Mapendekezo ya Kamati za Bunge Maalumu yanayodhoofisha Muungano — 2
>Makala haya ni mwendelezo wa makala yaliyoanza wiki iliyopita. Madhumuni ya makala hizi ni kupitia kamati zote za Bunge Maalumu kiuchambuzi ili kubaini mapendekezo ambayo yanadhoofisha Muungano. Aidha, uchambuzi huu utawawezesha wadau wote katika mchakato wa kuandika Katiba Mpya ya Tanzania ikiwamo wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuwa na utambuzi wa kina kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Mapendekezo ya Kamati za Bunge Maalumu yatakayovunja Muungano
Wapenzi wasomaji, wiki iliyopita makala hii ya uchambuzi kuhusu Mapendekezo ya Kamati za Bunge Maalumu haikutoka kutokana na sababu za kiufundi.
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Tujikumbushe mapendekezo ya kamati za Bunge maalumu yatakayovunja Muungano, changamoto kwa rais ajaye
Ni kweli kwamba Bunge Maalumu lilitumia muda mwingi baada ya kumaliza kanuni kujadili sura ya kwanza na sura ya sita na kujiridhisha kumaliza suala la muundo wa muungano. Uhalisia ni mbali kabisa na ukweli huu, ili kuujadili muundo wa muungano kama msingi ilipasa sura ya kwanza, sita na kumi na tano kusomwa na kujadiliwa kwa pamoja (in tandem).
5 years ago
MichuziKamati ya Bunge yaiagiza THBUB kupeleka mapendekezo ya kutungwa sheria ya matumizi ya mitandao
Na Mbaraka Kambona,
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria imeiagiza Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) kwa kushirikiana na Taasisi ya Haki Maendeleo kuandaa mapendekezo yatakayosaidia kuanzishwa kwa mchakato wa kutungwa kwa sheria ya kulinda haki za mtumiaji wa huduma za mifumo ya kimtandao na kuyawasilisha kwa kamati hiyo ili waweze kushawishi bunge na mamlaka nyingine husika ili sheria hiyo iweze kutungwa.
Maelekezo hayo yalitolewa na Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria imeiagiza Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) kwa kushirikiana na Taasisi ya Haki Maendeleo kuandaa mapendekezo yatakayosaidia kuanzishwa kwa mchakato wa kutungwa kwa sheria ya kulinda haki za mtumiaji wa huduma za mifumo ya kimtandao na kuyawasilisha kwa kamati hiyo ili waweze kushawishi bunge na mamlaka nyingine husika ili sheria hiyo iweze kutungwa.
Maelekezo hayo yalitolewa na Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya...
11 years ago
Mwananchi09 Aug
Lipualipua Kamati za Bunge Maalumu
>Kamati za Bunge Maalumu la Katiba zilizoanza vikao vyake juzi mjini Dodoma, zimejikuta zikifanya kazi kwa kulipua kutokana na uchache wa muda uliotengwa, ikilinganishwa na ukubwa wa kazi ya uchambuzi wa ibara za rasimu ya Katiba hiyo.
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Meghji alisajiliwa Bara kamati Bunge Maalumu
Utata wa kupiga kura unaomhusu Mjumbe wa lilikokuwa Bunge Maalumu, Zakia Meghji umechukua sura mpya baada ya kubainika kwamba alipiga kura upande wa Tanzania Bara tofauti na ilivyokuwa wakati wa kupiga kura ya uamuzi wa kupitisha Katiba Inayopendekezwa ambako alipiga kura upande wa Zanzibar.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UE3Zmn5Bb_s/UxdUxKXcrdI/AAAAAAAFRTg/eLFdA5MkiX0/s72-c/unnamed+(43).jpg)
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kuandaa rasimu ya kanuni za bunge maalumu wakijibu hoja za wabunge leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-UE3Zmn5Bb_s/UxdUxKXcrdI/AAAAAAAFRTg/eLFdA5MkiX0/s1600/unnamed+(43).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jCfLAQe5Xq4/UxdUzagPmqI/AAAAAAAFRTo/nij5QXGgzbE/s1600/unnamed+(44).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HF6tF1v14vk/UxdU1iUHNvI/AAAAAAAFRTw/GZqAyefgfRw/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jcpvCHCvNts/UxdWAL7446I/AAAAAAAFRT8/ZYkR1Xoqsco/s1600/unnamed+(46).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pbK2WEx0ZdM/Xnt0yn-xwhI/AAAAAAALlB4/KyjI8xt9ETkxciN80ezGZo7wXZXV9gKywCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA YAPITIA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KWA MWAKA WA FEDHA 2020/21 KILICHOFANYIKA JIJINI DODOMA LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-pbK2WEx0ZdM/Xnt0yn-xwhI/AAAAAAALlB4/KyjI8xt9ETkxciN80ezGZo7wXZXV9gKywCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Katikati), Katibu Mkuu, Christopher Kadio (Kulia) na Naibu klatibu Mkuu, Ramadhani Kailima (Kushoto) wakizungumza kabla ya kuanza Kikao Cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. Wizara hii imewasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2020/21 katika Kikao kilichofanyika Jijini Dodoma leo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-wDvsc-57EWo/Xnt0y8s_BjI/AAAAAAALlCA/hcqW-2O4u5gjJiXyPPUaB3i5B0apD3lcgCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Kushoto), Katibu Mkuu, Christopher Kadio...
10 years ago
MichuziBUNGE LAANDAA SEMINA MAALUMU KUHUSU UMUHIMU WA KUWA NA MPANGO MKAKATI WA MAWASILIANO NA NAMNA BORA YA KUPOKEA MAONI YA WADAU WAKATI WA KAMATI ZAKE
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yNZmJ19nHPI/U5q8yWo2WBI/AAAAAAAFqTI/C7wIacKNYF0/s72-c/unnamed+(83).jpg)
KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-yNZmJ19nHPI/U5q8yWo2WBI/AAAAAAAFqTI/C7wIacKNYF0/s1600/unnamed+(83).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4ouihL5xM_w/U5q83LeHuCI/AAAAAAAFqTg/8xPEzL_8dm0/s1600/unnamed+(80).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania