MAONI: Kuharamisha ramli pekee kutawaokoa albino?
>Kutokana na kuendelea kuwapo kwa imani za kishirikina nchini ambazo zimesababisha watu wengi wenye ulemavu wa ngozi kupoteza maisha au sehemu za viungo vyao, Serikali imepiga marufuku vitendo vya upigaji ramli vinavyofanywa na baadhi ya waganga wa jadi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eqomeZz07-M/VT-Dx2jKGrI/AAAAAAAHTy8/533fEFnR1pI/s72-c/PIX%2B1.jpg)
UWAWATA WAMKABIDHI WAZIRI CHIKAWE RIPOTI INAYOPINGA UPIGAJI WA RAMLI NA MAUAJI YA ALBINO NA VIKONGWE NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-eqomeZz07-M/VT-Dx2jKGrI/AAAAAAAHTy8/533fEFnR1pI/s1600/PIX%2B1.jpg)
11 years ago
Mwananchi03 Aug
MAONI: Soko la sanaa haliko jukwaani pekee
10 years ago
GPL20 Feb
10 years ago
Mwananchi04 Mar
MAONI: Tumsaidie Rais kudhibiti na kukomesha mauaji ya albino
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Je ni sawa vyombo vya dola kuharamisha Zinaa?
10 years ago
CloudsFM14 Jan
Wapiga ramli wapigwa marufuku
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe alisema kutokana na ongezeko la matukio ya utekaji wa albino nchini, serikali imeamua kuanza kuwadhibiti wapiga ramli, akisema inaaminika ndio chanzo cha matukio hayo.
Aidha, Jeshi la Polisi na Chama cha Albino Tanzania (TAS) kimeandaa timu itakayofanya...
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Wapiga ramli kupigwa marufuku TZ
10 years ago
StarTV14 Jan
Serikali yazuia shughuli zinazohusiana na ramli.
Na Lilian Mtono,
Dar es Salaam.
Serikali imezuia shughuli zote zinazohusiana na upigaji ramli ikiwataka wapiga ramli wote kuacha shughuli hiyo mara moja vinginevyo watakaobainika watachukuliwa hatua za kisheria.
Katazo hili linakuja ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kukabiliana na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi Albino ambayo yamedumu kwa muda mrefu sasa hapa nchini.
Waziri wa Mambo ya ndani Mathias Chikawe amesema si kwamba Serikali inaamini uchawi la hasha. Ila kuwepo...
9 years ago
Habarileo10 Oct
Yanga yapiga ramli msaidizi wa Mkwasa
UONGOZI wa Yanga bado unaendelea kufanya utafiti wa kumtafuta mbadala wa Charles Mkwasa kwa ajili ya kusaidiana na Kocha Mkuu Hans Pluijm (pichani) kukinoa kikosi hicho.