MAKAMU WA RAIS SAMIA AFANYA ZIARA NA KUZUNGUMZA NA KAMATI YA CCM KIGAMBONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-y2oQY_ZHL58/XvCJUNZizcI/AAAAAAALu6M/Kzt2xi-62AYy4V_Tgpyzu9wSjz6kXFhigCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4579-2-2048x1280.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bavicha Wilaya ya Kigamboni na Diwani wa Viti Maalim Bibi Stella Masanja baada ya kukihama Chama cha Chadema na kujiunga na Chama cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog22 Jun
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFANYA ZIARA NA KUZUNGUMZA NA KAMATI YA CCM KIGAMBONI
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A4579-2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, amkaribisha Waziri wake Makamba ofisini, akutana na kuzungumza na mabalozi
![](http://1.bp.blogspot.com/-0zPnXxsfvYU/Vm7A5Df830I/AAAAAAACm1w/iiSNwL5lvqI/s640/3.jpg)
![4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/41.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cKkD7lvX_6o/Vm7BDefgSyI/AAAAAAACm14/sXldeClZOI8/s640/5.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bs-Z9sAfN84/XvePz-y8O4I/AAAAAAALvsQ/4c_9Vevmm1E-_GBA04u_aB0PMMisNOtgACLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4992-2-768x546.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AHITIMISHA ZIARA YA KICHAMA MKOA WA DSM
![](https://1.bp.blogspot.com/-bs-Z9sAfN84/XvePz-y8O4I/AAAAAAALvsQ/4c_9Vevmm1E-_GBA04u_aB0PMMisNOtgACLcBGAsYHQ/s640/F87A4992-2-768x546.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM ya Mkoa wa Dar es Salaam alipowasili katika Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam leo Juni 27,2020 kwa ajili ya mkutano wa majumuisho ya ziara yake ya Kichama katika Mkoa wa Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A5005-2-1024x553.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Vx-VwLdEtAg/Xva4a-UA1sI/AAAAAAAAdo8/6yb7jiJM9sInIOoDSvRM0U1-5uQaL4hQACLcBGAsYHQ/s72-c/d3050702-f7e6-4dab-a549-16128ea8f38d.jpg)
MAKAMU WA RAIS, SAMIA SULUHU KATIKA ZIARA YA KICHAMA DAR ES SALAAM
![d3050702-f7e6-4dab-a549-16128ea8f38d d3050702-f7e6-4dab-a549-16128ea8f38d](https://1.bp.blogspot.com/-Vx-VwLdEtAg/Xva4a-UA1sI/AAAAAAAAdo8/6yb7jiJM9sInIOoDSvRM0U1-5uQaL4hQACLcBGAsYHQ/s400/d3050702-f7e6-4dab-a549-16128ea8f38d.jpg)
![07271df8-6eb1-4a28-af69-7f4f1e3b64ca 07271df8-6eb1-4a28-af69-7f4f1e3b64ca](https://1.bp.blogspot.com/-wYRBQyvW358/Xva4bFkr0PI/AAAAAAAAdpA/a5uBldXVQY0XUr7GLv-yCYXVusMvnphJQCLcBGAsYHQ/s400/07271df8-6eb1-4a28-af69-7f4f1e3b64ca.jpg)
9 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS MHE SAMIA AWASILI MKOANI GEITA KUANZA ZIARA LEO
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9WXhSInrm_w/VGdE3WnfNAI/AAAAAAACTEY/XiT5Ew7VGxw/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTA NA KUZUNGUMZA NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM MKOA WA DAR ES SALAAM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9WXhSInrm_w/VGdE3WnfNAI/AAAAAAACTEY/XiT5Ew7VGxw/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3wW3TfRAd04/VGdFC2H6OOI/AAAAAAACTEg/oOfs0XSEfMo/s640/2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog07 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na kuzungumza na Viongozi wa CCM na wafanyakazi wa Kiwanda cha Mgololo (W) Mufindi, Ikulu Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Viongozi wa CCM Wilaya na Mufindi wlioongazana na baadhi ya Wafanyakazi wa Kiwanda cha Mgololo, wakati walipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo Mei7, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa CCM Wilaya ya Mufindi na baadhi ya wafanyakazi wa Kiwanda cha Mgololo, waliofika...
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Makamu wa Rais afanya ziara ya kukagua athari za mafuriko Dar na maendeleo ya Ujenzi wa Daraja la Mpiji
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyeshwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Eng. Mussa Iombe, sehemu ya Daraja la Mpiji linalounganisha Bagamoyo na Dar es Salaam, lililokatika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini, wakati Makamu alipofanya ziara hiyo ya kujionea maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo leo Aprili 13, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana...