Mamia ya wasafri wakwama Moro baada ya daraja kusombwa
IPPmedia
Mamia ya wasafri wakwama Moro baada ya daraja kusombwa
IPPmedia
Mamia ya wasafiri wamekwama eneo la Dumila Mkoani Morogoro baada ya daraja kusombwa na maji ambapo pia kunataarifa ya eneo hilo kukumbwa na mafuriko yaliyowaathiri wakazi wa Dumila na hali inaelezwa kuwa ni mbaya. Home » News ...
IPPmedia
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mafuriko yaikumba dumila, kilosa, mamia waathirika na daraja kuvunjika
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/KOMBANI-MAZIKO-MORO-5.jpg)
DK. BILAL, PINDA WAONGOZA MAMIA KATIKA MAZIKO YA WAZIRI KOMBANI MORO
10 years ago
GPLMAMIA WAMZIKA ABDUL BONGE KIJIJINI KWAO MKUYUNI, MATOMBO MKOANI MORO
10 years ago
StarTV10 May
VPL yafikia tamati, Polisi Moro na Ruvu Shooting zashuka daraja.
PAZIA la Ligi Kuu ya Tanzania Bara limehitimishwa leo kwenye viwanja saba tofauti na kushuhudiwa timu mbili zinazomilikiwa na majeshi Ruvu Shooting na Polisi Moro zikishuka daraja.
Ruvu inayonolewa na kocha, Tom Olaba ilikuwa ugenini Uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga na kujikuta ikipokea kipigo cha bao 1-0 na wenyeji wao Stand United ambayo ushindi huo umeifanya kufikisha pointi 31 katika nafasi ya 10.
Polisi Moro iliyopanda kucheza Ligi Kuu msimu huu, ilikubali kipigo cha bao 1-0 kutoka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2LKyJkIyR4aJ7FiZuE3UMDuvli7XlSEEvUTRgWQ97B49y7MjKKfhmfj*h*bDlI3sFckgzUjPIbzpUzURJl6MtGx/2malori2.jpg)
ABIRIA WAKWAMA NJIANI BAADA YA MALORI KUFUNGA BARABARA YA MWANZA - DAR
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Abiria 900 wakwama Dar baada ya treni ya mzigo kupata ajali
11 years ago
Dewji Blog26 May
Kinana akagua Ujenzi Daraja la Sibiti linalounganisha Singida na Simiyu na kuhutubia mamia ya Wananchi katika Mikutano ya hadhara Iramba
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitoa orodha ya vijiji vitakavyopata huduma ya umeme katika wilaya ya Mkalama, alipohutubia mkutano wa hadharakwenye kijiji cha Nkungi, Wilaya humo, Mei 24, 2014, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi na kujadsiliana nao njia za kuzitatua katika wilaya ya Iramba mkoani Singida.
Mkuu wa mkoa wa Singida Dk. Parseko Kone (aliyenyoosha mkono) akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana...
10 years ago
VijimamboKLABU YA RUVU SHOOTING YAUNGANA NA POLISI MORO SC KUSHUKA DARAJA LIGI KUU TANZANIA BARA MSIMU WA MWAKA 2014/2015.
![](https://ramadhaniabubakari.files.wordpress.com/2012/10/81.jpg?w=593&h=311)
Ndanda FC imefanikiwa kubaki ligi kuu Tanzania bara baada ya kuilaza Yanga SC bao 1-0 katika uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara.
Kipigo walichopata Polisi Moro SC cha bao 1-0 dhidi ya Mbeya City kimewafanya kupata tikiti ya kushuka daraja na kuungana na Ruvu Shooting.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/00.1stand-united-Vs-mtibwa11.jpg)
Kwa upande wa Stend United yenyewe imepata matokeo mazuri ya bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting na kuinusuru timu hiyo kushuka daraja huku ikiiachia dhahama Ruvu Shooting.
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/TFF-Tanzania-Prisons.jpg)
Kikosi cha Prison.
Klabu za Polisi Moro SC na Ruvu...