BUNDI WA AJALI TANZANIA BADO AENDELEA KULIA
Basi la Sai Baba Express limepata ajali eneo la Pingo, Chalinze leo asubuhi baada ya kutaka kulipita basi lingine wakati mvua ikinyesha na kupelekea basi hilo kupinduka. Basi hilo lilikuwa linatokea Dar likielekea mkoani Mbeya. kwa taarifa za mapema zinasema kuwa hakuna mtu aliyefariki katika ajali hiyo
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Sep
Amani Karume bado aendelea kuwa gumzo Kisonge
Na Mwadini Ali KILICHOANDIKWA kwenye ubao wa matangazo wa Maskani ya Muembekisonge, inayoendeshwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ndio uthibitisho hasa wa fikra mgando zilizoganda akilini mwa viongozi wakuu wa chama hichi. Maskani hii imeandika maneno […]
The post Amani Karume bado aendelea kuwa gumzo Kisonge appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
VijimamboDEVELOPING STORY: PICHA: MWANA DIASPORA BADO AENDELEA KUWA GUMZO MBIO ZA UBUNGE
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Ajali za magari bado tishio-DCI Mngulu
10 years ago
Vijimambo21 May
Miaka 19 ya ajali Mv. Bukoba: Usafiri bado wa kubahatisha, Ahadi ya Rais kikwete haijatekelezwa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/MV%20Bukoba-21May2015.jpg)
Ni kawaida kwa nchi yeyote kama ilivyo kwa watu binafsi, kuwa na utaratibu wa kuadhimisha matukio yaliyo muhimu katika historia ama maisha ya nchi zao, watu binafsi, jumuiya au taasisi.
Kwa ujumla, sherehe ama maadhimisho ya matukio ya aina hiyo muhimu, huweza kufanyika kwa namna mbili.
Kufanya kumbukumbu ya tukio au matukio ya furaha kwa upande mmoja, ama kumbukumbu ya tukio au matukio ya huzuni kwa...
10 years ago
Dewji Blog06 Nov
Bundi atua Chadema Singida, tafrani tupu
Ofisi ya CHADEMA mkoa wa Singida katika picha.
Na Nathaniel Limu, Singida
WAKATI siku zikishika kasi kuelekea uchaguzi mkuu mwakani,’Bundi’ ametua ndani ya CHADEMA mkoa wa Singida,na hali imechafuka kwa viongizi wake kuanza kuvuana uanachama na kufukuzana uongozi.
Baraza la uongozi mkoa wa Singida, limemvua na kumfukuza uongozi Mwenyekiti wa jimbo la Singida mjini,J ohn Kalaye Kumalija kwa tuhuma ya kuwa na mgogoro wa muda mrefu na katibu wake.
Uamuzi huo umeaanza kutekelezwa kuanzia...
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Operesheni Pamoja Daima: Itamtimua huyu bundi Chadema?
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-PZXSrQG8XNY/VXaksFME5DI/AAAAAAADqxU/iO5wb-hHlDQ/s72-c/Mlinzi%2Bnamba%2B2%2BKopro%2BDomo%2BBaya%2Bkatika%2Bhimaya%2Bya%2BKina%2BRasmakunja.jpg)
MBWA DOMO BAYA LAWAMANI KWA KUMTOROSHA BUNDI WA KAMANDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-PZXSrQG8XNY/VXaksFME5DI/AAAAAAADqxU/iO5wb-hHlDQ/s640/Mlinzi%2Bnamba%2B2%2BKopro%2BDomo%2BBaya%2Bkatika%2Bhimaya%2Bya%2BKina%2BRasmakunja.jpg)
huyo wa Ngoma Africa Band,Bundi maarufu kwa jina la udi udi alichomoka katika
banda maalumu katika makao ya Ras Makunja marufu kama himaya ya Anunnaki Alien, Kutoroka kwa Bundi huyo kumesababishwa na mbwa wa kamanda aitwae Kopro Dogi Domobaya, mbwa huyo anashutumiwa kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GzdpgWCxdTE/VXaMBjjuHMI/AAAAAAAHdO8/7PD978qOuZw/s72-c/unnamed%2B%2528100%2529.jpg)
MBWA DOMO BAYA LAWAMANI KWA KUMTOROSHA BUNDI WA KAMANDA RAS MAKUNJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GzdpgWCxdTE/VXaMBjjuHMI/AAAAAAAHdO8/7PD978qOuZw/s320/unnamed%2B%2528100%2529.jpg)
Kutoroka kwa Bundi huyo kumesababishwa na mbwa wa kamanda aitwae Kopro Dogi Domobaya, mbwa huyo anashutumiwa kwa...
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
CCM wazidi kulia na Warioba
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimezidi kuilaumu iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa kuandika rasimu iliyojaa mawazo ya wajumbe wake waliotaka muundo wa serikali tatu. Lawama hizo zilitolewa jana na...