Amani Karume bado aendelea kuwa gumzo Kisonge
Na Mwadini Ali KILICHOANDIKWA kwenye ubao wa matangazo wa Maskani ya Muembekisonge, inayoendeshwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ndio uthibitisho hasa wa fikra mgando zilizoganda akilini mwa viongozi wakuu wa chama hichi. Maskani hii imeandika maneno […]
The post Amani Karume bado aendelea kuwa gumzo Kisonge appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboDEVELOPING STORY: PICHA: MWANA DIASPORA BADO AENDELEA KUWA GUMZO MBIO ZA UBUNGE
Ni Liberatus Mwang'ombe ambaye amewahi kukaa Washigton D.C., ameendelea kukonga nyoyo za wana Mbarali kwa kila uchao. Kila baada ya mkutano wananchi wa Mbarali wamekuwa wakimuomba asipande gari na watembee naye umbali wa kilometer 2 hadi 3.
"Wangapi watanipeleka Dododma? Mikono juu". Hayo yalikuwa maneno ya Mh. Mwang'ombe akiwauliza wananchi ambao wote walinyosha mikono juu
Baada ya mkutano mitaa ilifungwa na wananchi kumwambia Mh. Mwang'ombe asipande gari bali atembee nao umbali wa kilometer...
9 years ago
VijimamboBREAKING NEWS: KIJANA KUTOKA MAREKANI AENDELEA KUWA GUMZO TANZANIA
Ni Liberatus Mwang'ombe aka "Libe" au wenyewe wana wa Mbarali wanamuita "Mnyamwezi" amekua kivutio kwa vijana, wazee, wakina mama na kina dada. Mh. Mwang'ombe amekua akizoa kundi la watu kila sehemu anayo tembelea. Vipeperushi vya Mh. Mwang'ombe vimekuwa vikigombaniwa na watu kunyang'anyana.
Wakiongea kwa nyakati tofauti wananchi wa Luhanga, Utengule na Igurusi wamesema Mh. Mwang'ombe ni mkombozi wa Mbarali baada ya mateso ya CCM kwa mika mingi. Wamesema walimtuma Mh. Mwang'ombe Marekani...
Wakiongea kwa nyakati tofauti wananchi wa Luhanga, Utengule na Igurusi wamesema Mh. Mwang'ombe ni mkombozi wa Mbarali baada ya mateso ya CCM kwa mika mingi. Wamesema walimtuma Mh. Mwang'ombe Marekani...
9 years ago
VijimamboBREAKING NEWS: KIJANA KUTOKA MAREKANI AENDELEA KUWA GUMZO MBIO ZA UBUNGE
Ni Liberatus Mwang"ombe "Libe" ambaye anaonekana kuzoa umaarufu kila uchao kwa weledi wake wa kutoa hotuba zenye kuwaleta watu pamoja na kuwaita vijana katika siasa. Mh. Mwang'ombe amekuwa gumzo jimboni Mbarali kiasi kwamba amekuwa akisimamishwa na watu mbalimbali mitaani hadi wanafunzi. Leo akifanya mkutano wa kampeni Rujewa ameweza kukusanya watu wengi na kusindikizwa na msafara baada ya mkutano hadi ofisi za CHADEMA wilaya.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ErvZHeedtIo/VhbmhFPP7PI/AAAAAAAAEXE/M4o6V0pRcOM/s640/IMG_8004.JPG)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aPlvD4m-3KY/Vhbm8grfvmI/AAAAAAAAEXQ/HchnuTT9Z_U/s640/IMG_8059.JPG)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0nGR3rNibmA/VhbneubrJiI/AAAAAAAAEXY/wCGjoDszdTo/s640/IMG_8099.JPG)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yZ8ti_WgVN4/Vhbn6Z6yADI/AAAAAAAAEXg/ixLklrEvwxM/s640/IMG_8112.JPG)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LUtCCDrTlL4/VhboJU_YrYI/AAAAAAAAEXo/S6mUzSgYoDc/s640/IMG_8008.JPG)
Kwenye hotuba yake Mh. Mwang'ombe amesisitizia umoja, ushirikiano...
Kwenye hotuba yake Mh. Mwang'ombe amesisitizia umoja, ushirikiano...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s72-c/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
KARUME DAY KUMBUKIZI YA MIAKA 48 YA KIFO CHA SHEIKH ABEID AMANI KARUME.
![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s640/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
By MZEE WA ATIKALI ✍️✍️✍️
1. USULI:
Jumanne ya leo, tarehe 7.4.2020, imetimia miaka 48 toka aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, ndugu SHEIKH ABEID AMANI KARUME, alipouawa kwa kumiminiwa risasi nane na Luteni HOMOUD MOHAMMED BARWAN katika Afisi Kuu ya Afro Shiraz Party, Kisiwandui, Zanzibar.
Kwa mujibu wa "The Public Holidays Act, Cap. 35 (RE 2002)", sikukuu za kitaifa nchini ziko 17 na mojawapo ya sikukuu hizo ni "KARUME DAY". Hivyo, leo ni siku ya mapumziko.
Je, Mwanamapinduzi huyu...
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Brazil 2014: Uwanja wa Taifa bado gumzo Kombe la Dunia
Huo uwanja ambao tunaung’oa viti hapo Temeke kwa vurugu zisizo na msingi kumbe ni gumzo Brazil. Huo uwanja ambao Watanzania hatuoni thamani yake na tunadhani ni uwanja mzuri wa kawaida tu kumbe ni gumzo Brazil.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EwbJBfAoCls/VFNUiF3tWyI/AAAAAAAGuWs/MResu-FXFgQ/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
TUTASHIRIKIANA NA WAPENDA AMANI KUISAIDIA DRC KUWA NA AMANI - TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EwbJBfAoCls/VFNUiF3tWyI/AAAAAAAGuWs/MResu-FXFgQ/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mt8rAKimY7o/VFNUicfeKnI/AAAAAAAGuWo/HCPKHFhAzJg/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
10 years ago
VijimamboBUNDI WA AJALI TANZANIA BADO AENDELEA KULIA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/O5mD72kiuAc/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HXxm-06u9m0/VSbGvt2vFNI/AAAAAAAHP7M/ySc9fLOXTJ8/s72-c/IMG_0079.jpg)
DKT. SHEIN AFANYA ZIARA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA ABEID AMANI KARUME, ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-HXxm-06u9m0/VSbGvt2vFNI/AAAAAAAHP7M/ySc9fLOXTJ8/s1600/IMG_0079.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lscueZO_-Tk/VSbG8gH_bmI/AAAAAAAHP7s/ROCF1xo3uCU/s1600/IMG_0194.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania