Makamu wa Rais Dkt. Bilal aifariji familia ya marehemu Mufti Simba, ashiriki kisomo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji mke wa aliyekuwa Mufti Mkuu wa Tanzania, Marehemu Shaaban Issa Bin Simba, Bi Makaje Goso, wakati alipofika Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam, Juni 16, 2015 kwa ajili ya kuifariji familia hiyo kabla ya kusafirisha mwili wa marehemu kuelekea nyumbani kwake Mkoa wa Shinyanga kwa ajili ya maziko yanayotarajia kufanyika leo jioni. Katikati ni Mke wa Makamu wa Rais, Mama Zakia Bilal. (Picha na OMR).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-whfL0W27Lic/U3DHOOlgEOI/AAAAAAAFhHE/sUmyKr5b76g/s72-c/unnamed+(25).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAREHEMU FROSSIE CHIYAONGA BALOZI WA MALAWI NCHINI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-whfL0W27Lic/U3DHOOlgEOI/AAAAAAAFhHE/sUmyKr5b76g/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PBHMRLQpLqg/U3DHOA5OtWI/AAAAAAAFhGM/xAYc2Qz-tyQ/s1600/unnamed+(26).jpg)
11 years ago
Dewji Blog13 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ashiriki kuaga mwili wa marehemu Flossie Chidyaonga Balozi wa Malawi nchini
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania, Balozi Frossie Chiyaonga, wakati wa shughuli za kuaga mwili wa marehemu zilizofanyika kwenye Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam, leo Mei 12, 2014. Mwili huo unatarajia kusafirishwa kuelekea Malawi kwa maziko. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-3YIfMv8jjCA/VPRsc6iwVaI/AAAAAAADbQM/Lk9khKGHnt0/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAREHEMU KAPTEN KOMBA VIWANJA VYA KARIMJEE DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-3YIfMv8jjCA/VPRsc6iwVaI/AAAAAAADbQM/Lk9khKGHnt0/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nD6sJq4xwN0/VPRsc3bbuDI/AAAAAAADbQI/XNrbzh2SgXk/s1600/02.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ashiriki kuaga mwili wa mama mzazi wa Dkt. Edward Hosea, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kwenye Kitabu cha maombolezo ya marehemu Esther Gigwa, Mama mzazi wa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dkt. Edward Hosea, wakati alipofika kushiriki kuaga mwili huo nyumbani kwa mkurugenzi huyo, Masaki jijini Dar es Salaam, leo Feb 27, 2015. (Picha na OMR).
Wanafamilia wafiwa wakiwa katika shughuli hiyo ya maziko.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji,...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Om9ReL4utVg/Vh9e9vZT7zI/AAAAAAAIABM/6WI-SQH_Tn8/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGWA MWILI WA MAREHEMU DKT. KIGODA KARIMJEE DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Om9ReL4utVg/Vh9e9vZT7zI/AAAAAAAIABM/6WI-SQH_Tn8/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lbcyLNat5q8/Vh9e9reA_UI/AAAAAAAIABE/UV-1qhAab-E/s640/02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0TgNQ23mXB4/Vh9e-dY-GiI/AAAAAAAIABU/2Zq8upR0UpY/s640/04.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-78BAPcbJjdY/Vh9e_3N2p_I/AAAAAAAIABw/7GZpUFoFbF4/s640/07.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YBAQvI6YM1s/ViOpQIbTtjI/AAAAAAAIAuI/hCTeNTWVUys/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI IBADA YA KUWEKWA WAKFU ASKOFU, DKT. ABEDNEGO KESHOMSHAHARA WA KANISA LA KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MAGHARIBI MKOANI KAGERA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-YBAQvI6YM1s/ViOpQIbTtjI/AAAAAAAIAuI/hCTeNTWVUys/s640/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-51L96fmX-v0/ViOpb2uao3I/AAAAAAAIAvI/kXa0U4rjJX8/s640/5C.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LI04JJX7b_s/U-3R4wet3-I/AAAAAAAF_xo/YGV34RnUPpw/s72-c/unnamed2..jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI UTOAJI TUZO WA WANASAYANSI WACHANGA WA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-LI04JJX7b_s/U-3R4wet3-I/AAAAAAAF_xo/YGV34RnUPpw/s1600/unnamed2..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g_s1J61PeeM/U-3R5Ah1eXI/AAAAAAAF_x0/NmgZkw3Cf-I/s1600/unnamed2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIkX41KdpSJ84b0DKfvgH2KdN2NPz9fx5mgqADATk*LwR3No4M9CqjyviwHJGzn3qj6elbCBWVf1ba31l78xvowE/h1.jpg?width=650)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI UTOAJI TUZO WA WANASAYANSI WACHANGA WA TANZANIA