Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAPOKEZI YA ALVARO NEGREDO VALENCIA, HISPANIA

Mshambuliaji kutoka nchini Hispania Álvaro Negredo Sánchez amepata mapokezi makubwa mara baada ya kurejeshwa nyumbani kwa mkopo akitokea kwa mabingwa wa soka nchini Uingereza Man City. Negredo alipata mapokezi kutoka kwa mashabiki 15,000 wa klabu ya Valencia ambao walijitokeza kwenye uwanja wa Mestalla kwa ajili ya kumlaki wakati wa hafla fupi ya kumtambulisha. Mshambiki wa Valencia wengi wao walikuwa hawaamini kama ni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Messi atupia mbili Barca, Negredo apiga tatu City

>Lionel Messi amefunga mabao mawili akiwa amerejea baada ya kukaa nje kwa miezi miwili akisumbuliwa na tatizo la misuli na kuisaidia Barcelona kuichapa Getafe 4-0 katika mchezo wa kwanza wa raundi ya tano ya Kombe la Mfalme.

 

10 years ago

Dewji Blog

Boss wa UN, Alvaro Rodriguez atembelea Sabasaba, asema maonyesho ni fursa ya kujifunza

IMG_5941

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Jacqueline Mneney Maleko (wa tatu kushoto) akiongozana na Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (wa pili kushoto) mara baada ya kuwasili katika viwanja vya maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara ‘Sabasaba’, barabara ya Kilwa, jijini Dar.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).

IMG_5945

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania...

 

10 years ago

Dewji Blog

Alvaro Rodriguez afunga mkutano wa kujadili afya na vifo kwa mtoto Tanzania

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) Nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza alipokuwa akifunga mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania.

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) Nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza alipokuwa akifunga mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania.

Baadhi ya Washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania, wakiwasilisha kazi baada ya mijadala ya makundi.

Baadhi ya Washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini...

 

10 years ago

Vijimambo

Alvaro Rodriguez afunga Mkutano kujadili Afya na Vifo kwa Mtoto Tanzania

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) Nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza alipokuwa akifunga mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) Nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza alipokuwa akifunga mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania.Baadhi ya Washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania, wakiwasilisha kazi baada ya mijadala ya makundi. Baadhi ya Washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mratibu wa UN nchini, Alvaro Rodriguez ziarani Mkoani Singida kukagua miradi ya shirika hilo

IMG_4020

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk. Parseko Kone alipomtembelea na kufanya mazungumzo ofisini kwake jana mjini Singida.

Na Modewjiblog team, Singida

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez amekutana na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Parseko Kone ofisini kwake kwa ajili ya kubadilishana uzoefu wa...

 

11 years ago

BBC

Valencia CF 3-1 Sevilla (agg 3-3)

A Stephane Mbia header in injury times sends Sevilla into the Europa League final on away goals at the expense of Valencia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Valencia, Celtic na Shaktar zapeta

Valencia, Celtic , Shaktar zapeta mchujo kuwania tiketi ya kuingia hatua ya makundi katika michuano ya klabu bigwa Ulaya

 

9 years ago

BBC

Valencia sign Abdennour from Monaco

Valencia sign Tunisia defender Aymen Abdennour, who had been a rumoured Chelsea target, from Monaco on a five year deal.

 

11 years ago

BBC

Mali midfielder Keita joins Valencia

Mali midfielder Seydou Keita signs for Valencia until the end of the season on a free transfer from Chinese side Dalian Aerbin.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani