MANISPAA YA ILALA TUPIA JICHO BARABARA YA MOMBASA-MOSHI BAR - BOMBAMBILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-5WED1YkrjFU/UzUsfPcqo-I/AAAAAAAASsM/YzpmuOLJpes/s1600/1a.jpg?width=650)
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5WED1YkrjFU/UzUsfPcqo-I/AAAAAAAASsM/YzpmuOLJpes/s72-c/1a.jpg)
11 years ago
GPLMEYA WA ILALA JERRY SILAA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA UKONGA KUELEKEA MAZIZINI MPAKA MOSHI BAR
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Jerry Silaa wa Kwanza kushoto akiwa na Mhandisi wa Barabara(mwenye shati Jeusi) pamoja na Diwani wa ukonga Elizabeth Mbano(katikati) na wa kwanza Kulia ni Mhandisi wa Manispaa Bwana Muhinda Kassimu wakitazama maendeleo ya ujenzi wa kipande cha barabara kutoka ukonga-mazizini mpaka moshi bar.… ...
11 years ago
MichuziMEYA WA ILALA JERRY SILAA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA UKONGA KUELEKEA MAZIZINI MPAKA MOSHI BAR
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Barabara ya Moshi Baa hadi Mombasa kujengwa - Silaa
Manispaa ya Ilala inatarajiwa kutumia zaidi ya Sh91.5 milioni kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya kilomita tatu ya Moshi Baa hadi Mombasa.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-wuJELjQDhUk/VFh9Y-A8bjI/AAAAAAAAYgc/69O-jRXqVp0/s72-c/Mroki-Mporojost.jpg)
MEYA WA ILALA FANYA UKAGUZI WA UJENZI WA BARABNARA HII YA UKONGA MAZIZINI - MOSHI BAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-wuJELjQDhUk/VFh9Y-A8bjI/AAAAAAAAYgc/69O-jRXqVp0/s1600/Mroki-Mporojost.jpg)
LEO katika Porojo za ANKO KIDEVU anafunguka kuhusina na ujenzi wa barabara ya Ukonga Mazizini - Moshi Bar yenye urefu wa Kilometa 3 ambayo ulielezwa kugharimu shilingi milioni 90. Kusoma zaidi BOFYA >>>> FATHER KIDEVU BLOG
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/DSC_0428.jpg?width=640)
JERRY SILAA AGAWA DAWATI 300 KWA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA ILALA
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, ambaye pia ni Diwani wa kata ya Gongo la Mboto Jerry Silaa akiwasili kwenye shule ya sekondari Pugu kwa ajili ya kukabidhi madawati 300 kwa shule tatu zilizopo manispaa ya Ilala na kulakiwa na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Jovinus Mutabuzi.(Picha zote na Zainul Mzige). Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa, akisaini kitabu cha wageni katika shule ya sekondari Pugu mara baada ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-cjPGxrGqWGc/VF4KGHtEqoI/AAAAAAAAYjo/NT2AFB_briI/s72-c/2014-11-08%2B12.32.14.jpg)
HII NDIO BARABARA ILIYOKARABATIWA KWA MILIONI 90 UKONGA MAZIZINI- MOSHI BAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-cjPGxrGqWGc/VF4KGHtEqoI/AAAAAAAAYjo/NT2AFB_briI/s1600/2014-11-08%2B12.32.14.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uS2cwNh2dv0/VF4KRKfzr0I/AAAAAAAAYj4/bkahv4jRyok/s1600/2014-11-08%2B12.32.47.jpg)
11 years ago
GPLMANISPAA YA ILALA YASAINI MKATABA WA BILIONI 2.1 KWA AJILI YA UJENZI WA MRADI WA MAJI KATA ZA KIVULE NA KIPUNGUNI
 Meya Wa Ilala Mh Jery Silaa Akiwasili kata ya Kipunguni na kupokelewa na Diwani wa kata Hiyo Na Viongozi wengine .  Mkandarasi wa kampuni Kika Construction Mbaraka Kihawe akimkaribisha Meya Wa Ilala Mh Jery Silaa kwenye meza kuu.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania