MAKALA ATOA MAJIBU YA MATATIZO YA MAJI MAJIMBO YA MSALALA NA MBOGWE
Naibu Waziri wa Maji Mh. Amos Makalla akipokea maelezo ya kisima Wilayani Mbogwe. Tayari Wizara ya Maji imeshatoa shilingi milioni 200 kwa ajili ya upanuzi wa miundombinu ya maji wilayani hapo kutimiza ahadi ya Waziri wa Maji Prof. Maghembe.
Naibu Waziri wa Maji Mh. Amos Makalla akiwaonesha jambo, Mbunge wa Mbogwe, Mkuu wa Mkoa wa Geita, RAS wa Geita kabla ya hutuba yake.
Mbunge wa Mbogwe, Mh. Augostino Masele akiwahutubia wananchi wa Mbogwe namna ambavyo yeye kwakushirikiana na Mbunge...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies28 Apr
Majibu ya Mwigizaji Rose Ndauka Baada ya Kuhusishwa na Matatizo ya Ndoa ya Shetta
Baada ya kuenea kwa taarifa kuwa ndoa ya msanii wa bongo fleva, Shetta imevunjika baada ya taarifa kumfikia mke wake kuwa msanii huyo anamahusiano na staa mrembo wa Bongo Movies, Rose Ndauka.
Akijibu shutuma hizo, Rose Ndauka alijibu haya alipoulizwa na Soudy Brown wa Clouds FM kwenye kipindi cha XXL.
“Kwanza kitu ambacho ningependa kumuambia asipende kusikiliza watu.. la pili kitu chochote ambacho kinahusiana na mahusiano sio vizuri kupeleka kwenye public… hata ingekuwa ni ukweli...
10 years ago
Dewji Blog21 Dec
MAKALA kutoka kwa Maganga One: Matatizo ya ndoa na Umri
MWANAUME MKUBWA ANAYEOA MSICHANA MDOGO
Imekuwa ni kawaida katika jamii za kiafrika wanaume wenye umri mkubwa sana kuoa wasichana wenye umri mdogo ambao wanaweza hata kuwazaa.Katika hili imekuwa ni kama fashion kwa wasichana kiasi wamekosa hata zile haya walizokuwa nazo wazazi wetu enzi za zamani.
Wasichana wengi wametokea kujidumbukiza kuolewa na mababa wakubwa sana hari si kuwa wanapenda kuolewa na wazee waliowazidi umri kwa kiasi kikubwa.Wachache kati yao wanapenda kuolewa na watu wazima...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAJI AMOSI MAKALA ATEMBELEA ENEO LA MRADI MKUBWA WA MAJI WA MWANGA/KOROGWE.
PICHA ZAIDI...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rx2rCE2749A/VL9UYEL7LjI/AAAAAAAG-l8/aJYNqs2Rb_g/s72-c/001.jpg)
WAZIRI WA MAJI ATOA SIKU 90, KWA MKANDARASI ANAESAMBAZA BOMBA LA MAJI MRADI WA MLANDIZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-rx2rCE2749A/VL9UYEL7LjI/AAAAAAAG-l8/aJYNqs2Rb_g/s1600/001.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Waziri wa Maji atoa siku 90 kwa Mkandarasi Megha Engineering anaesambaza bomba la maji mradi wa Mlandizi Kimara
Waziri wa maji Jumanne Maghembe (wa kwanza kulia) akizungumza na wakandarasi wanaojenga bomba la maji la Mlandizi Kimara Januari 20, 2015 mkoani Pwani wakati alipotembelea tembelea miradi ya maji inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na maji Taka (DAWASA), kwa lengo la kupata tathimini ya mradi huo ulipofikia sasa.(Habari Picha na Philemon Solomon).
WAZIRI wa maji Jumanne Maghembe ametoa siku 90, kwa mkandarasi Megha Engineering Infrastructure Limited anaesambaza bomba la maji mradi wa...
9 years ago
Habarileo15 Oct
Zitto:ACT Wazalendo ina majibu kero ya maji
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema serikali itakayotokana na Chama hicho baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu itaanzisha mfuko wa wakala wa maji vijijini kwa ajili ya kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya maji safi na salama kwa uhakika.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykWc6viRHgk-axR1d0*XhhkG0pD3gCcGX5eMi6VI6kOCBGq8mZREnAj5VTkcFDi00w8FL9PBx8AvL-YuI4UKN7y9/Ludewa.jpg?width=650)
LUDEWA; AFYA, MAJI SAFI NA MAWASILIANO NI MATATIZO SUGU
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/cVE59-cYAqs/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jUHZg-gGJ4c/U9t-VNg6LLI/AAAAAAAF8PM/LUolV1SNzl4/s72-c/IMG_4991.jpg)
WAZIRI MKUU ATOA SAA 30, ATAKA KUPATA MAJIBU KUHUSU KIWANDA CHA NYAMA MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-jUHZg-gGJ4c/U9t-VNg6LLI/AAAAAAAF8PM/LUolV1SNzl4/s1600/IMG_4991.jpg)
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Ijumaa, Agosti Mosi, 2014) wakati akizindua Kongamano la siku tatu la Uwekezaji la Mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya la mwaka 2014 ambalo limeanza leo kwenye ukumbi wa Benjamini Mkapa jijini Mbeya.
“Mbeya inaweza kuwa na fursa kubwa ya viwanda vya usindikaji nyama, unga wa mahindi ili kuongeza thamani ya...