Tibaijuka ala kibano, bado Ngeleja.
Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Prof. Anna Tibaijuka.
Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Prof. Anna Tibaijuka, alikumbana na ‘kibano’ mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma baada ya kusomewa mashtaka matatu na baraza hilo, likiwamo la kuomba fedha katika Kampuni ya VIP Consultant, inayomilikiwa na James Rugemalira, kinyume cha maadili ya viongozi wa umma.
Mashtaka mengine yanayomkabili Prof. Tibaijuka, ambaye alivuliwa Uwaziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Rais Jakaya Kikwete...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/at5DaH0Gs6nrkNSKIZhKI-F2Qy64*s8qp1Pyj0ZSoejoc7Hz*Y-6pemnS5DlOb0DFbygUVPZDyARwfdhS9nB6UCIa9M-ykMp/njemba3.gif?width=650)
NJEMBA ALA KIBANO KWA KUJIFANYA WAKALA WA MATANGAZO GLOBAL, TBC
10 years ago
Vijimambo23 Feb
Kina Chenge, Tibaijuka kula kibano Escrow leo.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Chenge-23Feb2015.jpg)
Kwa mujibu wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Baraza la Maadili, litaanza vikao vya kuwahoji watuhumiwa mbalimbali kwa wiki tatu mfululizo jijini Dar es Salaam kuanzia leo.
Watuhumiwa wengine wa Escrow ambao watawekwa kitimoto ni...
10 years ago
Vijimambo04 Mar
Ngeleja ajimaliza Escrow, Adai hajapokea mgawo peke yake, Naye kigogo Ikulu kula kibano leo.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ngeleja-04March2015.jpg)
Ngeleja (47), ambaye amewahi pia...
10 years ago
Mtanzania19 Jan
Chenge, Tibaijuka, Ngeleja kikaangoni leo
Fredy Azzah na Shabani Matutu, Dar es Salaam
KAMATI Ndogo ya Maadili ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), chini ya Mwenyekiti wake Philip Mangula, leo inawahoji makada wa chama hicho waliopokea mgawo wa fedha za Escrow.
Makada ambao watawekwa kikaangoni kutokana na kupokea mgawo huo, ni aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala, Wiliam Ngeleja na Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Andrew Chenge.
Uamuzi huo...
10 years ago
Habarileo01 Mar
Tibaijuka, Chenge, Ngeleja wafungiwa vikao vya chama
KAMATI Kuu ya CCM (CC) imewasimamisha uongozi wa vikao vya chama, vigogo watatu wa chama hicho, akiwemo Waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kutokana na kuhusishwa na sakata la Escrow.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-S6e6zTqst5o/U-H_4uKgWrI/AAAAAAAABcI/788UN4Ujkfw/s72-c/PANDU+Ameir+Kificho.jpg)
Kibano bungeni
Posho sasa kudhibitiwa, Kiti chapewa runguKanuni kali kuwabana wajumbe watoroVinara wa zomea zomea, matusi kukiona
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, wamependekeza kuwepo kwa kanuni kali za kuwadhibiti wanaozomea na kutoa lugha chafu ili kurejesha heshima ya bunge hilo.
Pia wamependekeza wajumbe wote wanaotoroka kuhudhuria vikao vya Bunge, kutolipwa posho za vikao pamoja na kumpa rungu mwenyekiti la kuwaadhibu wote watakaokwenda kinyume.
Mapendekezo ya mabadiliko ya kanuni hizo, yanatokana na...
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Kibano kipya
WAMILIKI wa viwanda na mashirika ya umma yasiyopungua 17 kati ya 74 yaliyobinafsishwa kwa wawekez
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKkNtUQMBueX8rdV*VqPQRaLHzDYs7bPFay0iexWZe7ZRTw49fM9e1drD9T*EtmxsIkPql9IrTJc9xaykMne-qEc/warembo.jpg)
WAREMBO WALA KIBANO
9 years ago
Mwananchi23 Dec
TBC yapata kibano kingine