Deegbe aliacha kazi Benki na kujiajiri
Makala ya Ndoto ya Afrika inaeleza habari kuhusu Wajasiriamali wanane kutoka maeneo mbalimbali ya Afrika
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili09 Dec
Mandela aliacha viatu vyake TZ?
9 years ago
Bongo514 Oct
Mr Blue aliacha uigizaji baada ya kugundua anapoteza tu muda
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9-57Jz3_O7A/VfVdMPw7xQI/AAAAAAAH4Uw/Npn2irJJo7o/s72-c/IMG_1765.jpg)
TPA YASIFU BENKI KUONGEZA MUDA WA KAZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-9-57Jz3_O7A/VfVdMPw7xQI/AAAAAAAH4Uw/Npn2irJJo7o/s640/IMG_1765.jpg)
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Kutana na vijana walioamua kujiajiri
9 years ago
Habarileo23 Oct
Wahitimu JKT kuwezeshwa kujiajiri
VIJANA wanaohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa kujitolea na kurudi makwao bila kupata ajira, wamewekewa mpango maalumu wa kuwafuatilia na kuwawezesha kujiajiri popote watakapokuwa nchini.
9 years ago
Habarileo14 Dec
Wahitimu uhasibu wafundwa kujiajiri
WAHITIMU wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) wameaswa kutumia mafunzo ya ujasiriamali waliyoyapata chuoni hapo katika kukabiliana na changamoto ya soko la ajira na kuelekeza mawazo yao katika kujiajiri badala ya kuajiriwa.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2zlx83PxCVQ/VJQJ5UIIxOI/AAAAAAAG4aU/TX0TTKXpqqw/s72-c/lukuviiii.jpg)
KUJIAJIRI NI FURSA PEKEE YA MAENDELEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-2zlx83PxCVQ/VJQJ5UIIxOI/AAAAAAAG4aU/TX0TTKXpqqw/s1600/lukuviiii.jpg)
Serikali imewashauri wahitimu kujiajiri wenyewe badala ya kutegemea ajira kutoka serikalini kwani inatambua ukosefu wa ajira nchini.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar ea Salaam na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Mhe. Willium Lukuvi alipokuwa akifungua kongamano la mafunzo kwa wajasiliamali wadogo wadogo.
Amesema kuwa vijana wanatakiwa kuweka mkazo katika suala la ujasiriamali na kujihusisha na mafunzo mbalimbali ya ujasiriamali ili kuwa na fursa...
10 years ago
Habarileo16 Nov
Profesa ahimiza wahitimu kujiajiri
WATANZANIA wametakiwa kuondoa dhana potofu ya kupata elimu na kukaa maofisini tu, badala yake watumie elimu kunufaisha jamii inayowazunguka na kutatua tatizo la ajira nchini.