Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malkia azindua michezo ya madola

Malkia azindua rasmi michezo ya nchi za jumuiya ya madola huko Glasgow.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola yakaribishwa rasmi leo katika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow

Waogeleaji wa Tanzania Mariam Foum, Hilal Hemed na Ammaar Ghadiyali wakiwa tayari kwa michuano jijini Glasgow. Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola imekaribishwa rasmi leo katika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow,  Uskochi.Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola imekaribishwa rasmi leo kayika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow,  Uskochi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Glasgow kabla ya michezo ya madola

Kabla ya michezo ya Jumuiya ya madola kuanza mjini Galsgow, Scotland,mwezi jana, maandalizi yalionekana kuwa ya hali ya juu

 

9 years ago

BBCSwahili

Michezo ya Jumuiya ya madola kuandaliwa AK

Mji wa Durban nchini Afrika Kusini utakuwa mji wa kwanza barani Afrika kuandaa mashindano ya Jumuiya ya Madola mwaka wa 2022

 

11 years ago

Mwananchi

Tupeleke wanamichezo wengi michezo ya Madola

Tupeleke wanamichezo wengi michezo ya Madola Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo bendera yake itapepea jijini Glasgow, Scotland katika ufunguzi wa michezo ya Jumuiya ya Madola utakaofanyika Julai 23.

 

11 years ago

BBCSwahili

Michezo ya Jumuiya ya Madola kuanza-Glascow

Mashindano ya Jumuiya ya Madola kufunguliwa rasmi hii leo mjini Glascow, Scotland na Malkia wa Uingereza

 

11 years ago

Mwananchi

Hatuoni maandalizi ya medali michezo ya Madola

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo bendera yake itapepea jijini Glasgow huko Scotland katika ufunguzi wa michezo ya Jumuiya ya Madola utakaofanyika Julai 23.

 

11 years ago

Mwananchi

Maandalizi yetu michezo ya Madola yanatia shaka

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo bendera yake itapepea jijini Glasgow, Scotland katika ufunguzi wa michezo ya Jumuiya ya Madola utakaofanyika Julai 23.

 

11 years ago

Mwananchi

Bingwa wa Michezo ya Jumuiya ya Madola anayeosha magari

Maisha yangu yalianza kuwa magumu baada ya kutolewa amri nifukuzwe kazi ndani ya saa 24,” ndivyo anaanza kusimulia kwa huzuni bingwa wa uzani wa bantam na bondia pekee aliyewahi kuiletea Tanzania medali ya dhahabu ya Michezo ya Jumuiya ya Madola, Michael Yombayomba ‘Golden Boy’ .

 

11 years ago

Michuzi

MH. NKAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA MAWAZIRI WA MICHEZO WA JUMUIYA YA MADOLA NCHINI SCOTLAND

Naibu Waziri wa Habari, Vijana na Michezo, Mhe. Juma Nkamia (wa pili kushoto mstari wa mbele) akiongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Mawaziri wa Michezo wa Jumuiya ya Madola leo jijini Glasgow, Uskochi (Scotland). Mkutano huo unafanyika kabla ya ufunguzi rasmi wa michezo ya Jumuiya hiyo, utakaofanyika keshokutwa haoa Glasgow. Agenda kuu ya Mkutano huo ni Michhezo kwa Maendeleo na Amani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani