Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


QPR yashushwa daraja baada ya kibano

Klabu ya QPR imeshushwa dara kutoka ligi kuu ya Uingereza baada ya kucharazwa mabao sita bila na Manchester City.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MZEE HUKO CLEVELAND OHIO AMPA KIBANO JIRANI YAKE BAADA YAKUSAIDIA KUMWONDOLEA THELUJI

Kijana mmoja huko Cleveland jimbo la Ohio alijikuta wakati mgumu baada ya kukunjwa na jirani yake ambaye ni mzee anayekadiriwa kufikia umri wa miaka 80. Kijana huyo alikua akisaidia kumwondolea theluji iliyokua imezunguka nyumba yake na kuziba njia ya kutembelea kwa miguu na alifanya hivyo kwa lengo la kumsaidia mzee huyo ili aweze kumrahisishia upitaji wa miguu iwapo atahitaji kufanya hivyo.
Mzee huyo baadae alipofuatwa na vyombo vya habari kuulizwa ni kwanini amefanya hivyo wakati kijana...

 

11 years ago

IPPmedia

Mamia ya wasafri wakwama Moro baada ya daraja kusombwa


IPPmedia
Mamia ya wasafri wakwama Moro baada ya daraja kusombwa
IPPmedia
Mamia ya wasafiri wamekwama eneo la Dumila Mkoani Morogoro baada ya daraja kusombwa na maji ambapo pia kunataarifa ya eneo hilo kukumbwa na mafuriko yaliyowaathiri wakazi wa Dumila na hali inaelezwa kuwa ni mbaya. Home » News ...

 

10 years ago

Vijimambo

WATU WANNE WAFARIKI DUNIA BAADA YA HIACE KUGONGANA NA FUSO KATIKA DARAJA LA MTO KIKAVI WILAYANI HAI

 Watu wanne wamefariki dunia na wengine kumi na mmoja kujeruhiwa,watatu kati yao hali zao ni mbaya na kulazimika kukimbizwa katika hospitali ya KCMC kufuatia ajali iliyohusisha magari ya FUSO na HIACE katika daraja la Mto Kikavu wilayani Hai mkoani Kilimanjaro. Fuso likiwa limeharibika vibaya kuytoka na ajali hiyo
Magari yakiwa kwenye foleni baada ya kutokea kwa ajali hiyo

 

10 years ago

Vijimambo

WAKUU WA IDARA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAMPA ZAWADI KATIBU MKUU WAO BAADA YA KUTUNIKIWA NISHANI YA UTUMISHI MREFU NA MAADILI MEMA DARAJA LA (I)

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kulia) akimkabidhi zawadi ya Ngao ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema, Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, kwa niaba ya Wakuu wa Idara na Vitengo wizarani humo. Zawadi hiyo ya kushtukiza iliandaliwa na viongozi hao wa Idara baada ya hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete kumvisha Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la (I), Katibu Mkuu wao katika tukio lililofanyika Ikulu, jijini Dar es Salaam. Kushoto ni...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akionesha sehemu ambazo daraja hilo jipya litakapojengwa pembezoni mwa daraja Selander kuanzia hospitali ya Aghakan hadi barabara Kenyata. Sehemu ya Daraja hilo pekee litakuwa na urefu wa km 1.03 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Serikali ya Korea Kusini pamoja na Wizara ya Ujenzi mara baada ya kusaini Mkataba wa Muhtasari wa Majadiliano leo jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius...

 

10 years ago

BBCSwahili

EVERTON YAWABANJUA QPR

Klabu ya Everton imekamilisha michezo ya raundi ya 16 kwa kuichapa mabao 3-1 QPR katika mchezo wa ligi nchi uingereza.

 

10 years ago

GPL

MANCHESTER UNITED 4-0 QPR

Mpira uliopigwa na Angel di Maria ukijaa nyavuni na kuifanya Man Utd kuongoza kwa bao 1-0 dhidi ya QPR.  Ander Herrera akiifungia Manchester bao la pili.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa QPR aomba radhi

Mwenyekiti wa QPR ameomba msamaha kwa misuko suko inayoshuhudiwa katika klabu hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

QPR yaizabua Aston Villa 2 - 0

Ligi kuu ya soka ya England iliendelea kwa mchezo mmoja tu kuchezwa. QPR walifanikiwa kuifurusha Aston Villa 2 - 0.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani