Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapigano kusitishwa kwa siku 1 zaidi

wajumbe wa Israeli na Wapalestina wamekubaliana kuongeza muda zaidi wa kusitisha mapigano Gaza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano kusitishwa Jumamosi Ukraine?

Viongozi wa mataifa ya Ulaya wamekubaliana kuiwekea vikwazo zaidi Urusi iwapo itashindwa kusimamia makubaliano mapya.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kusitishwa kwa maadhimisho ya siku ya Ukimwi agizo la Rais!

tacaids-2

Mwenyekiti Mtendaji wa Tacaids, Dokta Fatma Mrisho akizungumza na waandishi wa habari. (Picha na Maktaba yetu).

 

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI JUU YA KUSITISHA SHEREHE ZA SIKU YA UKIMWI NCHINI

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano zaidi yatokea CAR

Mapigano mapya yametokea tena nchini Jamuhuri ya Afrika ya Kati kati ya Waislamu na Wakristo

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu zaidi watoroka mapigano Burundi

Watu zaidi wameendelea kutoroka mji wa Bujumbura nchini Burundi baada ya kuongezeka kwa mapigano.

 

5 years ago

BBCSwahili

Je mapigano ya Jubaland na serikali ya Somalia yanaweza kuwaingiza zaidi Alshabab Kenya?

Hali ya utulivu imerejea katika eneo la Mandera kaskazini mwa Kenya baada ya mapigano makali yaliyotokea Jumatatu kati ya wanajeshi wa serikali ya Somalia na wale wa eneo la Jubaland.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Zaidi ya maambukizi 10,000 kwa siku moja Marekani wakati Uhispania ikiongoza kwa maambukizi ya corona

Takwimu za sasa za ugonjwa wa Covid-19 zaonyesha Uhispania kuongoza huku Marekani maambukizi yaongezeka kwa kasi ndani ya siku moja tu.

 

11 years ago

Dewji Blog

Singpress yatoa msaada wa zaidi ya laki nane kwa Walemavu Siku ya Uhuru wa Habari

E83A1236

 

Mwalimu mkuu shule ya msingi mchanganyiko Ikungi waliya ya Ikungi, Olivary Kamilly, akizungumza ofisini kwake na wanachama wa klabu ya waandishi mkoa wa Singida, ambapo kwa kuadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, walitoa msaada wenye thamani ya zaidi ya shilingi laki nane kwa wanafunzi walemavu wakiwemo Albino katika shule hiyo.

Na Nathaniel Limu, Ikungi

WANACHAMA wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida wameadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kenya yatangaza idadi kubwa zaidi ya wagonjwa kwa siku

Ni idadi kubwa zaidi ya maambukizi ya corona kuwahi kutangazwa kwa siku moja nchini humo tangu ugonjwa huo uingie Kenya mwezi Machi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani