MAPYA YAIBUKA NDOA ILIYOVUNJWA NA MAHAKAMA NKASI, YADAIWA MUME ‘ALIMBAKA’ MWANAFUNZI…!
![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOI4YZmhdEzy8qlEdI-pb50oI*SRXDspMmVWb-ff1v5z4KYgshBdo6WoMPF24GCyK13GvZ2TYnQh9ekbZ4lzHzFg/1NdebileKazurianayedaiwakumpamimbamwanafunzidarasalasaba.jpg)
Ndebile Kazuri anayedaiwa kumpa mimba mwanafunzi darasa la saba. Nkasi-Rukwa SAKATA la ndoa iliyovunjwa na mahakama ya Mwanzo Wilaya ya Nkasi, Mkoa wa Rukwa limeingia katika sura mpya baada ya uchunguzi zaidi kubainika kuwa mume aliyeiomba mahakama ivunje ndoa yake, Ndebile Kazuri alimkatisha mke masomo ya elimu ya msingi mkewe baada ya kumtia ujauzito akiwa darasa la sita. Kwa mujibu wa vyanzo vya habari ambazo mwandishi wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Mapya yaibuka ndoa iliyovunjwa na mahakama
SAKATA la ndoa iliyovunjwa na Mahakama ya Mwanzo Wilaya ya Nkasi, Rukwa limeingia katika sura mpya baada ya kubainika kuwa mume aliyeomba kuvunjwa kwa ndoa yake, Ndebile Kazuri, alimkatisha masomo...
10 years ago
Bongo Movies17 Apr
MAPYA YAJITOKEZA: Yadaiwa kuwa “Mpenzi” wa LULU aliyefariki alikuwa mume wa mtu.
Habari zinazoendelea kutufikia kwenye meza yetu zinadai kuwa marehemu Seki aliyefariki ghafla hapo jana ambaye pia anadaiwa kuwa mpenzi wa mwanadada Elizabeth Michael – LULU alikuwa ni mume wa mtu na ameacha mjane na watoto.
Kwa mujibu wa mtoa habari wetu huyu marehemu Lusekelo maarufu kama seki alikuwa ni mfanyabiashara hapa mjini mwenye biashara kadhaa na alikuwa na uwezo mzuri tu wa kifedha.
Habari za uhakika zinasema kuwa Chanzo cha kifo cha Bw Seck kilisababishwa na kumuokoa mtoto...
11 years ago
GPLMAHAKAMA NKASI YAMUAMURU MUME KUJENGA NYUMBA YA MTALAKA WAKE
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
MARIA TARAFA:Â Mume wangu aliidanganya mahakama ikavunja ndoa
NOVEMBA 18, 2013 Mahakama ya Mwanzo, Namanyere, Wilaya ya Nkasi iliamua kuvunja ndoa ya Ndebile Kazuri na Maria Tarafa wote wakazi wa Kijiji cha Isale, mji mdogo wa Namanyere, Wilaya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPPrGq0RotcTubScjk42Svf1fMjASS7OXYAm2AMEBKDQlV31fYJTsJyowPgf0rc7XW7VS-6Lcq-ahB-NbwenM*lY/mapya.jpg)
MAPYA YAIBUKA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0IO*l49JY475AJSHwJ-x*BbD-aZ4XMDYJ8GDo96ic5ZAhx-EHGCr6dlNomHsrZWI9grg*627-gHA-RxXBOQrIy5/Daladala.gif?width=650)
MAPYA YAIBUKA MASHAMBULIZI
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Mapya yaibuka mkoani Tanga
Na Amina Omari, TANGA
JESHI la Polisi nchini limesema katika msako unaoendelea katika mapango ya Mleni mkoani hapa, ambayo watu wanaodaiwa kuhusika katika matukio ya uporaji silaha walikuwa wamejificha, wamefanikiwa kukuta ngedere watatu wakiwa wamekufa huku wakiwa na majeraha.
Pamoja na hilo pia jeshi hilo limefanikiwa kumtia mbaroni mtuhumiwa mmoja ambaye wamemkuta na bunduki aina ya SMG ambayo ni mali ya jeshi hilo pamoja na risasi 20.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa...