Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Wananchi chambueni ahadi, nyingi hazitekelezeki

>Kuanzia mapema mwezi huu, makada mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi (CCM wamekuwa wakichukua fomu, kwenye makao makuu ya chama hicho mjini Dodoma, za kuomba udhamini wa wanachama wao waweze kugombea urais.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MUHEZA WANANCHI: AHADI NYINGI ZA MBUNGE NI HEWA

Mheshimiwa Hebert Mtangi kushoto akiwa kazini. Stori: Abdallah Juma, Muheza
Muheza ni moja kati ya wilaya nane zinazounda Mkoa wa Tanga. Kwa upande wa Kaskazini, Muheza inapakana na nchi ya Kenya, upande wa Mashariki kuna Jiji la Tanga na Bahari ya Hindi, Kusini inapakana na Wilaya ya Pangani wakati Magharibi kuna wilaya za Lushoto na Korogwe. Pia Muheza ni Jimbo la uchaguzi lenye jumla ya kata 37, likiongozwa na Mheshimiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Profesa Anna Tibaijuka ametahadharisha kuwa wananchi wanaweza kuikataa Katiba kwenye kura ya maoni kama maoni yao yatawekwa kando.

 

10 years ago

Michuzi

kakakuona aonekana kigamboni leo, wananchi watabiri ni ishara ya mvua nyingi msimu huu

 Wananchi wakiwa wamemzunguka Kakakuona aliyeonekana asubuhi majira ya saa moja maeneo ya Kigamboni Kisiwani Mtaa wa Chaboko ambapo kwa mujibu wa ripota na mpiga picha wetu Salma Bob Kassim, mnyama huyo aliwekewa Unga, ndizi, maji pamoja na pesa. 
Lakini akaishia kunywa maji tu kabla ya kukimbilia vichakani. Wananchi kwa mamia waliofurika kumuona Kakakuona huyo walisikika wakisema kuwa huenda huo ni utabiri kwamba huenda mvua zikawa nyingi msimu huu. 
Polisi walifika eneo la tukio na baada ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ridhiwani aanza kutimiza ahadi, awashukuru wananchi kwa kumchagua Chalinze

01

Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akimkabidhi Diwani wa Kata ya Miono. Senguli Mbele moja kati ya matairi manne aliyonunua kwa ajili ya gari la kubebea wagonjwa katika Kituo cha Afya cha Miono, wakati wa mkutano wa kuwashukuru wananchi kwa kumchagua miezi sita iliyopita. Mkutano huo ulifanyika jana katika Kata ya Miono, Chalinze, wilayani Bagamoyo, Pwani.

Wananchi wakiwa kwenye mkutano huo.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).

Mmasai mwenye jamii ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Magufuli azidi kuchanja mbuga, awataka wananchi waweke imani kubwa kwake na kumpa kura nyingi za ushindi

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Njombe mjini katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika jioni ya jana katika uwanja wa saba saba.Magufuli amesema akichaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano ataendeleza juhudi zake za kujenga barabara kwa kiwango cha lami,amesema dhamira yake aliokuwa nayo ya Uwaziri wa Ujenzi katika kujenga barabara za lami katika maeneo yote hapa nchini.

Amesema tangu...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AZIDI KUCHANJA MBUGA,AWATAKA WANANCHI WAWEKE IMANI KUBWA KWAKE NA KUMPA KURA NYINGI ZA USHINDI

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Njombe mjini katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika jioni ya leo katika uwanja wa saba saba.Magufuli amesema akichaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano ataendeleza juhudi zake za kujenga barabara kwa kiwango cha lami,amesema dhamira yake aliokuwa nayo ya Uwaziri wa Ujenzi katika kujenga barabara za lami katika maeneo yote hapa nchini.
Amesema tangu kupewa...

 

10 years ago

Vijimambo

FILIKUNJOMBE AWATIMIZIA AHADI YA MAJI WANANCHI WA KITEWELE ZAIDI YA TSH MILIONI 26 ZATUMIKA

Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe kushoto akikabidhi masaada wa vitaa vya maji safi vyenye thamani ya Tsh milioni 26 kwa wananchi wa kijiji cha Kitewele kata ya Mawengi Ludewa leoWananchi wa kijiji cha Kitewele kata ya Mawengi Ludewa wakiwa wamebeba bomba za maji zilizotolewa na mbunge wao Deo Filikunjombe kwenda kijijini kwao umbali wa zaidi ya Km 6 kutoka eneo la barabara ziliposhushwa bomba hizoWananchi wa kijiji cha Kitelewe wakishiriki kubeba bomba za maji...

 

10 years ago

Habarileo

‘Wananchi toeni maoni ya miswada

WANANCHI wametakiwa kutumia fursa iliyopo iliyotolewa na Baraza la Wawakilishi ya kutoa maoni ya miswada inayotarajiwa kuwasilishwa mbele ya baraza ili ipate baraka za wananchi na ubora wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Wako: Msipuuze maoni ya wananchi

>Mwanasheria Mkuu (AG) mstaafu wa Kenya, Amos Wako amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutokupuuza maoni ya wananchi katika kutunga Katiba ya nchi vinginevyo watazua mgogoro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani