Profesa ahimiza wahitimu kujiajiri
WATANZANIA wametakiwa kuondoa dhana potofu ya kupata elimu na kukaa maofisini tu, badala yake watumie elimu kunufaisha jamii inayowazunguka na kutatua tatizo la ajira nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo23 Oct
Wahitimu JKT kuwezeshwa kujiajiri
VIJANA wanaohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa kujitolea na kurudi makwao bila kupata ajira, wamewekewa mpango maalumu wa kuwafuatilia na kuwawezesha kujiajiri popote watakapokuwa nchini.
9 years ago
Habarileo14 Dec
Wahitimu uhasibu wafundwa kujiajiri
WAHITIMU wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) wameaswa kutumia mafunzo ya ujasiriamali waliyoyapata chuoni hapo katika kukabiliana na changamoto ya soko la ajira na kuelekeza mawazo yao katika kujiajiri badala ya kuajiriwa.
10 years ago
Habarileo29 Dec
Wahitimu vyuo vikuu wahimizwa kujiajiri
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi wa Umma, Harun Ali Suleiman amewataka wahitimu wa vyuo vikuu kutumia taaluma zao kwa lengo la kujiajiri badala ya kusubiri ajira serikalini.
9 years ago
StarTV10 Sep
Dk. Bilal ahimiza vijana wabunifu kujiajiri
Makamu wa Rais Dokta Mohamed Gharib Bilal amewataka vijana kutumia kazi za ubunifu kama sehemu ya kujiongezea ajira na kuchangia zaidi kwenye pato la taifa kwa kutumia nguvu walizonazo.
Amesema, kwa wakati huu ambapo sekta ya ajira inakabiliwa na changamoto nyingi, hususan nafasi chache kwenye ajira rasmi, vijana hawana budi kuzingatia elimu ya ubunifu ili kukidhi upungufu uliopo.
Makamu wa Rais, Dkt. Bilal ameyasema hayo Jijini Dar es salaam wakati wa uzinduzi wa huduma ya kurudisha taarifa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLQY2rsNfjGw-lxI8pZco-WKDUvFeiUV21QTkoKiTUwxYN3M8j6GafeUcuD2RIQZXEfRzH2YnLzXaOT2oreRjb4/unnamed19.jpg?width=650)
JOKATE AWATAKA WAHITIMU WA VYUO VIKUU KUJIAJIRI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EPzTrzstEIc/U3H0kZKjSUI/AAAAAAAFhVI/Znpc_iY9Y24/s72-c/unnamed+(19).jpg)
Jokate Mwegelo awataka wahitimu wa vyuo vikuu kujiajiri
![](http://2.bp.blogspot.com/-EPzTrzstEIc/U3H0kZKjSUI/AAAAAAAFhVI/Znpc_iY9Y24/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q78h9MzM_2c/U3H0lTSMFTI/AAAAAAAFhVQ/Nf7bos1kZeM/s1600/unnamed+(20).jpg)
10 years ago
Habarileo15 Dec
Vyuo vikuu vyaaswa kupitia upya mitaala wahitimu kujiajiri
VYUO vikuu nchini vimeshauriwa kuangalia upya mitaala yao ili viwe na mfumo wa kutengeneza mazingira ya vijana kujiajiri mara baada ya kuhitimu masomo yao ili kukabiliana na changamoto ya uhaba wa ajira uliopo hivi sasa.
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
Waziri Saada Mkuya awataka wahitimu mbalimbali nchini kujiajiri pasipo kuitegemea Serikali
Baadhi ya Wahitimu wa Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar wakiingia katika Viwanja vya Mahafali chuoni hapo.
Mgeni Rasmi katika Mahafali ya Sita ya Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Saada Mkuya akitoa hotuba kwa wahitimu hawapo pichani ambapo mewataka wajiajiri wenyewe badala ya kutegemea Serikali. (Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).
Baadhi ya Wahitimu wa Fani ya Upishi wakiwa wanamsikiliza Mgeni Rasmi Waziri wa...
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Profesa Bagadanshwa: Profesa aliyeshinda vikwazo vya kuwa mlemavu wa kutoona