Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mambo 10 ya kushangaza uchaguzi huu

Wakati tukijiandaa kuchagua viongozi wetu kesho, matukio kadhaa yaliyojitokeza katika kipindi cha kampeni za uchaguzi huu yalishangaza wengi na huenda ndiyo mambo yatakayobaki katika kumbukumbu, hata baada ya Uchaguzi Mkuu kupita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAELEKEZA UCHAGUZI WA TEFA KUFANYIKA AGOSTI 23 MWAKA HUU

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI         KAMATI ya uchaguzi DRFA inaelekeza kamati ya uchaguzi ya TEFA kufanya uchaguzi wa viongozi,jumapili tarehe 23/08/2015 katika ukumbi wa JKT kama ilivyopangwa kufanyika hapo awali.Kamati pia inapenda  kuutarifu umma kuwa mchakato huu una Baraka zote kutoka TFF,hivyo uingiliaji wowote unakwenda kinyume na ibara ya 6(1)ya kanuni za uchaguzi za TFF 2013 na ibara za 52(6) na 56(6)(a) za katiba ya TFF ambazo zinaelekeza kuwa majukumu ya uchaguzi yapo chini ya...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Wangalizi wa uchaguzi wa kimataifa tayari wameanza kuendelea na kazi zao kuelekea uchaguzi mwezi huu oktoba 25

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula, na Balozi wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania, Mhe. Filiberto Sebregondi, wakitia sign ya Makubaliano ya kuruhusu waangalizi wa uchaguzi kutoka […]

The post Wangalizi wa uchaguzi wa kimataifa tayari wameanza kuendelea na kazi zao kuelekea uchaguzi mwezi huu oktoba 25 appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hamjui yapo ya kushangaza Bongo kuliko ndege iliyopotea?

BADO mwaniambia niache kujitoa? Wacha tu niseme Bongo kuna mambo mengi yanayoshangaza na ukiyashangaa yote nakuapia midomo lazima itaachama kwa mshangao. Ninyi si mnaona kila kitu ni shwari eh? Endeleeni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Zambia:Mambo ya kufahamu

Uchaguzi wa Rais unafanyika hii leo nchini Zambia ili kupata Mrithi wa marehemu Michael Sata

 

9 years ago

Mtanzania

Bashe: Uchaguzi huu ni mgumu

Hussein-BasheNa Odace Rwimo, Nzega

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mjumbe wa mkutano mkuu CCM taifa, Hussein Bashe, amewaambia wanachama wenzake kukaza buti kwani uchaguzi wa mwaka huu ni mgumu.
Bashe alisema hayo wakati akizungumza na wanachama wenzake pamoja na waandishi wa habari katika ofisi za chama hicho wilayani Nzega.
Alisema wanaCCM wanatakiwa kutambua kuwa uchaguzi wa mwaka 1995,2000,2005,2010 na huu wa 2015 kuna tofauti kubwa, hivyo wanatakiwa
kujipanga.
Bashe aliyepitishwa na CCM kuwania...

 

9 years ago

GPL

UCHAGUZI HUU MBONA NTAKOMA!

Yaani nimekaa hapa nakumbuka wimbo wa zamani wa NUTA Jazz band, ulikuwa unasema Nimuokoe nani. Mtumbwi unazama, ndani ya mtumbwi yuko jamaa na mkewe na mtoto na baba na mama yake, uwezo wake kumuokoa mtu mmoja sasa amuokoe nani? Na ndiyo yanayonikuta.  Kisa na mkasa ni demokrasia. Shangazi kachukua fomu ya ubunge wa chama kipya hata jina sijalishika na kapitishwa agombee, baba mdogo kapitishwa agombee kwenye chama mafuriko,...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Mambo 10 niliyoshuhudia katika uchaguzi Longido’

Hatimaye mchakato wa kumpata Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano umemalizika salama na Dk John Magufuli  wa CCM, ameibuka mshindi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani