Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Man United kumsajili Matteo Darmian

Kocha wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal amethibitisha kuwa beki wa kilabu ya Torino Matteo Darmian atafanyiwa ukaguzi wa matibabu kabla ya kuhamia kilabu hiyo kwa pauni milioni 12.9.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Fenerbahce kumsajili Nani wa Man United

Mchezaji wa klabu ya Manchester United Nani anatarajiwa kufanyiwa ukaguzi wa matibabu katika klabu ya Uturuki ya Fenerbahce

 

10 years ago

BBCSwahili

Man City kumsajili Bony?

Manchester City inafanya mazungumzo na Swansea kumpata Wilfred Bony

 

10 years ago

GPL

MANCHESTER UNITED KUMSAJILI BEKI KITASA DALEY BLIND WA AJAX

Mchezaji nyota wa kimataifa wa Holland na Ajax, Daley Blind. MANCHESTER UNITED imekubali kulipa dau la pauni milioni 14.2 iliyohitajiwa na Ajax ili kumsajili nyota wa kimataifa wa Holland Daley Blind. Kilichobakia sasa kwa Blind mwenye umri wa miaka 24 ni kukubaliana na United kuhusu maslahi yake binafsi na kwenda kufanya vipimo vya afya. United inaamini mchezaji huyo mwenye uwezo wa kucheza kama beki wa kushoto, beki wa kati...

 

10 years ago

BBCSwahili

Man U kumsajili beki Daley Blind

Manchester United imekubaliana na kilabu ya Uholanzi Ajax kumnunua mlinzi Daley Blind.

 

9 years ago

BBCSwahili

Liverpool,Man City zashinda Man United nje

Kocha mpya wa Liverpool Jurgen Klopp,ameandikisha ushindi wake wa kwanza,huku Man United ikiambulia kichapo mikononi mwa Middlesbrough

 

9 years ago

TheCitizen

Man City slip allows Man United to claim summit

Manchester United exploited Manchester City’s 4-1 defeat at Tottenham Hotspur by beating Sunderland 3-0 on Saturday to replace their rivals at the top of the Premier League table.

 

10 years ago

BBCSwahili

FA: Man United kuivaa Cambridge United

Manchester United itashuka dimbani kuikabili timu ya Cambridge United katika mchezo wa marudio kombe la FA.

 

9 years ago

BBCSwahili

UEFA : Man United, Man City zachapwa

Timu za Uingereza za Man United na Man City zimeanza vibaya michuano ya kombe la klabu bigwa barani Ulaya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani