MAMBO HALISI : Mwaka 2016 umebeba matumaini ya walio wengi
Ninawapongeza ndugu zangu Watanzania nyote kwa kuumaliza vyema mwaka 2015 na kuanza vizuri mwaka mwingine, ambao tayari umepewa majina mengi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Haya ndio matukio 10 ambayo yatateka hisia za watu wengi wa soka kwa mwaka 2016
Tayari tumemalizana na mwaka 2015 na sasa tupo katika mwaka 2016, kila mtu anapanga mipango yake katika huu mwaka kuhakikisha kila kitu chake kinatimia. Wakati watu wakiwa wanapanga mipango yao hiyo, katika soka haya ndio matukio 10 ambayo watu wa soka wanasubiri kuyaona yakitokea kwa mwaka 2016. 1- Tuzo ya mchezaji bora wa Dunia Ballon […]
The post Haya ndio matukio 10 ambayo yatateka hisia za watu wengi wa soka kwa mwaka 2016 appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KIKAO CHA BAJETI YA SHIRIKA LA MAGEREZA KWA MWAKA 2015/2016 LEO MKOANI MOROGORO
10 years ago
MichuziWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WASHIRIKI KIKAO KAZI CHA UTAYARISHAJI WA MPANGO WA MANUNUZI WA WIZARA WA MWAKA 2015/2016 MJINI MOROGORO
9 years ago
Mwananchi07 Sep
MAMBO HALISI : Tujisahihishe kwa hili, tuendako kubaya
9 years ago
Mwananchi14 Dec
MAMBO HALISI: Mawaziri maji mmeyavulia nguo hamna budi
10 years ago
Mwananchi09 Feb
MAMBO HALISI: Mchungaji Gauck unajishusha umepungukiwa kitu gani, tujifunze kwako
5 years ago
BBCSwahili07 May
Virusi vya Corona: Kuganda kwa damu, tatizo linalowakumba wagonjwa wengi walio katika hali mahututi lazua hofu
9 years ago
StarTV31 Oct
Watanzania wengi waonyesha matumaini uteuzi wa Mguful.
Baadhi ya Watanzania wameonyesha imani na matarajio yao makubwa ya maendeleo kutoka kwa Rais mteule wa Jamhuri ya Muaungano wa Tanzania, Dk John Pombe Joseph Magufuli.
Dk Magufuli alitangwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa ndiye mshindi wa urais katika uchaguzi uliofanyika Oktoba 25.
Katika hekaheka za kutafuta rikizi mkono uende kinywani hali ya Jiji la Dar es salaam katika maeneo ya kufanyia biashara inaonekana kuwa tulivu na maisha yanaendelea.
Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pbK2WEx0ZdM/Xnt0yn-xwhI/AAAAAAALlB4/KyjI8xt9ETkxciN80ezGZo7wXZXV9gKywCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA YAPITIA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KWA MWAKA WA FEDHA 2020/21 KILICHOFANYIKA JIJINI DODOMA LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-pbK2WEx0ZdM/Xnt0yn-xwhI/AAAAAAALlB4/KyjI8xt9ETkxciN80ezGZo7wXZXV9gKywCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Katikati), Katibu Mkuu, Christopher Kadio (Kulia) na Naibu klatibu Mkuu, Ramadhani Kailima (Kushoto) wakizungumza kabla ya kuanza Kikao Cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. Wizara hii imewasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2020/21 katika Kikao kilichofanyika Jijini Dodoma leo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-wDvsc-57EWo/Xnt0y8s_BjI/AAAAAAALlCA/hcqW-2O4u5gjJiXyPPUaB3i5B0apD3lcgCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Kushoto), Katibu Mkuu, Christopher Kadio...