Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maradhi ya ngozi kwa njia ya ngono

Watu wengi wakiona maradhi ya ngozi hudhani kuwa pengine yametokana na tatizo la papo kwa hapo kwenye ngozi. Kwa sababu hiyo huchukua dawa na kuanza kupaka katika eneo husika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

AFYA YA NGOZI: Maradhi ya ngozi kwa njia ya ngono

>Baadhi ya maswali tuliyopokea, mengi yalihusu maradhi ya sunzua ambayo kitaalmu yanajulikana kama warts.

 

10 years ago

Mwananchi

Maradhi ya njia ya mkojo yenye kuchochea VVU kwa wanawake

Maradhi mengi ya zinaa huweza kudumu mwilini kwa muda mrefu kutokana na mwathirika kupuuzia athari ndogondogo zinazoweza kuvumilika lakini madhara yake ni makubwa

 

11 years ago

Mwananchi

Maradhi ya ngozi yaenezwayo na virusi

Katika mwendelezo wa makala haya juu ya ngozi, najibu swali la dada Vicky Kombe aliyetaka kujua juu ya maradhi ya rubella na kama ni kweli yanaweza kuwa chanzo cha kushindwa kupata watoto.

 

11 years ago

Mwananchi

Tattoo husababisha maradhi ya ngozi, kuzaa watoto walemavu

>Siku hizi hapa nchini ni jambo la kawaida kuona watu hasa vijana wakiwa wamejiremba miili yao kwa michoro, maarufu kama tattoo.

 

5 years ago

Michuzi

Usomaji kwa njia ya kidijitali : Vodacom Instant Schools njia sahihi ya elimu kwa vitendo

Usomaji kwa mfumo wa kidijitali haimaanishi kupitia simu yako ya mkononi, kishikwambi au kompyuta. Ina maana ya kujenga uwezo wa kujifunza kwa kuwaunganisha walimu au wanafunzi popote walipo. Ni njia sahihi ya kujifunza inayoleta maana halisi.

Wazo la usomaji kwa njia ya kidijitali linalenga kuongeza ufanisi na kuboresha mazingira ya usomaji kwa wahusika kutumia nyenzo za kisasa. Lengo siyo kuachana na mfumo wa mafunzo ya darasani bali kuuboresha kwa kuzingatia matumizi ya teknolojia.

Kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasiopenda kujifunza kwa njia rahisi, watajifunza kwa njia ngumu

NIMEMSIKIA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akisema kuwa katiba mpya haileti maendeleo hata ikija. Msingi wa hoja yake ni kuwa katiba mpya siyo mtatuzi wa matatizo...

 

11 years ago

Mwananchi

AFYA YA NGOZI: Saratani ya ngozi aina ya Melanoma ni hatari kiasi gani?

>Tangu tuanze kuichambua mada hii ya maradhi ya saratani ya ngozi, tumeangazia mambo mbalimbali ikiwamo saratani ni nini, aina za saratani, makundi ya watu yanayoathiriwa zaidi na saratani hii ya ngozi.

 

11 years ago

GPL

YAJUE MARADHI YANAYOWEZA KUTIBIKA KWA KITUNGUU TU - 2

Mpendwa msomaji, leo bado tunaendelea kudadavua faida za kitunguu na uwezo wake wa kutibu au kutoa nafuu kwa magonjwa makubwa na ya hatari. Katika kusheheneza umuhimu wa kitunguu, wataalamu wa tiba mbadala duniani wamegundua pia kitunguu kina safisha ubongo na kuongeza uwezo wa kufikiri. TIBA YA KIFUA NA PUMU
Jinsi ya kutumia kitunguu kama tiba ya kifua kikuu na pumu; Twanga kitunguu kikubwa kisha changanya na asali kikombe...

 

10 years ago

Mwananchi

Fahamu tiba ya mionzi kwa maradhi ya saratani (4)

Kama nilivyoeleza wiki iliyopita kuwa tiba ya mionzi nje ya mwili hutolewa kwa uangalifu mkubwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha athari za mionzi kwa mgonjwa ziwe za kiwango cha chini iwezekanavyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani