Manji aendelea kuwa bubu mabilioni ya Japan
![](http://2.bp.blogspot.com/-gOk71RAF9Xk/VTU-Ps2-S0I/AAAAAAAAATI/4WcauD_gHn0/s72-c/Haji-20April2015.jpg)
Mbunge wa Konde Khatib Said Haji (CUF).Wakati Mfanyabiashara Yusuf Manji akiendelea kukaa kimya bila kutoa majibu juu ya kuhusika kwake na kilio cha wafanyabiashara wa kati ambao wameingia kwenye madeni makubwa kutokana na fedha za kusaidia uagizaji wa bidhaa kutoka nje (Commodity Import Support – (CIS), wiki hii serikali inatarajia kuwasilisha kwa kamati ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara ripoti vigogo waliokalia mabilioni ya fedha hizo kwa miaka kadhaa sasa. Manji anatajwa na baadhi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AENDELEA NA ZIARA YAKE TOKYO JAPAN
10 years ago
CloudsFM29 Jun
Manji Atangaza Kuwa Atajiuzulu yanga iwapo Aliyosema Mengi yatakuwa ni Kweli
![](http://3.bp.blogspot.com/-UQlJVQnQnww/VZDv23hEWII/AAAAAAAAwm4/iMUXfRZK3Uc/s640/SAM_1702.jpg)
Manji amezungumza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya Yanga, jana na kueleza hayo huku akisisitiza kumtaka Mengi ajitokeze na wakutane kwa ajili ya kufanya mdahalo wa wazi ambao utadhibitisha kuhusiana na tuhuma hizo.
Alisema kuendelea...
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Dk Magufuli aendelea kuwa mjadala duniani
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Saniniu Laizer atambulika kuwa bilionea baada ya kupata mawe ya Tanzanite yenye thamani ya mabilioni ya shilingi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3KGM3KZVxz75LrIJkNfxzkGTJWVasgVEO0h4Lqu4KGBPVR2Zb5sTto1004vCmqJ3pSGHthEzNa5i*A*vIxV0RfIGT6tW9xCl/11.jpg?width=650)
KALA JEREMIAH AENDELEA KUWA BALOZI WA PEPSI NCHINI
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Sep
Amani Karume bado aendelea kuwa gumzo Kisonge
Na Mwadini Ali KILICHOANDIKWA kwenye ubao wa matangazo wa Maskani ya Muembekisonge, inayoendeshwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ndio uthibitisho hasa wa fikra mgando zilizoganda akilini mwa viongozi wakuu wa chama hichi. Maskani hii imeandika maneno […]
The post Amani Karume bado aendelea kuwa gumzo Kisonge appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
VijimamboJUST IN: MWANA DIASPORA KUTOKA MAREKANI AENDELEA KUWA GUMZU MBIO ZA UBUNGE
Libe anawaomba wana diaspora na waTanzania wote kumuunga mkono kwa kumchangia fedha ili aweze...
9 years ago
VijimamboBREAKING NEWS: KIJANA KUTOKA MAREKANI AENDELEA KUWA GUMZO TANZANIA
Wakiongea kwa nyakati tofauti wananchi wa Luhanga, Utengule na Igurusi wamesema Mh. Mwang'ombe ni mkombozi wa Mbarali baada ya mateso ya CCM kwa mika mingi. Wamesema walimtuma Mh. Mwang'ombe Marekani...
9 years ago
VijimamboBREAKING NEWS: KIJANA KUTOKA MAREKANI AENDELEA KUWA GUMZO MBIO ZA UBUNGE
Kwenye hotuba yake Mh. Mwang'ombe amesisitizia umoja, ushirikiano...