Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Man United yatoshana nguvu na PSV - UEFA

Mechi za makundi za michuano hiyo ziliendelea tena usiku wa jana kwa michezo kadhaa katika hatua ya makundi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yatoshana nguvu na Man City

Kiwango cha soka zuri walilonyesha kimewapa matumaini mashabiki wa Arsenal baada ya wiki ya vipigo.

 

9 years ago

BBCSwahili

UEFA : Man United, Man City zachapwa

Timu za Uingereza za Man United na Man City zimeanza vibaya michuano ya kombe la klabu bigwa barani Ulaya

 

9 years ago

Mtanzania

Rooney kuiongezea nguvu Man United

Rooney_1711416aMANCHESTER, UNITED

NAHODHA wa klabu ya Manchester United, Wayne Rooney, anatarajia kuungana na klabu hiyo kwa ajili ya kuiongezea nguvu katika mchezo wa Ligi Kuu nchini England baada ya kukaa nje ya uwanja kutokana na kusumbuliwa na enka.

Mchezaji huyo kwa sasa yupo vizuri na ataungana na wachezaji wenzake kwa ajili ya mchezo huo dhidi ya Norwich, kesho kwenye Uwanja wa Old Trafford.

Nyota huyo alipata majeraha hayo mwezi uliopita katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Leicester City, ambapo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal azungumzia nafasi ya Man United kushinda Uefa Champion League

louis-van-gaal-press-conference-1423235043

Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Baada ya kutoa sare na timu ya West Ham United, Kocha wa Manchester United, Mdachi Louis Van Gaal amezungumzia nafasi ya timu yake kama inauwezo wa kutwaa ubingwa wa klabu bingwa barani Ulaya (UEFA Champion League).

Majibu ya kocha huyo yalitegemewa na watu wengi kutokana na mwenendo ulivyo kwa sasa kwa klabu hiyo kongwe ya nchini Wingereza ambayo imekuwa inapata matokeo ambayo hayawaridhishi mashabiki wa timu hiyo, Van Gaal amesema kikosi chake...

 

9 years ago

BBCSwahili

Everton yatoshana nguvu na Crystal Palace

Klabu ya Everton ilitoka sare na Cyrstal Palace kwenye mechi ya Ligi Kuu ya England iliyochezwa Jumatatu jioni.

 

9 years ago

Michuzi

TAIFA STARS YATOSHANA NGUVU NA ALGERIA KWA BAO 2-2

Mshambuliaji machachari wa Timu ya Taifa Stars, Thomas Ulimwengu, akionyesha umahiri wake wa kuwatoka mabeki wa timu ya Taifa ya Algeria, wakati wa Mchezo wa kuwania nafasi ya kufuzu kucheza kwenye Mashindano ya Kombo la Dunia ya Mwaka 2018, katika mechi iliyopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo. Hadi mwisho wa mchezo, Timu zote zimetoka suluhu ya kufungana Bao 2-2.Mchezaji wa timu ya Taifa ya Algeria, Guediora Aldane akiondoka na mpira mbele ya beki wa Timu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani