Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TBC yapata kibano kingine

Wakati Wizara ya Habari ikiwa imeliagiza Shirika la Utangazaji (TBC) kuwasilisha maelezo ya kina kuhusu uamuzi wa kurusha matangazo ya moja kwa moja ya harusi ya mkazi mmoja wa Dar es Salaam, shauri hilo pia litapelekwa kwenye Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NJEMBA ALA KIBANO KWA KUJIFANYA WAKALA WA MATANGAZO GLOBAL, TBC

Stori: Haruni Sanchawa na Denis Mtima KIBANO! Tapeli aliyejitambulisha kwa jina la Faustine Mwita ametiwa nguvuni kwa shitaka la kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu, Risasi Mchanganyiko lina mkoba wenye ripoti nzima.
Hii ni kazi nyingine nzuri ya OFM kwa kushirikiana na polisi ambao walimkamata jamaa huyo anayejifanya  wakala wa matangazo wa Kampuni ya Global Publishers na Shirika la Utangazaji Tanzania...

 

11 years ago

Mwananchi

TBC yapata gari la kisasa la matangazo

Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), limepatiwa gari jipya la kisasa la kurushia matangazo ya nje (OB Van), ambalo kwa mara ya kwanza litatumiwa kwenye matangazo ya sherehe za miaka. 50 ya Muungano wa Tanzania kesho kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Raia Mwema

Kibano kipya

WAMILIKI wa viwanda na mashirika ya umma yasiyopungua 17 kati ya 74 yaliyobinafsishwa kwa wawekez

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Kibano bungeni


Posho sasa kudhibitiwa, Kiti chapewa runguKanuni kali kuwabana wajumbe watoroVinara wa zomea zomea, matusi kukiona
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, wamependekeza kuwepo kwa kanuni kali za kuwadhibiti wanaozomea na kutoa lugha chafu ili kurejesha heshima ya bunge hilo.
Pia wamependekeza wajumbe wote wanaotoroka kuhudhuria vikao vya Bunge, kutolipwa posho za vikao pamoja na kumpa rungu mwenyekiti la kuwaadhibu wote watakaokwenda kinyume.
Mapendekezo ya mabadiliko ya kanuni hizo, yanatokana na...

 

10 years ago

GPL

WAREMBO WALA KIBANO

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro Imekaa poa sana! Miezi kadhaa baada ya Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers kufichua uchafu wa biashara haramu ya ngono kwenye Mtaa wa Mwanzo Mgumu, Kata ya Mwembesongo, maeneo ya Msamvu mjini hapa, warembo wanaojiuza eneo hilo wamekula kibano na malori yanayopaki mahali hapo yametimuliwa. Baadhi ya machangu walionaswa wakijiuza. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, kiongozi wa mtaa...

 

9 years ago

Mtanzania

Marekani yaipa kibano Tanzania

MTZ IJUMAA new1.indd*Yaitaka Serikali itoe maelezo uchaguzi Zanzibar, sheria ya mtandao

*Yatishia kusitisha msaada wa trilioni moja za MCC

 

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

MFUKO wa Changamoto za Milenia (MCC) wa Marekani umeonya kuwa hali ya kisiasa Zanzibar na tukio la hivi karibuni la watu kukamatwa chini ya sheria mpya ya uhalifu mtandaoni yanaweza kuathiri vigezo vya kuiwezesha Tanzania kupata msaada.

Katika barua ya MCC ya Novemba 19, ambayo imesainiwa na Naibu Makamu wa Rais wa Idara ya Operesheni ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Wabunge wampa kibano Waziri Nyalandu

Lazaro-NyalanduNa Khamis Mkotya, Dodoma
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, jana alijikuta katika wakati mgumu baada ya wabunge wengi kushutumu utendaji wake wakisema umekuwa chanzo cha wizara hiyo kuzorota katika maendeleo.
Kwa mujibu wa wabunge hao, kitendo cha waziri huyo kushindwa kutekeleza agizo la mahakama kuhusu tozo mpya katika hoteli za utalii kimefanya Serikali kupoteza zaidi ya Sh bilioni 20 kila mwaka.
Wabunge hao pia walishangazwa na kitendo cha wizara hiyo kulazimisha mfumo wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Tibaijuka ala kibano, bado Ngeleja.

Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Prof. Anna Tibaijuka.
Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Prof. Anna Tibaijuka, alikumbana na ‘kibano’ mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma baada ya kusomewa mashtaka matatu na baraza hilo, likiwamo la kuomba fedha katika Kampuni ya VIP Consultant, inayomilikiwa na James Rugemalira, kinyume cha maadili ya viongozi wa umma.

Mashtaka mengine yanayomkabili Prof. Tibaijuka, ambaye alivuliwa Uwaziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Rais Jakaya Kikwete...

 

10 years ago

BBCSwahili

QPR yashushwa daraja baada ya kibano

Klabu ya QPR imeshushwa dara kutoka ligi kuu ya Uingereza baada ya kucharazwa mabao sita bila na Manchester City.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani