Man United yatoshana nguvu na PSV - UEFA
Mechi za makundi za michuano hiyo ziliendelea tena usiku wa jana kwa michezo kadhaa katika hatua ya makundi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili30 Mar
Arsenal yatoshana nguvu na Man City
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
UEFA : Man United, Man City zachapwa
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Rooney kuiongezea nguvu Man United
MANCHESTER, UNITED
NAHODHA wa klabu ya Manchester United, Wayne Rooney, anatarajia kuungana na klabu hiyo kwa ajili ya kuiongezea nguvu katika mchezo wa Ligi Kuu nchini England baada ya kukaa nje ya uwanja kutokana na kusumbuliwa na enka.
Mchezaji huyo kwa sasa yupo vizuri na ataungana na wachezaji wenzake kwa ajili ya mchezo huo dhidi ya Norwich, kesho kwenye Uwanja wa Old Trafford.
Nyota huyo alipata majeraha hayo mwezi uliopita katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Leicester City, ambapo...
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Van Gaal azungumzia nafasi ya Man United kushinda Uefa Champion League
Louis Van Gaal.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Baada ya kutoa sare na timu ya West Ham United, Kocha wa Manchester United, Mdachi Louis Van Gaal amezungumzia nafasi ya timu yake kama inauwezo wa kutwaa ubingwa wa klabu bingwa barani Ulaya (UEFA Champion League).
Majibu ya kocha huyo yalitegemewa na watu wengi kutokana na mwenendo ulivyo kwa sasa kwa klabu hiyo kongwe ya nchini Wingereza ambayo imekuwa inapata matokeo ambayo hayawaridhishi mashabiki wa timu hiyo, Van Gaal amesema kikosi chake...
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Everton yatoshana nguvu na Crystal Palace
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WAL8XSbH9ik/VkdjQlcUqjI/AAAAAAAIF0c/bKxxK4gqr9E/s72-c/OTH_3087.jpg)
TAIFA STARS YATOSHANA NGUVU NA ALGERIA KWA BAO 2-2
![](http://4.bp.blogspot.com/-WAL8XSbH9ik/VkdjQlcUqjI/AAAAAAAIF0c/bKxxK4gqr9E/s640/OTH_3087.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-M91OizY_iU4/Vkdjp3U-MrI/AAAAAAAIF1U/6eEvFKxMKok/s640/_MG_1183.jpg)