Marekani kufadhili kikosi dhidi ya B.Haram
Marekani imeahidi kuwa itafadhili kikosi cha jeshi kilichoundwa na mataifa 5 ya Magharibi mwa Afrika kukabiliana na Boko Haram
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog07 May
Kikosi cha Marekani kusaidia Nigeria
Marekani imetangaza kwamba imetuma kikosi cha wataalamu nchini Nigeria kusaidia kuwatafuta wasichana takriban 200 wa shule waliotekwa nyara mwezi uliopita na wapiganaji wa kundi la Boko Haram.
Rais Barack Obama ameshutumu utekaji nyara wa wasichana hao na kusema kuwa mataifa yanapaswa kufanya kazi kwa pamoja ili kulikomesha Boko Haram.
Picha :Rais Barack Obama wa Marekani aliyeamuru msaada wa kijeshi na vifaa kuwatafuta wasichana Nigeria.
“Tayari tumetuma kundi letu Nigeria. Wamekubali...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar03 Sep
Kikosi cha timu ya Zanzibar Star Diaspora Nchini Marekani
ZANZIBAR STARS YAINGIA MASHINDANO YA KOMBE LA EAST AFRIKA DIASPORA DMV Thursday, September 3, 2015 Kwamara nyengine tena timu ya Zanzibar Stars Diaspora Nchini Marekani, imejianda rasmi katika mashindano ya Mpira wa Miguu Diaspora Afrika Mashariki […]
The post Kikosi cha timu ya Zanzibar Star Diaspora Nchini Marekani appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
BBCSwahili12 May
Chad:Hatujapiga hatua dhidi ya B Haram
11 years ago
BBCSwahili18 May
Ushirikiano dhidi ya Boko Haram waanza
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Nigeria na mikakati dhidi ya Boko Haram
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
Chad yafanikiwa dhidi ya Boko Haram
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Marekani kukabiliana na Boko Haram
10 years ago
BBCSwahili23 Jul
Buhari: Marekani inawasaidia Boko Haram!
11 years ago
MichuziUbalozi wa Marekani wakabidhi mtambo wa mfumo wa mawasiliano wa masafa marefu kwa jeshi la Polisi kikosi cha maji nchini