Makamba azoa wadhamini 8,000 Singida
NAIBU Waziri wa Mawasilianao, Sanyansi na Teknolojia, January Makamba amezoa wadhamani 8,300 na kuwasihi wakazi wa mkoa wa Singida kumuunga mkono katika safari yake ya kuelekea Ikulu ili mkoa uweke historia ya kuwa na Marais wenye chimbuko lao kutoka Singida.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLLOWASSA AZOA WADHAMINI 3,000 GEITA, CHATO
10 years ago
VijimamboWAZIRI MEMBE AZOA WADHAMINI ZAIDI YA 1900 MKOANI SINGIDA
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Lowassa azoa wadhamini 3,000 Geita, Chato nako apata wa kutosha
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa,(katikati), akipungia mkono maelfu ya wana CCM na wananchi wengine waliofika kwenye ofisi za CCM wilayani Geita Juni 8, 2015, kwa nia ya kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015; (Picha zote na K-VIS MEDIA)
Wakazi wa wilaya ya Geita, wakiwa juu ya nyumba na juu ya mti (picha ya chini), ili kumuona Waziri Mkuu wa zamani na...
10 years ago
Habarileo20 Jun
Lowassa azoa wadhamini K’njaro
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amezidi kuvunja rekodi ya kudhaminiwa na wanachama wengi zaidi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Mkoa wa Kilimanjaro, baada ya kupata wadhamini 33,780.
10 years ago
VijimamboWAZIRI BERNARD MEMBE APATA MAPOKEZI MAKUBWA BUKOBA AZOA WADHAMINI
10 years ago
MichuziWAZIRI BERNARD MEMBE APATA MAPOKEZI MAKUBWA BUKOBA, AZOA WADHAMINI LUKUKI
10 years ago
VijimamboWAZIRI BERNARD MEMBE APATA MAPOKEZI MAKUBWA MOSHI MJINI AZOA WADHAMINI WAKUTOSHA
10 years ago
MichuziJanuary makamba apata wadhamini Mkoani Njombe
10 years ago
GPLJANUARY MAKAMBA AKIWA IRINGA KUSAKA WADHAMINI