Mambo 10 ya kujiokoa na shambulio la ugaidi
>Wakati mashambulizi ya kigaidi yakiendelea kutikisa maeneo mbalimbali duniani ikiwamo nchi jirani ya Kenya huku kukiwa na angalizo kuwa huenda na Tanzania ikashambuliwa, jarida moja la kimataifa limetaja mambo 10 ya kufanya baada ya shambulio.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Ugaidi Somalia: Kamanda wa Al-Shabab Bashir Mohamed Qorgab 'auawa katika shambulio la angani '
Marekani imekuwa ikimsaka mwanamgambo huyo wa kijihadi, lakini haijatoa tamko lolote kuhusiana na kifo chake.
11 years ago
Mwananchi02 Apr
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BtdXT4UUkY8/Vos283Sw_1I/AAAAAAAIQXA/rsdtbSc1Yvs/s72-c/download.jpg)
SHERIA INASEMAJE UNAPOUA WAKATI UKIJARIBU KUJILINDA/KUJIOKOA (SELF DEFENCE)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BtdXT4UUkY8/Vos283Sw_1I/AAAAAAAIQXA/rsdtbSc1Yvs/s320/download.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGutO9vx3lEh5wtOstOP24B9me-e2PcfG8l1JEOjuImcue0t0QV9D6eFNEniUJXpgqP4qmFAic9IdiMjbT10b01dQ/BACKUWAZI.gif?width=650)
MAUAJI YA POLISI 2 MKOA WA PWANI UGAIDI UGAIDI
Makongoro Oging’ na Issa Mnally
HUKU watu wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka kwa vifijo, shangwe na nderemo, kwa familia za polisi waliouawa Vikindu wilayani Mkuranga, Pwani, Sajenti Michael Aaron Tuheri (49) na Koplo Francis Mkinga (53) ilikuwa ni huzuni kutokana na vifo vya wapendwa wao hao. Mauaji ya polisi hayo yamewaacha ndugu na jeshi la polisi nchini katika hali ya huzuni huku yakifananishwa na yale yaliyotokea...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-HCYR_Y0cGxk/VIypujKJxHI/AAAAAAAARkE/AqjsfnChqqs/s72-c/IMGP3964%5B4%5D.jpg)
Lema avamiwa na ‘UVCCM’, gari yake lavyunjwa vioo; alazimika kufyatua risasi tatu hewani kujiokoa!
![](http://2.bp.blogspot.com/-HCYR_Y0cGxk/VIypujKJxHI/AAAAAAAARkE/AqjsfnChqqs/s640/IMGP3964%5B4%5D.jpg)
Mbunge wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema amekubwa na tukio la aina yake maeneo ya Clock Tower Jijini hapa ambapo vijana wanaoaminika kuwa vijana “wafuasi wa UVCCM” walishamshambulia kwa mawe na kufanikiwa kuvunja kioo cha nyuma ubavuni cha gari la Mbunge huyo.
Tukio hilo la kustaajabisha na kutiasha katika swala la amani na usalama kipindi hiki cha kampeni za Serikali za mitaa lilitokea kwenye Sheli iliyopo mkabala na New Arusha...
10 years ago
Mwananchi06 May
Bernard Kamillius Membe: Waziri wa Mambo wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Historia yake
Benard Membe alizaliwa Novemba 9, 1953 katika Kijiji cha Rondo-Chiponda, Wilaya ya Lindi hivyo atatimiza miaka 62, Novemba mwaka huu. Ni mtoto wa pili kati ya saba wa familia ya Mzee Kamillius Anton Ntanchile na mama Cecilia John Membe. Hivi sasa ni Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU MAMBO YA NDANI AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MUUNGANO WA VISIWA VYA COMORO ATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA MATAIFA
10 years ago
Michuzikatibu mkuu wizara ya mambo ya ndani awatembelea wajumbe wa kikao kazi cha mambo ya ndani mjini morogoro
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania