Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMBO HALISI: Mawaziri maji mmeyavulia nguo hamna budi

Bila shaka, Dk John Magufuli, akiwa Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameanza kazi aliyoiomba kwa Watanzania kwa miezi miwili ya kampeni zake ambazo zilimfikisha karibu kila kona ya nchi hii kubwa yenye eneo la kilomita za mraba zaidi ya 900,000.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

MAMBO HALISI : Tujisahihishe kwa hili, tuendako kubaya

Ni imani yangu kwamba safari yetu bado ni salama licha ya mawimbi na misukosuko michache ambayo imeanza kujitokeza.

 

9 years ago

Mwananchi

MAMBO HALISI : Mwaka 2016 umebeba matumaini ya walio wengi

Ninawapongeza ndugu zangu Watanzania nyote kwa kuumaliza vyema mwaka 2015 na kuanza vizuri mwaka mwingine, ambao tayari umepewa majina mengi.

 

10 years ago

GPL

MKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA NA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE KUTOKA NCHI ZA KAMATI YA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA KUFANYIKA JIJINI DAR

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais –Mazingira Mh. Dk. Eng. Binilith Satano Mahenge, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam, kuhusu mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mawaziri wa Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika utakaofanyika jijini Dar-es -salaam katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Julius Nyerere Tarehe 29 Agosti 2014.… ...

 

10 years ago

Mwananchi

MAMBO HALISI: Mchungaji Gauck unajishusha umepungukiwa kitu gani, tujifunze kwako

>Ninasema ni jambo ambalo lisingeweza kufanywa na viongozi wetu wengi wa Afrika. Ni ajabu, lakini imetokea hapa  hapaTanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

Mawaziri waahidi mambo makubwa

Baada ya Mawaziri na Manaibu Waziri kuapishwa jana na Rais Jakaya Kikwete, wametoa ahadi lukuki kwa Watanzania kuhusu utendaji wao.

 

5 years ago

Bongo5

Taarifa kuhusu misheni ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa SADC Troika nchini DRC

Mheshimiwa Dkt. Augustine P. Mahiga (Mb), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki pamoja na Mwenyekiti wa SADC wa Kamati ya Mawaziri ya Asasi ya Ushirikiano wa Siasa, Ulinzi na Usalama (SADC Ministerial Committee of the Organ on Politics, Defense and Security Cooperation – MCO) amewasili Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa ajili ya kuongoza Ujumbe wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa SADC Troika (Tanzania, Angola na Msumbiji) kwa dhumuni la kufanya Misheni ya Pili ya...

 

5 years ago

CCM Blog

KANISA HALISI LA MUNGU BABA LINAWAKARIBISHA WATU WOTE KWENYE HIJA YA CHANZO HALISI CHA MUNGU BABA, MJINI KIGOMA 26 THEBETI,1(26 APRILI,2020)

KWA NINI  HIJA MOJA HALISI IKO KIGOMA?
Sauti Mpya(2019) ambayo imetangaza kuwa Tanzania ni Taifa Baba ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo imetangaza kuwa Afrika ni Bara la Nuru ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya zile Sauti Saba ilisikika Kigoma-Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya ishara tatu mbinguni (Ufunuo 12:1-9) ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya Nafsi ya Moyo (Miungu tisa mitakatifu iliyofafanuliwa ndani ya Kitabu) ilisikika...

 

11 years ago

Mwananchi

Mambo ya maji hayatakuwa katika Katiba

Waziri wa Maji,Profesa Jumanne Maghembe amesema, masuala ya maji na vyanzo vyake yatazungumziwa katika sheria na si katika Katiba inayotakiwa kuandikwa kwa kifupi.

 

10 years ago

Michuzi

Kampuni ya maji ya Kisima AQUA COOL LTD yatoa msaada wa nguo za kujikinga na mvua kwa wafanyabiashara wadogo wadogo jijini dar

Na Niccomeditz
KUTOKANA na mvua kubwa zilizonyesha karibu maeneo yote ya nchi na kuleta maafa hususan katika jijin la Dar es Salaam Kampuni ya Aqua Cool Ltd Watengenezaji wa maji safi ya Kisima Pure Drinking Water imetoa msaada wa mavazi ya kujikinga na mvua ya mpira (ponchos) kwa wakazi wa wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Msaada huo ulitolewa na uongozi na wafanyakazi wa kampuni hiyo kwa makundi mbalimbali kama watembea kwa miguu, mama lishe , waendesha bodaboda na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani