MAONI: Wananchi chambueni ahadi, nyingi hazitekelezeki
>Kuanzia mapema mwezi huu, makada mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi (CCM wamekuwa wakichukua fomu, kwenye makao makuu ya chama hicho mjini Dodoma, za kuomba udhamini wa wanachama wao waweze kugombea urais.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCspPyS2RK14dc9EEenJP0Yp789XxZ1Pb8l60jlCahGL6ed1v70NzVtM9-wu9ujwFE4Wv9yUB5WA*V8*TUwkiaEX/Mtangii.jpg?width=650)
MUHEZA WANANCHI: AHADI NYINGI ZA MBUNGE NI HEWA
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U3c5M7JQcLs/VKGNSRBUz8I/AAAAAAAG6ek/_8kdqRyvVgQ/s72-c/unnamed.jpg)
kakakuona aonekana kigamboni leo, wananchi watabiri ni ishara ya mvua nyingi msimu huu
![](http://1.bp.blogspot.com/-U3c5M7JQcLs/VKGNSRBUz8I/AAAAAAAG6ek/_8kdqRyvVgQ/s1600/unnamed.jpg)
Lakini akaishia kunywa maji tu kabla ya kukimbilia vichakani. Wananchi kwa mamia waliofurika kumuona Kakakuona huyo walisikika wakisema kuwa huenda huo ni utabiri kwamba huenda mvua zikawa nyingi msimu huu.
Polisi walifika eneo la tukio na baada ya...
10 years ago
Dewji Blog13 Jan
Ridhiwani aanza kutimiza ahadi, awashukuru wananchi kwa kumchagua Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akimkabidhi Diwani wa Kata ya Miono. Senguli Mbele moja kati ya matairi manne aliyonunua kwa ajili ya gari la kubebea wagonjwa katika Kituo cha Afya cha Miono, wakati wa mkutano wa kuwashukuru wananchi kwa kumchagua miezi sita iliyopita. Mkutano huo ulifanyika jana katika Kata ya Miono, Chalinze, wilayani Bagamoyo, Pwani.
Wananchi wakiwa kwenye mkutano huo.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Mmasai mwenye jamii ya...
9 years ago
Dewji Blog30 Aug
Magufuli azidi kuchanja mbuga, awataka wananchi waweke imani kubwa kwake na kumpa kura nyingi za ushindi
![](http://2.bp.blogspot.com/-0QfaQ2dqtVI/VeHdmDumpWI/AAAAAAAH03Y/XfqV2VIDcRM/s640/1.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Njombe mjini katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika jioni ya jana katika uwanja wa saba saba.Magufuli amesema akichaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano ataendeleza juhudi zake za kujenga barabara kwa kiwango cha lami,amesema dhamira yake aliokuwa nayo ya Uwaziri wa Ujenzi katika kujenga barabara za lami katika maeneo yote hapa nchini.
Amesema tangu...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5gSP41WTCm8/VeHdwlm5PiI/AAAAAAAH054/RcGVje6rorQ/s72-c/3.jpg)
MAGUFULI AZIDI KUCHANJA MBUGA,AWATAKA WANANCHI WAWEKE IMANI KUBWA KWAKE NA KUMPA KURA NYINGI ZA USHINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-5gSP41WTCm8/VeHdwlm5PiI/AAAAAAAH054/RcGVje6rorQ/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0QfaQ2dqtVI/VeHdmDumpWI/AAAAAAAH03Y/XfqV2VIDcRM/s640/1.jpg)
Amesema tangu kupewa...
10 years ago
VijimamboFILIKUNJOMBE AWATIMIZIA AHADI YA MAJI WANANCHI WA KITEWELE ZAIDI YA TSH MILIONI 26 ZATUMIKA
10 years ago
Habarileo28 Dec
‘Wananchi toeni maoni ya miswada
WANANCHI wametakiwa kutumia fursa iliyopo iliyotolewa na Baraza la Wawakilishi ya kutoa maoni ya miswada inayotarajiwa kuwasilishwa mbele ya baraza ili ipate baraka za wananchi na ubora wake.
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Wako: Msipuuze maoni ya wananchi