Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONYESHO YA BIASHARA YA BIDHAA ZA KICHINA KUANZA TAREHE 21 HADI 24 MWEZI HUU DIAMOND JUBILEE

 Mkurugenzi Mkuu wa Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na KilimoTanzania Bw. Daniel Machemba akiongea na waandishi habari (hawapo pichani) kwenye mkutano wa waandishi kuhusu maonyesho ya bidhaa za Kichina, kushoto kwake ni Mwakilishi wa Uchumi na Biashara kutoka Jamhuri ya Watu China nchini Tanzania Bi.Wang Fang, na kulia kwake ni Bi Rehema Mtingwa Afisa wa Mawasiliano kutoka TPSF.   Baadhi wa washiriki waliohudhuria kwenye mkutano wa waandishi kuhusu maonyesho ya bidhaa mbalimbali  za...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara afungua maonyesho ya bidhaa za China ukumbi wa Diamond Jubilee

katibu_02

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa kufungua maonyesho ya bidhaa za China 2015,  katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Mpiga picha wetu).

katibu_03

katibu_05 fungua maonyesho1

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa (katikati) akikata utepe kufungua maonyesho ya  bidhaa za China 2015  katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana.

katibu_06 fungua maonyesho00

katibu_04 tembelea

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Maonesho ya bidhaa za Kichina yazinduliwa rasmi Diamond Jubilee

Mh Kigoda pamoja na Balozi wa China Mh Lu Youging wakikata utepe kufungua maonesho ya bidhaa za china

Mh Kigoda pamoja na Balozi wa China Mh Lu Youging wakikata utepe kufungua maonesho ya bidhaa za china.

Waziri wa Viwanda Mh Abdal Kigoda akipeana mkono na balozi wa china Lu Youging ishara ya ushirikiano

Waziri wa Viwanda Mh Dr. Abdallah Kigoda akipeana mkono na balozi wa china Lu Youging ishara ya ushirikiano.

Waziri wa Viwanad na biashara Mh Abdala Kigoda akifungua maonesho ya bidhaa za kichina

Waziri wa Viwanda na biashara Mh Dr. Abdallah Kigoda akifungua maonesho ya bidhaa za kichina.

Meneja Uwekezaji wa Ndani Tanzania Mathew Mnali akihutubia katika mkutano huo.

Meneja Uwekezaji wa Ndani Tanzania Mathew Mnali akihutubia katika mkutano huo.

Mkutano wa uwekezaji baina ya

Mkutano wa uwekezaji baina ya China na Tanzania.

Wananchi kutoka nchini China katika kongamano la uwekezaji.

Wananchi kutoka nchini China katika kongamano la...

 

11 years ago

GPL

MAONESHO YA BIASHARA YA BIDHAA ZA UTURUKI NA TANZANIA YAFUNGULIWA DIAMOND JUBILEE DAR

Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) Dk. Reginald Mengi (wa tatu kulia) akikata utepe kuzinduwa maonesho ya biashara ya bidhaa kutoka nchi za Uturuki na Tanzania leo jijini Dar es Salaam yanayofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee kuanzia leo tarehe 15 hadi tarehe 17, 2014. Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) Dk. Reginald Mengi, ambaye pia ni Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP,...

 

10 years ago

GPL

SHINDANO LA KUIGIZA LA TMT KUANZA TAREHE 25 MWEZI HUU

Wadhamini pamoja na wahusika wa shindano hilo wakisikiliza kwa makini maswali kutoka kwa waandishi (hawako pichani). Msemaji mkuu wa shindano hilo, Happiness Ntanga akiongea jambo kuhusiana na shindano hilo. Mwakilishi kutoka Kampuni ya Global Publishers, Andrew Carlos akiongelea shindano hilo.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda atembelea maonyesho ya biashara ya Syria yanayoendelea katika ukumbi wa Diamond Jubilee

PG4A1676

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea maua wakati alipoingia kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee  jijini Dar es salaam  kutembelea maonyesho ya biashara ya Cyria  Mei 6, 2015. Kushoto ni balozi wa Syria nchini, Abdulmounem Annanna kulia ni Mratibu wa maonyesho hayo, Fetian Abdulal. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1702

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Balozi wa Syria nchini, Abdulmounem Annan  wakikata keki wakati Waziri Mkuu alipotembelea maonyesho ya Biashara ya Syria  kwenye ukumbi wa Diamond...

 

10 years ago

Dewji Blog

Onesho la Young Scientists Tanzania (YST) kwa mwaka 2015 kufanyika tarehe 05-07 mwezi wa nane katika ukumbi wa Diamond Jubilee

Mkurugenzi wa Chama cha Wanasayansi vijana wa Tanzania, Dk.Kamugisha Gozibert  akizungumza na waandishi wa habari(hawapo picha) kuhusu onesho la  Young Scientists Tanzania (YST) kwa mwaka wa 2015 na kueleza kuwa onesho ilo litafanyika kwa siku tatu katika ukumbi wa Diamond Jubilee kuanzia tarehe 5 hadi 7 August 2015 ambapo wanafunzi wataweza kuonesha tafiti za kisayansi na kitekinologia zilifanywa na wanafunzi wa sekondari kwa takribani mwaka mmoja.

Mwakilishi wa Ubalozi wa Ireland...

 

10 years ago

Vijimambo

ONESHO LA YOUNG SCIENTISTS TANZANIA (YST) KWA MWAKA 2015 KUFANYIKA TAREHE 05 MPAKA 07 MWEZI WA NANE KATIKA UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE

 Mkurugenzi wa Chama cha Wanasayansi vijana wa Tanzania, Dk.Kamugisha Gozibert  akizungumza na waandishi wa habari(hawapo picha) kuhusu onesho la  Young Scientists Tanzania (YST) kwa mwaka wa 2015 na kueleza kuwa onesho ilo litafanyika kwa siku tatu katika ukumbi wa Diamond Jubilee kuanzia tarehe 5 hadi 7 August 2015 ambapo wanafunzi wataweza kuonesha tafiti za kisayansi na kitekinologia zilifanywa na wanafunzi wa sekondari kwa takribani mwaka mmoja. Mwakilishi wa Ubalozi wa Ireland...

 

9 years ago

Dewji Blog

Maonesho ya bidhaa toka China (Brands of China) kurindima Sept 10 hadi 13 ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar

DSC_0307

Mkurugenzi wa Tanzania Chamber of Commerce, Industry and Agriculture (TCCIA), Daniel Machemba akizungumza na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa maonesho ya bidhaa toka China (Brands of China) yanayotarajiwa kuanza Sept 10 hadi 13 mwaka huu katika ukumbi Diamond Jubilee.

DSC_0283

Mkurugenzi wa huduma za wanachama wa TPSF, Louis Accaro (kulia) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Tanzania Chamber of Commerce, Industry and Agriculture (TCCIA), Daniel Machemba wakati wa uzinduzi...

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA AFUNGUA MAONYESHO YA BIASHARA YA BIDHAA ZA CHINA 2015, DAR ES SALAAM LEO

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa (wa tano kulia), akifurahi baada ya kukata utepe kuashiria ufunguzi wa Maonyesho ya Biashara ya Bidhaa za China 2015, uliofanyika Ukumbi wa Karimjee Dar es Salaam leo asubuhi. Wengine na maofisa biashara wa China na wadau wa masuala ya biashara. Hapa Katibu Uledi Mussa akitia saini wakati wa ufunguzi wa maonyesha hayo. Hapa akioneshwa bidhaa mbalimbali.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani