Man U kumsajili beki Daley Blind
Manchester United imekubaliana na kilabu ya Uholanzi Ajax kumnunua mlinzi Daley Blind.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/g7CYaJh1SvJqYUtyA7JYhlRhIjG*4q*rXedF8iOZGi1c9cHPLS-u3HSCKXvjrjePwXu36R9FH2THnPpJn9Y9ehEjiY3Np9g2/4ebe30b5bcffc449f12c8aa6bb2762ce_L.jpg?width=650)
MANCHESTER UNITED KUMSAJILI BEKI KITASA DALEY BLIND WA AJAX
Mchezaji nyota wa kimataifa wa Holland na Ajax, Daley Blind. MANCHESTER UNITED imekubali kulipa dau la pauni milioni 14.2 iliyohitajiwa na Ajax ili kumsajili nyota wa kimataifa wa Holland Daley Blind. Kilichobakia sasa kwa Blind mwenye umri wa miaka 24 ni kukubaliana na United kuhusu maslahi yake binafsi na kwenda kufanya vipimo vya afya. United inaamini mchezaji huyo mwenye uwezo wa kucheza kama beki wa kushoto, beki wa kati...
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Man United kumsajili Matteo Darmian
Kocha wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal amethibitisha kuwa beki wa kilabu ya Torino Matteo Darmian atafanyiwa ukaguzi wa matibabu kabla ya kuhamia kilabu hiyo kwa pauni milioni 12.9.
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Fenerbahce kumsajili Nani wa Man United
Mchezaji wa klabu ya Manchester United Nani anatarajiwa kufanyiwa ukaguzi wa matibabu katika klabu ya Uturuki ya Fenerbahce
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0TOYtmP1DELgWN67Kv1flT7oQDWBPcx-87kJW-oanIp3r7w7RvpkRJST3-dxpz*lpzneeN5ruv2G-uzWMVz9MBc/mancity.jpg?width=750)
BEKI WA MAN CITY AKIMBILIA ITALIA
Beki Micah Richards ameihama Manchester City ya England na kutua Fiorentina ya Italia kwa mkopo wa msimu mzima. Beki huyo alikosa nafasi kwenye kikosi cha kwanza cha City.
9 years ago
Bongo516 Sep
Man United yapata pigo baada ya beki wake Luke Shaw kuvunjika mguu
Manchester United imepata pigo baada ya beki wake wa kushoto, Luke Shaw kuvunjika mguu. Kutokana na majeraha hayo, mchezaji huyo atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi cha miezi sita. Luke aliumua kwenye mchezo wa jana wa ligi ya mabingwa Ulaya dhidi ya wenyeji PSV nchini Uholanzi. Katika mchezo huo United ililala 2-1. Shaw alimwaga machozi […]
11 years ago
Daily News04 Mar
Vehicle donation to benefit the blind
Daily News
TATA Africa Holdings Tanzania Limited has donated a vehicle worth 50m/- to the Tanzania League for the Blind (TLB) in Dar es Salaam. Tata Executive Director Ajay Mehra said that they donated the vehicle, a TATA double cabin, with the aim to promote the ...
9 years ago
TheCitizen10 Sep
Special ballot papers for the blind
Visually handicapped people yesterday were assured of taking part fully in the General Election after the National Electoral Commission (NEC) responded to their demand of making ‘tactile ballot’ papers available at polling centres on October 25.
11 years ago
TheCitizen08 Jul
When blind fans listen to the action
Two commentators sat in a broadcast booth at Rio de Janeiro’s Maracana Stadium, put on their mics and looked down at the pitch before narrating a World Cup game for an exclusive audience.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania