Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manispaa, daladala chanzo cha foleni za kizembe

Uegeshaji hovyo wa daladala barabarani pamoja na manispaa kutojenga vituo vya kugeuzia mabasi ni miongoni mwa sababu zinazotajwa kusababisha foleni za kizembe jijini Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SINZA

Manispaa ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam, imedhihirisha jitihada zake za kwenda na wakati katika huduma zake, baada ya kuamua kutoa huduma ya bure ya mtandao wa intrenet wa WiFi kwenye Kituo kipya cha Mabasi cha Sinza, jijini Dar es Salaam.

Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).

Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...

 

10 years ago

Vijimambo

MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SIMU2000

Manispaa ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam, imedhihirisha jitihada zake za kwenda na wakati katika huduma zake, baada ya kuamua kutoa huduma ya bure ya mtandao wa intrenet wa WiFi kwenye Kituo kipya cha Mabasi cha Sinza, jijini Dar es Salaam.
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...

 

10 years ago

Bongo5

Dar ni foleni kali ya magari, mgomo wa madereva wa daladala na mvua (Picha)

Wakazi wa Dar es Salaam leo wamekiona cha mtema kuni baada ya kero zaidi ya tatu kuunganika na kuleta usumbufu mkubwa. Mgomo wa madereva wa magari abiria, umewafanya wananchi wengi ama kutumia gharama zaidi ya kufikia maeneo waliyokuwa wakienda kwa kutumia bodaboda na bajaj au kutembea kwa maguu. Kumeshuhudiwa misululu mikubwa barabarani ya wakazi wa […]

 

11 years ago

GPL

ATHARI ZA MGOMO WA DALADALA MANISPAA YA MORO

Wanafunzi wa shule mbalimbali za manispaa ya Morogoro wakiwa kwenye lori baada ya mgomo wa madereva daladala leo. ...Baadhi ya wanafunzi wakishuka baada ya kufika wanapoelekea. (Picha zote na Dustan Shekidele / GPL,…

 

11 years ago

Michuzi

ATHARI YA MGOMO WA MUDA WA MADEREVA WA DALADALA MANISPAA YA MOROGORO LEO

Habari na picha na John Nditi, Morogoro Kuanzia aljafiri leo, madereva wa daladala wanaoendesha magari yao ya abiria katika njiaa mbalimbali za Manispaa ya Morogoro waligoma kutoka huduma hiyo kwa muda wa saa 10 wakishinikisha kutendewa haki ya Kikosi cha Usalama Barabarani.   Madereva hao kwa umoja wao Machi 18, mwaka huu walipomaliza kazi yao usiku , walikubaliana kutoamsha magari yao siku inayofuatia kutoa madai ya kuyanyaswa na Askari wa Kikosi cha usalama barabarani kwa kutozwa faini...

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA F.M ABRI YATOA NDOO KWA UMOJA WA DALADALA MANISPAA YA IRINGA


NA DENIS MLOWE,IRINGA
KAMPUNI ya F.M Abri ya mkoani Iringa inayojishughulisha na sekta ya usafiri wa mizigo na vituo vya mafuta imekabidhi ndoo maalum za kunawia mikono 30 na sabuni za kutakasia mikono zaidi ya 100 kwa chama cha madereva daladala manispaa ya Iringa ajili ya kupambana na ugonjwa wa corona.
Akikabidhi vifaa hivyo kwa niaba ya mkurugenzi wa FM Abri, Arifu Abri mwakilishi wa kampuni hiyo, Yusuph Majaliwa alisema lengo la kampuni hiyo ni kuiunga mkono serikali katika mapambano...

 

11 years ago

Michuzi

kituo cha daladala cha marikiti zanzibar chahamia michenzani na mnazi mmoja

 Hapa Marikiti mjini Zanzibar ndipo kilipokuwepo kituo cha daladala mjini Unguja, Hivi sasa kimeshahamishwa na kuachwa kweupe na raha mustarehe kwa wakazi wa visiwani  Raha mustarehe kwa wana Unguja  Zogo sasa limehamia Michenzani karibu na afisi kuu za CCM za Kisiwandui ambako daladala zote husimama kwa sasa. Hakika kuna haja kubwa ya kuliangalia swala hili..Maana hapa pahala pafinyu mno!

 

11 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA KINONDONI MNALIONA HILI; KITUO CHA DALADALA CHA BIAFRA CHAGEUZWA DAMPO

Uchafu ukiwa nyuma ya kituo cha Biafra na ukitizama picha vizuri kuna abiria amekaa lakini cha kusikitisha nyuma yake kuna uchafu ambao unatoa harufu mbaya na pia kuna wafanya biashara katika eneo hili. Sehemu hii imekuwa kero kwa abiria wanaoshuka na hata wanaopanda magari kwenye hiki kituo cha Biafra kilchopo Kinondoni kwani kuna uchafu mwingi unaotupwa na wakazi wa eneo hilo mpaka kituo hiki kubadilishwa na kuwa dampo.  Hii ndio hali halisi ya kituo cha Biafra kilichopo kwenye wilaya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani