MALUMBANO YAZUKA KUHUSU MAZISHI YA KRISTINA BROWN AKIWA MAHUTUTI
![](http://api.ning.com:80/files/I0PaAyo4W*ZuYxxdzIqtbyX1mLnokvoA6h6xRstNnbQg2Mur57dewQk8V6VBmoqUglxHaOXxOpYD1qMdJMPyX2OQBrgvLA96/bobbi_kristina.jpg)
Bobbi Kristina. WAKATI binti wa mwanamuziki Bobby Brown aitwaye Bobbi Kristina akiwa 'ananusa' kifo, familia yake inajadili mipango ya mazishi yake, ambapo upande wa baba yake unajizatiti kupambana kutokana na vitendo ilivyofanyiwa wakati Whitney Houston (mama yake Bobbi) alipofariki. Kwa mujibu wa tovuti ya TMZ, familia ya Brown haitaki tena hali hiyo itokee ambapo Brown aliondoka katika mazishi hayo baada ya waangalizi wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo502 Feb
Mtoto wa Whitney Houston, Bobbi Kristina bado yupo mahututi, ni baada ya kukutwa bafuni hapumui
10 years ago
Dewji Blog27 Jul
Bobbi Kristina Brown Dies at 22
Bobbi Kristina Brown, the daughter of late music legend Whitney Houston and R&B singer Bobby Brown, died on July 26, surrounded by her family, at Peachtree Christian Hospice in Duluth, Georgia. She was 22.
“She is finally at peace in the arms of God,” the Houston family said in statement to ET. “We want to again thank everyone for their tremendous amount of love and support during these last few months.”
On Jan. 31, Bobbi Kristina was found unresponsive in her bathtub, and was then taken...
10 years ago
Mtanzania17 Apr
Bobby Brown achoshwa na hali ya Kristina
NA BADI MCHOMOLO
BAADA ya Kristina Brown kukaa hospitali kwa muda wa siku 73 tangu aanguke bafuni Januari 31 mwaka huu, baba yake, Bobby Brown, ameonekana kukata tamaa ya kupona kwa binti yake huyo.
Kristina bado anaishi kwa kutegemea nguvu ya mashine, lakini hata hivyo hali yake haileti matumaini tangu alipopelekwa hospitalini.
“Mpaka sasa hatujui nini kitatokea kwa mtoto wetu, tumemkabidhi Mungu kila kitu kwa kuwa yeye ndiye mwenye maamuzi ya mwisho katika kila jambo.”
Mbali na Bobby Brown...
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Kifo cha Kristina Brown, chanzo chajulikana
ATLANTA, MAREKANI
BAADA ya kifo cha mtoto wa aliyekuwa nyota wa muziki nchini Marekani, Whitney Houston, Kristina Brown, kutokea mapema Julai mwaka huu, shirika la uchunguzi wa kifo hicho, The Fulton County Medical Examiner limesema limepata majibu ya kifo hicho.
Hata hivyo, shirika hilo limesema kuwa haliwezi kuweka wazi chanzo cha kifo hicho kwa ajili ya usalama.
Awali kulikuwa na taarifa kwamba chanzo cha kifo hicho kilitokana na kuwekewa sumu kwenye kinywaji chake huku akishutumiwa...
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Exclusive gossip: Bobby Brown Says Bobbi Kristina ‘Is Awake’
Bobbi
“I can say today, Bobbi is awake. She’s watching me,” he told a shocked crowd at the Verizon Theater in Dallas, Texas, on Saturday. A video of his statement was posted to Instagram.
The video was captioned, “Theirs [sic] been terrible rumors circulating for months … @kingbobbybrown would like to share a message with you all … From our family to yours … Thank you for all the well wishes and prayers for his daughter #BK …. But let it be known that #GOD holds the glory …. continue to...
10 years ago
Vijimambo06 Feb
MADAKATARI WAMWAMBIA BOBBY BROWN AACHE BOBBI KRISTINA APUMZIKE KWA AMANI
![](http://assets-s3.usmagazine.com/uploads/assets/articles/82790-bobby-brown-at-hospital-on-birthday-as-bobbi-kristina-remains-in-coma/1423167550_bobby-brown-article.jpg)
![](http://i2.wp.com/okmagazine.com/wp-content/uploads/2015/02/bobby-brown-sad-birthday-at-the-hospital-03-0.jpg?resize=900%2C680)
![bobby-brown-sad-birthday-at-the-hospital](http://i0.wp.com/okmagazine.com/wp-content/uploads/2015/02/bobby-brown-sad-birthday-at-the-hospital.jpg?resize=600%2C658)
10 years ago
Vijimambo08 Feb
MAZUNGUMUZO YA HASIRA YATAWALA MAANDALIZI YA MAZISHI YA BOBBI KRISTINA
![](http://img.thesun.co.uk/aidemitlum/archive/01452/Bobbi-Kristina-_ma_1452762a.jpg)
![](http://static1.nydailynews.com/polopoly_fs/1.2106039.1423279177!/img/httpImage/image.jpg_gen/derivatives/article_970/bobbi7n-8-copy.jpg)
Bobbi Kristina akiwa bado kwenye koma huku wanafamilia wakizungumuza mipango ya mazishi kama lolote litatokea. Familia ya Bobby Brown wamesema safari hii hawatakubali familia ya...
10 years ago
Bongo506 Feb
Madaktari wamuomba Bobby Brown awaruhusu wazime mashine inayomsaidia Bobbi Kristina kupumua sababu hakuna matumaini
10 years ago
BBCSwahili13 May
Hofu yazuka kuhusu hali ya wakimbizi Thai