Manispaa, daladala chanzo cha foleni za kizembe
Uegeshaji hovyo wa daladala barabarani pamoja na manispaa kutojenga vituo vya kugeuzia mabasi ni miongoni mwa sababu zinazotajwa kusababisha foleni za kizembe jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SINZA
![](https://4.bp.blogspot.com/-wJv_GGAc-Ls/VIvoHinBNPI/AAAAAAAAsCQ/9xL20rGX1d4/s1600/7.%2BMtandao%2Bkatika%2Bsimu%2Bbaada%2Bya%2Bkuzinduliwaa.jpg)
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
10 years ago
Vijimambo13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SIMU2000
![](https://4.bp.blogspot.com/-wJv_GGAc-Ls/VIvoHinBNPI/AAAAAAAAsCQ/9xL20rGX1d4/s1600/7.%2BMtandao%2Bkatika%2Bsimu%2Bbaada%2Bya%2Bkuzinduliwaa.jpg)
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
10 years ago
Bongo504 May
Dar ni foleni kali ya magari, mgomo wa madereva wa daladala na mvua (Picha)
Wakazi wa Dar es Salaam leo wamekiona cha mtema kuni baada ya kero zaidi ya tatu kuunganika na kuleta usumbufu mkubwa. Mgomo wa madereva wa magari abiria, umewafanya wananchi wengi ama kutumia gharama zaidi ya kufikia maeneo waliyokuwa wakienda kwa kutumia bodaboda na bajaj au kutembea kwa maguu. Kumeshuhudiwa misululu mikubwa barabarani ya wakazi wa […]
11 years ago
GPLATHARI ZA MGOMO WA DALADALA MANISPAA YA MORO
Wanafunzi wa shule mbalimbali za manispaa ya Morogoro wakiwa kwenye lori baada ya mgomo wa madereva daladala leo. ...Baadhi ya wanafunzi wakishuka baada ya kufika wanapoelekea. (Picha zote na Dustan Shekidele / GPL,…
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ebeIg2jsU5M/UynW7ZXUM9I/AAAAAAAFVEI/4v_xC6_dD3o/s72-c/unnamed+(26).jpg)
ATHARI YA MGOMO WA MUDA WA MADEREVA WA DALADALA MANISPAA YA MOROGORO LEO
Habari na picha na John Nditi, Morogoro
Kuanzia aljafiri leo, madereva wa daladala wanaoendesha magari yao ya abiria katika njiaa mbalimbali za Manispaa ya Morogoro waligoma kutoka huduma hiyo kwa muda wa saa 10 wakishinikisha kutendewa haki ya Kikosi cha Usalama Barabarani.
Madereva hao kwa umoja wao Machi 18, mwaka huu walipomaliza kazi yao usiku , walikubaliana kutoamsha magari yao siku inayofuatia kutoa madai ya kuyanyaswa na Askari wa Kikosi cha usalama barabarani kwa kutozwa faini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oGTibmeGhdI/XsgUAbx0gTI/AAAAAAALrVI/-P4Bx5VNKU4ET4jkoee1Cwtr9zCVaNGgwCLcBGAsYHQ/s72-c/YUSUPH%2B2.jpg)
KAMPUNI YA F.M ABRI YATOA NDOO KWA UMOJA WA DALADALA MANISPAA YA IRINGA
NA DENIS MLOWE,IRINGA
KAMPUNI ya F.M Abri ya mkoani Iringa inayojishughulisha na sekta ya usafiri wa mizigo na vituo vya mafuta imekabidhi ndoo maalum za kunawia mikono 30 na sabuni za kutakasia mikono zaidi ya 100 kwa chama cha madereva daladala manispaa ya Iringa ajili ya kupambana na ugonjwa wa corona.
Akikabidhi vifaa hivyo kwa niaba ya mkurugenzi wa FM Abri, Arifu Abri mwakilishi wa kampuni hiyo, Yusuph Majaliwa alisema lengo la kampuni hiyo ni kuiunga mkono serikali katika mapambano...
10 years ago
Michuzi25 Jan
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VzpAvtDk30Y/UwUX6vL-BlI/AAAAAAAFOHw/1V8fxnikIx8/s72-c/IMG_1807.jpg)
kituo cha daladala cha marikiti zanzibar chahamia michenzani na mnazi mmoja
![](http://2.bp.blogspot.com/-VzpAvtDk30Y/UwUX6vL-BlI/AAAAAAAFOHw/1V8fxnikIx8/s1600/IMG_1807.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4gtj6y_ioUo/UwUYJ5jk44I/AAAAAAAFOH0/DduTi2ws6-I/s1600/IMG_1809.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C8H9e7pwH4c/UwUYPxbjdvI/AAAAAAAFOH8/u4-FWfKm-ak/s1600/IMG_1811.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iT7my4oVqAo/Uvtv_wApzeI/AAAAAAAAjh8/RQoCqKqIoXY/s72-c/IMG_3369.jpg)
VIONGOZI WA KINONDONI MNALIONA HILI; KITUO CHA DALADALA CHA BIAFRA CHAGEUZWA DAMPO
![](http://2.bp.blogspot.com/-iT7my4oVqAo/Uvtv_wApzeI/AAAAAAAAjh8/RQoCqKqIoXY/s1600/IMG_3369.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MK_VLwFyPZs/Uvtv9eCYU_I/AAAAAAAAjh0/Nm52T09EGsg/s1600/IMG_3370.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania