Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama mzazi wa Tido Mhando azikwa Tanga

Askofu mstaafu wa Anglikana Dayosisi ya Tanga, Phillip Baji ameongoza jopo la mapadri wa kanisa hilo mkoani Tanga katika maziko ya mama mzazi wa Mkurugenzi wa Kampuni ya MwananchiCommunications Ltd, Tido Mhando, Jessie Nemganga Mhando (85) aliyezikwa katika makaburi ya Kanisa la Kristo Mfalme.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

EDWARD LOWASSA AOMBOLEZA KIFO CHA MAMA MZAZI WA TIDO MHANDO

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Mhe. Edward Lowassa akitia saini kitabu cha kumbukumbu ya msiba wa mama yake Tido Mhando Chang'ombe jijini Dar es Salaam jana. Aliyesimama pembeni ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL), Tido Mhando.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido afiwa na mama yake mzazi

Mama mzazi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tido Mhando, Jessie (85), amefariki dunia jana asubuhi Chang’ombe Dar es Salaam kwa ugonjwa wa moyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Ziara ya Kinshasa

Kwa muda wa karibu miaka miwili sasa, mwandishi wa habari wa muda mrefu, Tido Mhando, amekuwa akiandika simulizi zake hizi kutokana na mengi aliyokutana nayo katika kipindi kirefu cha kufanya kazi hii, hasa kama mtangazaji wa redio.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Mbio za sakafuni

Kwenye hii safu yake ya kila Jumapili, Tido Mhando anasimulia kwa muhtasari tu, mengi aliyokutana nayo kwenye kazi ya utangazaji wa redio aliyoifanya kwa zaidi ya miaka 40.

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Mazungumzo ya wasiwasi

Niliingia kwenye mgahawa huo kwa tahadhari kubwa sana nikimfuata nyuma aliyekuwa mwenyeji wangu pale, Hatty MacGhee, ambaye ndiye aliyenipigia kelele za kuniita wakati nikipita nje ya mgahawa huu uliopo eneo la maduka mengi yanayomilikiwa na wafanyabiashara wa Kihindi.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Awamu ya pili

Kwenye makala zake hizi za kila wiki, Tido Mhando ambaye amefanya kazi ya utangazaji wa redio kwa muda mrefu sana anahadithia baadhi tu ya mambo aliyokabiliana nayo kwenye kipindi chote hicho cha zaidi ya miaka 45 sasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Mkutano wa dharura

Mwanzoni mwa mwaka huu, Tido Mhando alitimiza miaka 45 katika tasnia ya habari, ambapo ndani ya muda huo, kwa kipindi kirefu alikuwa zaidi kwenye fani ya utangazaji wa redio.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Uhasama zaidi

Kama kulikuwa na mwaka ambao labda ungeelezewa kuwa ndiyo kilele cha uhasama uliokuwepo baina ya Tanzania na Kenya, basi ulikuwa ni mwaka huo wa 1982.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani