DK. BILAL, PINDA WAONGOZA MAMIA KATIKA MAZIKO YA WAZIRI KOMBANI MORO
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/KOMBANI-MAZIKO-MORO-5.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiweka udongo katika kaburi la marehemu Kombani. Spika wa Bunge, Anne Makinda akiweka udongo katika kaburi la marehemu Celina Kombani. Nyuma yake ni Samia Suluhu. Mama Salma Kikwete naye akiweka udongo kwenye kaburi la Kombani.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-TFLonIQWdsw/VV1kO3gyYqI/AAAAAAABPCQ/q82ZJXGxYwQ/s72-c/PG4A5948.jpg)
MAMIA YA WAOMBOLEZAJI WAJITOKEZA KATIKA MAZIKO YA MWANDISHI WA TBC SAMWELI CHAMULOMO
![](http://2.bp.blogspot.com/-TFLonIQWdsw/VV1kO3gyYqI/AAAAAAABPCQ/q82ZJXGxYwQ/s640/PG4A5948.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4W1xpEIsBZs/VV1kSKNKy6I/AAAAAAABPCY/VRSAXmHUX_0/s640/443.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GBrowQ7wY-c/VV1kTCWeHYI/AAAAAAABPCo/aP3o2MrKbf0/s640/535.jpg)
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Waziri Kombani azikwa, Pinda aongoza mazishi
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
Waziri Mkuu Pinda ashiriki mazishi ya KOMBANI mjini Morogoro
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakitoa heshima za mwisho kwa Aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi, Celina Kombani katika sala iliyofanyika kwenye uwanja wa jamhuri Mjini Morogoro Septemba 29, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Makamu wa Rais, Dr. Mohammed Ghalib Bilal akisalimiana na Waziri Mkuu, Mizengo Pind katika mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi, Celina Kombani yaliyofanyika Shambani kwa marehemu nje kidogo ya mji wa Morogoro Septemba...
9 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZOKUFUATIA KIFO CHA WAZIRI CELINA KOMBANI MIKOCHENI
9 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS DK. BILAL AONGOZA MAZISHI YA WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS MENEJIMENTI YA TUMISHI WA UMMA MAREHEMU CELINA KOMBANI LEO
11 years ago
Habarileo17 Jan
Kikwete aongoza mamia maziko ya Liundi
RAIS Jakaya Kikwete jana aliongoza mamia ya waombolezaji katika kuuaga na maziko ya Msajili wa Kwanza wa Vyama vya siasa, George Liundi aliyeelezewa kuwa msingi wa Demokrasia nchini. Aidha, baadhi ya wanasiasa wamemwelezea Liundi kuwa muasisi wa Demokrasia, ambaye misingi yake haiwezi kuvunjika, ambaye wakati akiwa Msajili alifuata sheria na taratibu bila kuyumbishwa.
11 years ago
Habarileo30 Mar
Dk Bilal aongoza maziko ya RC wa Mara
MAKAMU wa Rais Dk Mohamed Gharib Bilal ameongoza maziko ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara , John Tuppa yaliyofanyika nyumbani kwake mjini Kilosa ambapo pia yalihudhuriwa na Waziri Mkuu , Mizengo Pinda, mawaziri pamoja na wakuu wa mikoa mbalimbali nchini.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IvAjECc7-i0/VU9PXoxQFcI/AAAAAAAHWiw/IW_YN9lzc54/s72-c/IMG_6238.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZIKO YA WANA CCM WALIOPATA AJALI JANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-IvAjECc7-i0/VU9PXoxQFcI/AAAAAAAHWiw/IW_YN9lzc54/s640/IMG_6238.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fu40qmPI1f0/VU9PWZSPS-I/AAAAAAAHWio/eD4rG8hFD_U/s640/IMG_6211.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fu40qmPI1f0/VU9PWZSPS-I/AAAAAAAHWio/eD4rG8hFD_U/s72-c/IMG_6211.jpg)
Dkt. Shein aongoza mamia ya waombolezaji kwenye Maziko ya WANA CCM Waliopata ajali jana
![](http://3.bp.blogspot.com/-fu40qmPI1f0/VU9PWZSPS-I/AAAAAAAHWio/eD4rG8hFD_U/s640/IMG_6211.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IvAjECc7-i0/VU9PXoxQFcI/AAAAAAAHWiw/IW_YN9lzc54/s640/IMG_6238.jpg)