Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Msimu wa ligi unaisha, timu zijitathmini

>Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara inatarajiwa kufikia mwisho Mei 9, huku Yanga ikiwa imeshatwaa ubingwa licha ya kuwa mechi mbili mkononi. Kumalizika kwa ligi  ambayo imeshuhudia matukio mengi, yakiwamo mengine ambayo si ya kupendeza, wala si kiuanamichezo, ni mwanzo wa msimu mpya wa ligi ambao utakuwa na timu 16 badala ya 14 za msimu huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TIMU 16 KUSHIRIKI LIGI KUU MSIMU WA 2015/2016

Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuanzia msimu wa 2015/2016 itakuwa na timu 16 badala ya 14 za sasa.
Mabadiliko hayo yamepitishwa na Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) iliyokutana jana (Mei 3 mwaka huu) jijini Dar es Salaam baada ya kupokea mapendekezo ya kuongeza idadi ya timu kutoka kwenye Kamati ya Mashindano.
Uamuzi huo umefanywa kwa lengo la kuongeza ushindani katika ligi hiyo, na kuwezesha wachezaji kupata mechi nyingi zaidi za mashindano. Kwa mabadiliko...

 

10 years ago

GPL

VODACOM YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 14 ZA LIGI KUU‏ KWA AJILI YA MSIMU WA 2014/2015

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim,akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kukabidhi vifaa kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom.  kushoto ni Meneja biashara wa TFF Peter Simon na kulia ni Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya ligi Silas Mwakibinga.Timu 14 zimekabidhiwa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya Sh 430 Milioni. Kutoka kushoto:… ...

 

9 years ago

Michuzi

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

 

11 years ago

Michuzi

9 years ago

Mwananchi

Tuiheshimu ligi yetu ya soka msimu huu

Mbio za kusaka bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara zinaanza, Septemba 12 na 13 kwa timu zote 16 kuumana kwenye viwanja tofauti.

 

9 years ago

Mtanzania

Mourinho ahofia Ligi ya Mabingwa msimu ujao

MourinhoLONDON, ENGLAND

KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho amekiri kwamba itakuwa vigumu kwa timu yake kufuzu kwa Klabu Bingwa
barani Ulaya msimu ujao kutokana na mwenendo mbaya wa klabu hiyo.

Mwishoni mwa wiki iliyopita klabu hiyo ilikuwa kwenye uwanja wa nyumbani Stanford Bridge na kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya wapinzani wao Bournemouth, kwenye mchezo wa Ligi Kuu nchini England.

Kichapo hicho ni cha nane katika michezo 15 ya Ligi Kuu, kimewaacha mabingwa hao watetezi wakiwa katika nafasi ya...

 

10 years ago

Raia Mwema

TFF imejiandaaje kwa ligi msimu ujao?

WAKATI Ligi Kuu soka Tanzania Bara inafikia ukingoni msimu uliopita, yaliandikwa na kusemwa mengi

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mwananchi

Tunatarajia makubwa Ligi Kuu msimu wa 2014/15

Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/15 tayari imeanza juzi huku timu 14 zikiwania kubeba taji linaloshikiliwa na Azam ambayo ilitwaa taji hilo msimu wa 2013/14.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani