Marekani yaipa kibano Tanzania
*Yaitaka Serikali itoe maelezo uchaguzi Zanzibar, sheria ya mtandao
*Yatishia kusitisha msaada wa trilioni moja za MCC
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MFUKO wa Changamoto za Milenia (MCC) wa Marekani umeonya kuwa hali ya kisiasa Zanzibar na tukio la hivi karibuni la watu kukamatwa chini ya sheria mpya ya uhalifu mtandaoni yanaweza kuathiri vigezo vya kuiwezesha Tanzania kupata msaada.
Katika barua ya MCC ya Novemba 19, ambayo imesainiwa na Naibu Makamu wa Rais wa Idara ya Operesheni ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMARK CHILDRESS BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI
11 years ago
MichuziMARK CHILDRESS, BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-v2thuvwTIlQ/Vf3rRl_u1XI/AAAAAAAAAts/dmnxWYz94M0/s72-c/Tanzania.jpg)
BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-v2thuvwTIlQ/Vf3rRl_u1XI/AAAAAAAAAts/dmnxWYz94M0/s640/Tanzania.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RFbv4P7DCI4/Vf3rUEbJ0QI/AAAAAAAAAt0/jmcpYihqChY/s640/Tanzania%2Bfamily.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Jul
MHE. BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI ANAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE WAISHIO MAREKANI KATIKA HAFLA YA KUWAAGA ITAKAYOFANYIKA JUMAMOSI TAREHE 25 JULAI 2015.
![](http://vip-adventuretours.com/german/files/2012/08/Tansania-Emblem.png)
The Ambassador of the United Republic of Tanzania
to the United States of America
H.E. Ambassador Liberata Mulamula
has the pleasure to cordially invite you
to a Barbeque Farewell
Saturday, July 25th 2015
from Three - Seven in the evening (3:00 – 7:00pm)
at
Ambassador’s Residence
1 Highboro Court
Bethesda, MD...
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-S6e6zTqst5o/U-H_4uKgWrI/AAAAAAAABcI/788UN4Ujkfw/s72-c/PANDU+Ameir+Kificho.jpg)
Kibano bungeni
Posho sasa kudhibitiwa, Kiti chapewa runguKanuni kali kuwabana wajumbe watoroVinara wa zomea zomea, matusi kukiona
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, wamependekeza kuwepo kwa kanuni kali za kuwadhibiti wanaozomea na kutoa lugha chafu ili kurejesha heshima ya bunge hilo.
Pia wamependekeza wajumbe wote wanaotoroka kuhudhuria vikao vya Bunge, kutolipwa posho za vikao pamoja na kumpa rungu mwenyekiti la kuwaadhibu wote watakaokwenda kinyume.
Mapendekezo ya mabadiliko ya kanuni hizo, yanatokana na...
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Kibano kipya
WAMILIKI wa viwanda na mashirika ya umma yasiyopungua 17 kati ya 74 yaliyobinafsishwa kwa wawekez
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKkNtUQMBueX8rdV*VqPQRaLHzDYs7bPFay0iexWZe7ZRTw49fM9e1drD9T*EtmxsIkPql9IrTJc9xaykMne-qEc/warembo.jpg)
WAREMBO WALA KIBANO
9 years ago
Mwananchi23 Dec
TBC yapata kibano kingine
10 years ago
Vijimambo27 Feb
Tibaijuka ala kibano, bado Ngeleja.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Tibaijuka-27Feb2015.jpg)
Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Prof. Anna Tibaijuka, alikumbana na ‘kibano’ mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma baada ya kusomewa mashtaka matatu na baraza hilo, likiwamo la kuomba fedha katika Kampuni ya VIP Consultant, inayomilikiwa na James Rugemalira, kinyume cha maadili ya viongozi wa umma.
Mashtaka mengine yanayomkabili Prof. Tibaijuka, ambaye alivuliwa Uwaziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Rais Jakaya Kikwete...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10