Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapigano zaidi yatokea CAR

Mapigano mapya yametokea tena nchini Jamuhuri ya Afrika ya Kati kati ya Waislamu na Wakristo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mauaji zaidi yatokea Nigeria

Ghasia zaidi zimetokea Kaskazini Mashariki mwa Nigeria ambapo watu 13 wameuawa baada ya watu wengine 29 kuuawa mwishoni mwa wiki.

 

11 years ago

BBCSwahili

35 wauawa CAR mapigano yakichacha

Kamati ya kimataifa ya msalaba mwekundu imesema kuwa watu 35 wameuawa katika mji mkuu, Bangui katika kipindi cha siku tatu zilizopita

 

10 years ago

Michuzi

Breaking nyuzzz....: Ajali mbaya yatokea jijimi Arusha leo,yapoteza maisha ya watu zaidi ya 9

Ajali mbaya imetokea jioni ya leo katika eneo la Tengeru,Jijini Arusha ikihusisha gari dogo aina ya Toyota Hiace (pichani juu) linalofanya safari zake kati ya Usa River na Katikati ya mji wa Arusha na Lori la Mafuta. Chanzo cha Ajali hiyo inaelezwa kwamba ni hiyo daladala lilikuwa likijaribu kulipita gari jingine ndipo likakutana na loli hilo la mafuta na kugongana uso kwa uso na kusababisha vifo vya abiria wote waliokuwa kwenye daladaa hilo ambao idadi yake haijafahamika rasmi.taarifa...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ....: AJALI NYINGINE YATOKEA JIJINI MBEYA LEO, ZAIDI YA WATU 20 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA

Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii hivi punde toka Wilayani Rungwe, Jijini Mbeya inaeleza kuwa Basi dogo aina ya Toyota Hiace imetumbukia kwenye Mto Kiwira mapema leo na inadaiwa kuwa zaidi ya watu 20 waliokuwepo kwenye basi hilo wamepoteza Maisha.
Kwa mujibu wa mtoa taarifa, amesema kwamba ajali hii imetokea wakati Mabasi yafanyayo safari zake kati ya Mbeya na Kyela (maarufu kama Coaster) kugoma kutoa huduma ya kusafirisha abiria katika maeneo hayo, hivyo baadhi ya hiace za mjini kuamua...

 

10 years ago

Michuzi

Breaking Nyuzzzzzzz....: ajali nyingine mbaya yatokea Gairo mchana huu,zaidi ya watu 8 wanasadikiwa kupoteza maisha

Ajali nyingine mbaya:Basi la Abiria linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam - Tabora limepata ajali mbaya sana mchana huu katika eneo la  Kiegeya,Gairo na kupelekea zaidi ya watu 8 kudaiwa kupoteza maisha huku wengine wakiwa wamejeruhiwa vibaya sana.Ni majonzi makubwa yametawala katika eneo hilo hivi sasa,huku juhudi za kuokoa miili na majeruhi zikiendelea kama inavyoonekana pichani.ni siku tatu tu zimepita toka ajali nyingine mbaya itokee huko Musoma na kupoteza maisha ya zaidi ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu zaidi watoroka mapigano Burundi

Watu zaidi wameendelea kutoroka mji wa Bujumbura nchini Burundi baada ya kuongezeka kwa mapigano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano kusitishwa kwa siku 1 zaidi

wajumbe wa Israeli na Wapalestina wamekubaliana kuongeza muda zaidi wa kusitisha mapigano Gaza.

 

5 years ago

BBCSwahili

Je mapigano ya Jubaland na serikali ya Somalia yanaweza kuwaingiza zaidi Alshabab Kenya?

Hali ya utulivu imerejea katika eneo la Mandera kaskazini mwa Kenya baada ya mapigano makali yaliyotokea Jumatatu kati ya wanajeshi wa serikali ya Somalia na wale wa eneo la Jubaland.

 

11 years ago

BBCSwahili

Walinda amani zaidi wahitajika CAR

Wanajeshi zaidi wa Ufaransa walishika doria katika mji mkuu Bangui huku wengine wakiingia nchini humo kupitia Cameroon

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani