lakini hakuna kilichofanyika hadi sasa. Tangu Bunge hilo lilipoanza, tulianza kusikia mzozo wa posho, mara wabunge...
11 years ago
Habarileo10 Jun
Pinda- Madaktari msikate tamaa
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka madaktari bingwa wa uzazi na magonjwa ya wanawake kutokata tamaa kuhudumia wajawazito.