Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mambo yanayokwamisha sekta ya maziwa katika Mkoa wa Iringa

Iringa ni miongoni mwa mikoa michache nchini iliyobahatika kuwa na hali ya hewa na mazingira rafiki kwa ufugaji wa ng’ombe wa kisasa wa maziwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali ya Waziri Mkuu Pinda katika ziara yake mkoa wa Iringa

PG4A1831

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Chief wa Wahehe , Adam Abdu Sapi Mkwawa   wakati alipokwenda nyumbani kwa Chief huyo, Kalenga Iringa  Februari 20, 2015 kuhani msiba wa baba yake Chief huyo, Marehemu Abdu Adam Sapi Mkwawa uliotokea hivi karibuni. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1839

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akishiriki katika dua mbele ya kaburi la marehemu Abdu Adam Sapi Mkwawa   wakati alipokwenda nyumbani kwa Chief huyo, Kalenga Iringa kuhani Februari  20, 2015.

PG4A1866

Waziri Mkuu,...

 

10 years ago

Michuzi

WANAHABARI MKOA WA IRINGA NA POLISI WAKUTANA KATIKA KIKAO CHA MAHUSIANO MEMA

Baadhi ya wanahabari  mkoa  wa Iringa  wakiwa katika picha  ya pamoja na viongozi  wa  jeshi la polisi mkoa wa Iringa mara baada ya  kumalizika  kikao  chao cha mahusiano mema na kutambulishana kati ya wanahabari na viongozi wapya wa  jeshi  la Polisi waliokaa ni kamanda wa polisi Ramadhan Mungi wa tatu  kushoto akifuatiwa na mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Iringa (IPC) Frank Leonard na katibu wa IPC Francis Godwin na maofisa wengine wa polisi mkoa. Na FG BLOG.Wanahabari...

 

10 years ago

Vijimambo

WANAHABARI MKOA WA IRINGA WAKUTANA NA JESHI LA POLISI KATIKA KIKAO CHA MAHUSIANO MEMA‏

Baadhi ya wanahabari mkoa wa Iringa wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa mara baada ya kumalizika kikao chao cha mahusiano mema na kutambulishana kati ya wanahabari na viongozi wapya wa Jeshi la Polisi. Waliokaa ni Kamanda wa Polisi Ramadhan Mungi wa tatu kushoto akifuatiwa na mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa habari Mkoa wa Iringa (IPC) Frank Leonard na katibu wa IPC Francis Godwin na maofisa wengine wa polisi mkoa.Baadhi ya askari...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU WA CCM MKOA WA IRINGA AENDELEA KUVURUGA MIPANGO YA WAPINZANI KATIKA JIMBO LA ISMANI

 Katibu wa CCM mkoa wa Iringa, HASSAN MTENGA akijibu maswali ya wananchi wa tarafa ya pawaga.
Na Fredy Mgunda,Iringa
Katibu wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Iringa, Hassani Mtenga amewataka wananchi wa tarafa ya Pawaga katika jimbo la Isimani kuendelea kumwamini Mbunge wa jimbo hilo kwa kuwa anawatendea haki kwa kuwaletea maendeleo.
akizungumza katika mkutano huo, MTENGA amewataka wananchi kuendelea kukiamini chama hicho kutokana na kutekeza ahadi zao ambazo wanakuwa wanaziahidi kwa...

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akifungua rasmi mkutano wa wadau wa uhamasishaji wa ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi PPP - ("Public and Private Partnership") katika Sekta ya Afya uliofanyika leo katika ukumbi wa Hospitali Kuu ya Mkoa wa Rukwa. Katika hotuba yake ya ufunguzi amesema ili kufikia lengo kuu la millennia ifikapo mwaka 2015 la kupunguza vifo vya watoto, akina mama wajawazito na kuweza kudhibiti magonjwa yanayoambukiza na yasiyoambukiza pamoja na kuboresha...

 

10 years ago

GPL

WANAHABARI MKOA WA IRINGA WAKUTANA NA JESHI LA POLISI KATIKA KIKAO CHA MAHUSIANO MEMA‏

Baadhi ya wanahabari  mkoa  wa Iringa  wakiwa katika picha  ya pamoja na viongozi  wa  Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa mara baada ya  kumalizika  kikao  chao cha mahusiano mema na kutambulishana kati ya wanahabari na viongozi wapya wa  Jeshi  la Polisi. Waliokaa ni Kamanda wa Polisi Ramadhan Mungi wa tatu  kushoto akifuatiwa na mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa habari Mkoa wa Iringa (IPC)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali kusaidia uendelezaji sekta ya maziwa

SERIKALI ya Tanzania imeahidi kutoa ushirikiano katika kufanikisha awamu ya pili ya mradi wa uendelezaji sekta ya maziwa Afrika Mashariki, ili wananchi wake waweze kunufaika. Ahadi hiyo ya serikali ilitolewa...

 

11 years ago

GPL

WAKAZI 6 WA MKOA WA IRINGA WATIMKA NA BODABODA ZA VODACOM IRINGA‏

Mshindi wa Pikipiki katika Promosheni ya Timka na Bodaboda inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Salome Kalinga(wanne toka kushoto)mkazi wa Iringa,akipokea funguo wa pikipiki yake aliyojishindia katika promosheni hiyo toka kwa Kaimu Mkuu wa Kanda ya Kusini Magharibi Bw.Benedict Kitogwa.Ili kujiunga na Promosheni hiyo mteja anatakiwa kutuma neno PROMO kwenda 15544. Meneja… ...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA RUKWA AFANYA ZIARA YA KUHAMASISHA MPANGO WA MATOKEO MAKUBWA SASA (BRN) KATIKA SEKTA YA ELIMU MKOANI HUMO

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akizungumza kwa hisia kubwa na wanafunzi wa shule ya Sekondari Itwelele iliyopo Manispaa ya Sumbawanga leo tarehe 15/07/2014 ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake ya kuhamasisha mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) kwa shule za Msingi na Sekondari Mkoani Rukwa. Katika ziara yake hii amepata fursa ya kuonana na wanafunzi na wadau wa elimu zikiwemo kamati za shule mbalimbali katika kata za Manispaa ya Sumbawanga na viongozi katika kujadili na kuweka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani