Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mandela aliacha viatu vyake TZ?

Zipo taarifa kwamba kabla ya kufungwa jela, Marehemu Nelson Mandela aliwahi kuishi nchini Tanzania na familia moja ambapo wakati anaondoka aliacha baadhi ya vitu, vikiwemo viatu .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Usain Bolt asaka viatu vyake

Viatu hivyo vya rangi ya chungwa chapa ya Puma , vinagharimu pauni za Uingereza elfu ishirini.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Cristiano Ronaldo aonesha viatu vyake vipya vya CR7

Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ameonesha mkusanyiko wa viatu vyake vipya vya CR7. Awali Ronaldo ameshawahi kutoa nguo zake za ndani, mashati na perfume. Viatu hivyo vinapatikana kwa paundi 70. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Video inayomuonesha mwanahabari akimpatia viatu vyake mhamiaji yapata umaarufu mtandaoni

Maelfu ya wahamiaji nchini India wamekuwa wakitembea mwendo mrefu kwa miguu kutoka mijini kurejea vijijini kwao. Mwandisi wa BBC Salman Ravi mmoja kumpatia viatu.

 

9 years ago

Vijimambo

NDESAMBURO ASEMA ALIYEKUWA MEYA WA MANISPAA YA MOSHI ,JAFARY MICHAEL NDIYE ANAWEZA KUVAA VIATU VYAKE

Mbunge anayemaliza muda wake,Philemoni Ndesamburo akimuombea kura mgombea Ubunge wa jimbo la Moshi mjini Jafary Michael (Chadema) katika mkutano uliofanyika katika viwanja vya Manyema mjini Moshi.Baadhi ya wakazi wa Moshi waliojitikeza katika mkutano huo.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema taifa, Zanzibar Said Issa Mohamed akiwahutubia wakazi wa mji wa Moshi waliohudhuria katka mkutano huo.Baadhi ya wakazi wa mji wa mOSHI.Mgombea Ubunge jimbo la Moshi mjini,Jafary Michael akiwa amekaa jirani na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mmiliki wa kiwanda cha viatu (WOISO) aelezea mafanikio yake kupitia shuguli ya ushonaji viatu

001

Mmiliki wa Kiwanda cha Viatu WOISO kilichopo Tegeta jijini Dar es Salaam ,Bw Kenneth Herman (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati akielezea mafanikio yake alioyapata kupitia shuguli za kushona viatu na kuweza kumiliki Kiwanda cha Viatu  na kuwaajili watu zaidi ya 2,50. Kwenye kiwanda hicho (kushoto), Msimazi wa Kiwanda hicho Bi.Teya Herman.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).

002

Wafanyakazi wa kiwanda cha WOISO wakiwa kazini.

003

Eliza  Hamad, akiwa na mfanyakazi mwezie Bw.Hilari Kimario...

 

10 years ago

BBCSwahili

Deegbe aliacha kazi Benki na kujiajiri

Makala ya Ndoto ya Afrika inaeleza habari kuhusu Wajasiriamali wanane kutoka maeneo mbalimbali ya Afrika

 

9 years ago

Bongo5

Mr Blue aliacha uigizaji baada ya kugundua anapoteza tu muda

Mr Blue amesema aligundua sanaa ya uigizaji wa filamu haulipi kuliko muziki ndio maana aliachana nayo. sasa hivi kaonekani kwenye tasnia hiyo. Blue ambaye alionekana kwenye filamu ya Pretty Teacher na House Boy, ameliambia gazeti la Mwananchi kuwa, baada ya kuingia kwenye filamu na akagundua hakuna maslahi aliamua kuachana na kazi hiyo. “Nilikuwa najaribu zali […]

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba

Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma akizungumza na waandishi wa habari juzi, alisema kuwa Desemba 8 itakuwa siku ya sala na kukumbuka mambo aliyoyafanya Mandela

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani