Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani kufadhili kikosi dhidi ya B.Haram

Marekani imeahidi kuwa itafadhili kikosi cha jeshi kilichoundwa na mataifa 5 ya Magharibi mwa Afrika kukabiliana na Boko Haram

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Kikosi cha Marekani kusaidia Nigeria

Marekani imetangaza kwamba imetuma kikosi cha wataalamu nchini Nigeria kusaidia kuwatafuta wasichana takriban 200 wa shule waliotekwa nyara mwezi uliopita na wapiganaji wa kundi la Boko Haram.

Rais Barack Obama ameshutumu utekaji nyara wa wasichana hao na kusema kuwa mataifa yanapaswa kufanya kazi kwa pamoja ili kulikomesha Boko Haram.

Picha :Rais Barack Obama wa Marekani aliyeamuru msaada wa kijeshi na vifaa kuwatafuta wasichana Nigeria.

obama pics“Tayari tumetuma kundi letu Nigeria. Wamekubali...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kikosi cha timu ya Zanzibar Star Diaspora Nchini Marekani

ZANZIBAR STARS YAINGIA MASHINDANO YA KOMBE LA EAST AFRIKA DIASPORA DMV Thursday, September 3, 2015 Kwamara nyengine tena timu ya Zanzibar Stars Diaspora Nchini Marekani, imejianda rasmi katika mashindano ya Mpira wa Miguu Diaspora Afrika Mashariki […]

The post Kikosi cha timu ya Zanzibar Star Diaspora Nchini Marekani appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chad:Hatujapiga hatua dhidi ya B Haram

Rais wa Chad, Idriss Deby, amesema kuwa vita dhidi ya wapiganaji wa Boko Haram vinatatizwa na ushirikiano m'baya kati ya majeshi yake na yale ya Nigeria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ushirikiano dhidi ya Boko Haram waanza

Viongozi wa mataifa ya Afrika Magharibi waliopo mjini Paris,wamekubaliana kuimarisha ushirikiano dhidi ya Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria na mikakati dhidi ya Boko Haram

Serikali ya Nigeria na nchi nyengine nne majirani zimekubaliana kuunda jeshi la pamoja ili kupambana na wapiganaji wa Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chad yafanikiwa dhidi ya Boko Haram

Jeshi nchini Chad linaendelea kufanya mashambulizi dhidi ya wanamgambo wa Boko Haram eneo la kaskazini mashariki mwa Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kukabiliana na Boko Haram

Jeshi la Marekani,linatafuta njia mwafaka ya kukabiliana na kundi la Wapiganaji la Boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Buhari: Marekani inawasaidia Boko Haram!

Rais wa Nigeria ameishutumu Marekani kulisaidia kundi la kiislam lenye itikadi kali la Boko haram kwa kushindwa kuipatia Nigeria msaada wa silaha

 

11 years ago

Michuzi

Ubalozi wa Marekani wakabidhi mtambo wa mfumo wa mawasiliano wa masafa marefu kwa jeshi la Polisi kikosi cha maji nchini

Mkuu wa Ushirikiano wa Usalama kwa Ubalozi wa Marekani Tanzania, Lt.Kevin Balisky akisoma risala mbele ya mgeni rasmi Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Pereira Silima wakati wa halfa ya kukabidhi mtambo wa mfumo wa mawasiliano wa masafa marefu kwa jeshi la maji, masaada huo umetolewa na Serikali ya Marekani kupitia mradi wa AFRICO,leo jijini Dar es salaam. Naibu Waziri wa Mambo ya ndani Pereira Silima, ambaye alikuwa mgeni rasmi katika halfa ya kukabidhi mtambo wa mfumo wa mawasiliano wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani